Manga ML
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 9,805
- 15,529
Hata mimi nimeiskia hii ukila kwa pamojaUkijibiwa niite mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimi nimeiskia hii ukila kwa pamojaUkijibiwa niite mkuu.
Mimi shuhuda no1 Nimeshawi kula vyote na sijahisi chochote mwilini ila Leo ndio nasikia kwenu ati mtu anakufa ina maana Mimi ni mzimu!?
Mkate + chai=huchukui raund
Mimi niliambiwa ukinywa supu na chapati tunakusahau sijawahi gusa hiyo kitu maishani.
Naskia ukichanganya panado na maji huchukui round, wakuu vipi hii?
[emoji23] [emoji23] ushirikina tena wacha waje wakurarueWatu wa tiba mbadala wanavuruga sana watu na theory zao za kishirikina aisee
[emoji23] [emoji23] [emoji23] utakuwa mzimu weweMimi shuhuda no1 Nimeshawi kula vyote na sijahisi chochote mwilini ila Leo ndio nasikia kwenu ati mtu anakufa ina maana Mimi ni mzimu!?
Huna maana umenifanya niangue kicheko njianiMimi niliambiwa ukinywa supu na chapati tunakusahau sijawahi gusa hiyo kitu maishani.
Hapana ni mavaziivi navyo ni vyakula kumbe?
Thibitisha tukusahau mwanawane..[emoji125] [emoji125]Hii sijui niijaribu? Maana kila mara natamani sana kujithibitishia pasipo shaka ila naogopa....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu usiniambie hii ya uongo daah watu tuna sumu nyingi kweli kichwani hukuhizi ndo story za kuambiana ukiweka sindano njia ya reli treni inapinduka, wanaozianzisha huwa wana akili gani?
Najua unatamani nitoweke ktk huu ulimwengu ila ndo bado nipo nipo sana! [emoji23] [emoji23] [emoji23]Thibitisha tukusahau mwanawane..[emoji125] [emoji125]
[emoji23] [emoji23] ujue wewe ni mwehuMkate + chai=huchukui raund
Dawa ya kikohozi hiyo mkuuAsali + Limao = Kifo
Sijui kama ni kweli au vipi ila nimewahi kusikia.
haipo na haiwezekani kabisa mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu usiniambie hii ya uongo daah watu tuna sumu nyingi kweli kichwani huku
Nenda basi kajaribu..mbona maneno mengi [emoji23] [emoji23]Najua unatamani nitoweke ktk huu ulimwengu ila ndo bado nipo nipo sana! [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ndio. Si unasikia wengine wanasema ati asali na limao mixer unakufa!? wakati ni tiba.Ulikuala kwa pamoja nimeaikia pia hizi habali
Nimeshaghairi.....Nenda basi kajaribu..mbona maneno mengi [emoji23] [emoji23]
Hivi flagyl nacho chakula/kinywaji eeh?Flagyl + pombe=kifo hata muda wa kuandika wosia hupati