likandambwasada
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,402
- 6,081
WAKATI NKO CHUO, ASUBUH NILIKUWA NAKULA MAYAI YA KUPIKA NDIZI MBIVU, MKATE NA MAZIWA.. KARIBU KILA SKU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mwenyewe asali imenishindaDuh bora mm situmii asal kabisa natapika mno nikilamba
Atokee mmoja wa kujaribu basi
Khaaaa basi me ni mzimuMimi niliambiwa ukinywa supu na chapati tunakusahau sijawahi gusa hiyo kitu maishani.
Si kweliMimi niliambiwa ukinywa supu na chapati tunakusahau sijawahi gusa hiyo kitu maishani.
GreatZamani walikua hawana majibu ya kisayansi, so walieleza jambo kadri uelewa ulivoruhusu, kiuhalisia mama mjamzito akikula ivo vitu ananenepa sana na pia husababisha mtoto kukua mkubwa hivyo kupelekea matatizo wakati wa uzazi, kumbuka pia enzi hizo hakukua na maswala ya operation za uzazi hivyo vifo vingi vya wajawazito vilipelekea wahenga kuweka hiyo misimamo.
Hivyo vitu vyote vinaviini lishe vya Protin, Protin kazi yake ni kujenga mwili, mama mjamwana akila yeye na mtoto hunenepa, mtoto akinenepa mazazi yake ni shida, ilikuwa inawasaidia sana dhana hiyo wakina mama kujifungua salama enzi hizo ambapo hapakuwepo huduma ya upasuaji mahosipitalini...Kule kwetu mila zetu zilikuwa zinakataza wakina mama kula mayai, figo, maini, nundu ya ng'ombe, filigisi n.k.
hakuna, fix tupu...Kuna nyingine niliambiwa eti, eti, Tango na Asali unavuta, sasa sijui kuna ukweli hapo?
Au kitovu kikidondokea kaboro mtoto anakuwa hanithi!hizi ndo story za kuambiana ukiweka sindano njia ya reli treni inapinduka, wanaozianzisha huwa wana akili gani?
@manga ml umeandika hii post ukiwa wapiUlikuala kwa pamoja nimeaikia pia hizi habali
[emoji23] [emoji23] acha hizo mwenzio nilishanunua na khanga yenye maandishi ameinzing ya kuvaa msibaniNimeshaghairi.....
Maana naona unafurahia sana, na unajiandaa kwa msiba [emoji57]
kinachoua ni sumu tu.Vyakula hata ule ishirini hufi sanasana utavimbiwa tu na kuumwa tumbo.Kuna kuharisha na pia kutapika.Ukishiba sana kupita kawaida itabidi utapishwe kwa kuinamishwa miguu juu kichwa chini ili kupunguza chakula tumboni ulichomeza.Maana ukishiba sana kupita ujazo wa tumbo hapo ipo hatariKatika pitapita zangu nimekutana na hii habari, kuwa kuna vyakula/vinywaji hutakiwi kula kwa wakati mmoja. Yaani "mfano" ule yai wakati huo huo ule ndizi utakufa.
Je ni kweli na kama kweli vipo? Msaada wa kuvitaja
Acha bhanaa ha ha ha haaa wek end leo ujue@manga ml umeandika hii post ukiwa wapi
Nimegundua kumbe ukikosea kumeshen ndo notfcation inafika poa poa.@manga ml umeandika hii post ukiwa wapi
kisayansi majaribio hufanywa kwa wanyama si binadamu. Unaweza fanya kwa mnyama yeyote asiyecheuaHii sijui niijaribu? Maana kila mara natamani sana kujithibitishia pasipo shaka ila naogopa....
Duuh kweli leo weekendAcha bhanaa ha ha ha haaa wek end leo ujue
Ujue mpaka sasa hivi najiuliza nimekosea wapiNimegundua kumbe ukikosea kumeshen ndo notfcation inafika poa poa.
Sijui mwenzangu upo wapii?
Hilo ni fumbo si kama ujuavyoKatika pitapita zangu nimekutana na hii habari, kuwa kuna vyakula/vinywaji hutakiwi kula kwa wakati mmoja. Yaani "mfano" ule yai wakati huo huo ule ndizi utakufa.
Je ni kweli na kama kweli vipo? Msaada wa kuvitaja