Ni kweli kuna vyakula ambavyo husabisha kifo vikiliwa kwa wakati mmoja?

Ni kweli kuna vyakula ambavyo husabisha kifo vikiliwa kwa wakati mmoja?

katika pitapita zangu nimekutana na hii habari,kuwa kuna vyakula/vinywaji hutakiwi kula kwa wakati mmoja. yaani "mfano" ule yai wakati huo huo ule ndizi. utakufa! je ni kweli na kama kweli vipo msaada wa kuvitaja
Kule kwetu mila zetu zilikuwa zinakataza wakina mama kula mayai, figo, maini, nundu ya ng'ombe, filigisi n.k.
 
Back
Top Bottom