Manga ML
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 9,805
- 15,529
Helufi ya kwanza na zamwisho mbili ni kubwa ha ha haaa.Ujue mpaka sasa hivi najiuliza nimekosea wapi
Ajabu sipatagi menshen ila hii imefika hivyo koseaga tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Helufi ya kwanza na zamwisho mbili ni kubwa ha ha haaa.Ujue mpaka sasa hivi najiuliza nimekosea wapi
Mara nyingi herufi kubwa au ndogo huwa haijalishi...au ndio Jf mupya. Uko wapi sasa na mimi nijeHelufi ya kwanza na zamwisho mbili ni kubwa ha ha haaa.
Ajabu sipatagi menshen ila hii imefika hivyo koseaga tu
Kuna jamaa yangu alikunywa redbull 5 villa park mwanza nusu tumpotezeRed bull zaidi ya 3 halafu unaenda "kula mzigo"
Ohoo basi kuna kingine umekosea.Mara nyingi herufi kubwa au ndogo huwa haijalishi...au ndio Jf mupya. Uko wapi sasa na mimi nije
Hiki nacho ni chakula?...kumfi.ra demu bila condom mbaya sana....usijaribu.....jimboro laweza kupata minyoo....haswa pale unapochubuka....hii imemtokea mdau.....ni shida!!!!
Nia mnaya sana hata hiyo moja huyakiwi kunuwa kila sikuKuna jamaa yangu alikunywa redbull 5 villa park mwanza nusu tumpoteze
NajaOhoo basi kuna kingine umekosea.
Hapa napasha mwili joto huku nikisubili vitu vyangu njoo Escap 1 saa tano kuna bambataa
Si kweliKuna nyingine niliambiwa eti, eti, Tango na Asali unavuta, sasa sijui kuna ukweli hapo?
Wanyama wala majani hawali majani wawapo na mimba!!!!!!!!Hivyo vitu vyote vinaviini lishe vya Protin, Protin kazi yake ni kujenga mwili, mama mjamwana akila yeye na mtoto hunenepa, mtoto akinenepa mazazi yake ni shida, ilikuwa inawasaidia sana dhana hiyo wakina mama kujifungua salama enzi hizo ambapo hapakuwepo huduma ya upasuaji mahosipitalini...
msidharau kila kitu, vingine Mungu alikuwa anawaokoa waja wake kulingana na ufahamu wao ktk ujinga wao!!!
jiulize kwanini wanyama wala majani hawali majani mabichi wawapo na mimba???
Karibu hapana joto pale waeza maliza kret 2Naja
Duuh, hiyo huwa naitumia kulainisha kikohozi.Asali + Limao = Kifo
Sijui kama ni kweli au vipi ila nimewahi kusikia.
mkuu kwa hali yangu nakula kinachopatikana.....na sio ninachokitaka..tumetofautiana sanaUlaji gani sasa huo?
Yani nimejiamisha haina adui katika walaji wake dah kwa hiyo ukiulizwa tam kama asali unamshangaa muulizaji eeh?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mwenyewe asali imenishinda
Nikiwambia watu huwa wananiona wa ajabu,, nimejarib asal za aina nying nineshindwa kabisa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mwenyewe asali imenishinda
Supu na chapati ni kufungua kinywa cha wengi katika migahawa asubuhi kabla ya kazi.Mimi niliambiwa ukinywa supu na chapati tunakusahau sijawahi gusa hiyo kitu maishani.
Kama mchanganyiko wa vyakula hauendani na tumbo lako, sana sana utaharisha/ na kwa nadra utatapika.dah! watu mnaleta utan mi niko siriaz