Pawaga
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 1,349
- 1,011
Hakuna kitu kama hicho mi natafunaga sana asali na matango kila wakat na ninadunda tu!.Kuna nyingine niliambiwa eti, eti, Tango na Asali unavuta, sasa sijui kuna ukweli hapo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna kitu kama hicho mi natafunaga sana asali na matango kila wakat na ninadunda tu!.Kuna nyingine niliambiwa eti, eti, Tango na Asali unavuta, sasa sijui kuna ukweli hapo?
Zamani walikua hawana majibu ya kisayansi, so walieleza jambo kadri uelewa ulivoruhusu, kiuhalisia mama mjamzito akikula ivo vitu ananenepa sana na pia husababisha mtoto kukua mkubwa hivyo kupelekea matatizo wakati wa uzazi, kumbuka pia enzi hizo hakukua na maswala ya operation za uzazi hivyo vifo vingi vya wajawazito vilipelekea wahenga kuweka hiyo misimamo.Kule kwetu mila zetu zilikuwa zinakataza wakina mama kula mayai, figo, maini, nundu ya ng'ombe, filigisi n.k.
Mzee mwenzangu vat 69 na rocks za kutosha kwe glass fupi fupi nzito daaaaah..... acha kabisa... burudani ya hali ya juuVAT 69 na Viagra + mechi ya ugenini.
Ukitaka kuwajua madaktari bingwa humu JF ni rahisi sana HahahahahahaZamani walikua hawana majibu ya kisayansi, so walieleza jambo kadri uelewa ulivoruhusu, kiuhalisia mama mjamzito akikula ivo vitu ananenepa sana na pia husababisha mtoto kukua mkubwa hivyo kupelekea matatizo wakati wa uzazi, kumbuka pia enzi hizo hakukua na maswala ya operation za uzazi hivyo vifo vingi vya wajawazito vilipelekea wahenga kuweka hiyo misimamo.
Sasa hivi navyo ni vyakula taahira wewe?Flagyl + pombe=kifo hata muda wa kuandika wosia hupati
Mimi mchepuko wa mama yako unanitukana ? Nikuambie kyupi aliyovaa leo ?Sasa hivi navyo ni vyakula taahira wewe?
Siyo kweli mkuu infact huo mchanganyiko nautumiaga kama dawa ya mafua na kikohoziAsali + Limao = Kifo
Sijui kama ni kweli au vipi ila nimewahi kusikia.
uongo.... Nilimechanga sana hiyo kitu nipo tu hadi leoAsali + Limao = Kifo
Sijui kama ni kweli au vipi ila nimewahi kusikia.
Sio kweli, Je sie ambao tumetumia hivyo vitu kama dawa ya kifua, si tungekuwa tushavuta kitamboAsali + Limao = Kifo
Sijui kama ni kweli au vipi ila nimewahi kusikia.
Duh.! Kumbe humu JF wamo mpaka marehemu?!Hahaha badala muwaulize waliokufa, mnabishana mlii hai. Waliokufa kwa sababu hizo waje watoe ushuhuda wao pia ilikywaje wakafa ikuwa kuna watu ahawajafa kwa haya
nimewahi kusikia na kamwe sitajaribuKuna nyingine niliambiwa eti, eti, Tango na Asali unavuta, sasa sijui kuna ukweli hapo?
Mimi shuhuda no1 Nimeshawi kula vyote na sijahisi chochote mwilini ila Leo ndio nasikia kwenu ati mtu anakufa ina maana Mimi ni mzimu!?
Ukiongeza na tangawiz ni tiba nzur sana ya kikohozi suguAsali + Limao = Kifo
Sijui kama ni kweli au vipi ila nimewahi kusikia.