Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zege umemaanisha makande?Nakula zege ndizi za kuiva daily ningeishavuta kitambo.
hakuna kitu kama hicho mie siku zote natengeneza juice ya tango siweki sukari naweka asali na nadunda mpaka leoKuna nyingine niliambiwa eti, eti, Tango na Asali unavuta, sasa sijui kuna ukweli hapo?
Ile ni mixture moja matata sanawazanzibari wangekuwa washakufa kwani urojo ni mchanganyiko wa hayo yote
Nimesha pajua kwenu mkuu...[emoji12] [emoji12]Kule kwetu mila zetu zilikuwa zinakataza wakina mama kula mayai, figo, maini, nundu ya ng'ombe, filigisi n.k.
ivi navyo ni vyakula kumbe?Flagyl + pombe=kifo hata muda wa kuandika wosia hupati
Sasa hapo kipi ni chakula?Flagyl + pombe=kifo hata muda wa kuandika wosia hupati
Jaribu utuletee mrejesho.Kuna nyingine niliambiwa eti, eti, Tango na Asali unavuta, sasa sijui kuna ukweli hapo?
Hii sijui niijaribu? Maana kila mara natamani sana kujithibitishia pasipo shaka ila naogopa....Kuna nyingine niliambiwa eti, eti, Tango na Asali unavuta, sasa sijui kuna ukweli hapo?
Ulaji gani sasa huo?wakuu leo asubuh nimekula chapati tatu, mayai ya kukaanga matatu...chai ya rangi...maharage...baada ya kumaliza vyote...nikashushia na pepsi ya baridi.....kilichofuata ni kama nimepangisha chooni....hali yangu sio nzur kwa kweli...
Afadhali umenitoa woga ngoja nami nijaribuMimi shuhuda no1 Nimeshawi kula vyote na sijahisi chochote mwilini ila Leo ndio nasikia kwenu ati mtu anakufa ina maana Mimi ni mzimu!?