Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 4,611
- 5,009
Angalia ndugu zako, jirani zako, rafiki zako na watu wote unaojua wapo kwenye ndoa utapata majibuHii ni kwa wanaume wote, tukae mguu sawa.
Je, hii kitu inaitwa limbwata ipo kweli ama ni mental cases tu zinasumbua watu? Kama lipo la mkoa gani ndo kali?
Unadhani kama ipo tunachomoanaje humo?
Maisha ni kusaidiana, tupeni ushuhuda na uzoefu. Wanawake pia tunawakaribisha.
๐๐๐๐ halafu kuna la kikinga pesa na miradi yote unamkabidhi mkeoLa kutoka Songea ndio kali, utachagua wee mume awaje.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwanaume mmoja anarogwa na wanawake 10 lazima upagawe [emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna moja hilo ndo konki, wanawake km mahusiano yako hayaeleweki, mwanaume hakupi pesa nione chap uchawi unao mwenyewe.!! Na km unataka kulipa kisasi kwa ex afirisike njoo haraka.
Njoo pm na pesa yako mkononi, hii inawork ๐ฏ percentTupe code basi
Nilipo ona umeweka na ka kingereza nikajua kuwa dawa zako ni fakeใ Wale wenye dawa konki awajuagi hata kiswahili vizuri๐Njoo pm na pesa yako mkononi, hii inawork ๐ฏ percent
๐๐๐๐ wewe mimi mganga wa ki digitalNilipo ona umeweka na ka kingereza nikajua kuwa dawa zako ni fakeใ Wale wenye dawa konki awajuagi hata kiswahili vizuri๐
Waganga wanaotumia kingamuzi hatuwaamini. Sisi tume bezi na hawa wa matunguli na ungo.๐๐๐๐ wewe mimi mganga wa ki digital