ThanksNi kweli na si mtoto peke yake hata Mtu mzima,Sharti lake ni ukubali kupima Kama hauna maambukizi ndio utaruhusiwa kutumia hizo PEP kuhusu gharama ni Bure.
Sent from mTalk
Hilo swali nililiuliza Miaka 5 iliyopita niliposikia mara ya kwanza kuhusu huduma ya sindano za pep kwa waliobakwa. Nilipewa majibu ya bei nafuu sanaKwanini hyo PEP isitumike kukinga watu wa kawaida why isubiri dharura tu?? Ndo maana Deception anasema huu ugonjwa fake
Majibu gani uliyopewa mkuu???Hilo swali nililiuliza Miaka 5 iliyopita niliposikia mara ya kwanza kuhusu huduma ya sindano za pep kwa waliobakwa. Nilipewa majibu ya bei nafuu sana
Ndio kama njia za maambukizi hazikujitokeza kama michubuko kat yenu.Nilikua naomba swali niulize unaweza ukafanya mapenzi na muathirika na asikuambukize? Maana imepita mwez sasa toka nisex na mwanamke aliyeathirika hapa nilipo nina presha mpaka bac naombeni majibu jaman plz
Siyo sindano ila ni vidonge vya ARV. Baada ya kuwa contaminated kwanza unatakiwa kupima kabla ya kuanza hizi dawa za pep ili tujue je unamaabukizi. Kama unayo hautaanzishiwa pep utasubiri tu uanze dawa za matibabu ya hiv. Kama upo negative utaazishiwa pep na hii inatakiwa uanze mapema kabla ya masaa 72. Na dawa hizi unatakiwa kumeza kila siku kwa muda uliopangwa kwa siku 28. Baada ya miezi 3 unaweza kupima kama umeambukizwa.IPO ni ya sindano inaitwa PEP ngoja wataalam waje waielezee vzr
teh teh imooo tena duuhhNdio kama njia za maambukizi hazikujitokeza kama michubuko kat yenu.
Pia wanasema HIV+ anaetumia dawa anachance ndogo kumuuambikza mtu mwingine
Ila kama imefka 40yako kama ya mwiz linaweza kukuhusu
Nenda kapme upewe hzo dawa
ImooOoooooOooooooo
Andika wosia,pia zingatia matumizi ya ARVNilikua naomba swali niulize unaweza ukafanya mapenzi na muathirika na asikuambukize? Maana imepita mwez sasa toka nisex na mwanamke aliyeathirika hapa nilipo nina presha mpaka bac naombeni majibu jaman plz
PEP ni vidonge wewe.IPO ni ya sindano inaitwa PEP ngoja wataalam waje waielezee vzr
Inasemekana zile dawa ni kali sana sio salama kwa afya yako.Kwanini hyo PEP isitumike kukinga watu wa kawaida why isubiri dharura tu?? Ndo maana Deception anasema huu ugonjwa fake