Ni kweli kuna utajiri wa nguvu za giza?

Ni kweli kuna utajiri wa nguvu za giza?

Jamani hivi kweli kuna waganga wa kienyeji wanaoweza kumpa mtu utajiri? Maana marangazo Kila Kona lakini ukifwatilia ni utapelitu wote hao wanataka pesa,nisaidieni tafadhali
wajinga ndio waliwao🐒

Imeandikwa,

"watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa "

"mshike sana elimu, usimwache aende zake "
 
Waganga tupo na tunatibu Umasikni wa kurithi na dhiki ambukizi, Utaweza Masharti?
 
Huo sio utajiri ni matatizo wee kula kwa jasho na tumia akili yako vizuri utatoboa
 
Jamani hivi kweli kuna waganga wa kienyeji wanaoweza kumpa mtu utajiri? Maana marangazo Kila Kona lakini ukifwatilia ni utapelitu wote hao wanataka pesa,nisaidieni tafadhali
Watafute hao waganga uwajaribu mkuu,majibu utayapata tu

Ova
 
Back
Top Bottom