Ni kweli kuna vyakula ambavyo husabisha kifo vikiliwa kwa wakati mmoja?

Ni kweli kuna vyakula ambavyo husabisha kifo vikiliwa kwa wakati mmoja?

Helufi ya kwanza na zamwisho mbili ni kubwa ha ha haaa.

Ajabu sipatagi menshen ila hii imefika hivyo koseaga tu
Mara nyingi herufi kubwa au ndogo huwa haijalishi...au ndio Jf mupya. Uko wapi sasa na mimi nije
 
...kumfi.ra demu bila condom mbaya sana....usijaribu.....jimboro laweza kupata minyoo....haswa pale unapochubuka....hii imemtokea mdau.....ni shida!!!!
 
Mara nyingi herufi kubwa au ndogo huwa haijalishi...au ndio Jf mupya. Uko wapi sasa na mimi nije
Ohoo basi kuna kingine umekosea.

Hapa napasha mwili joto huku nikisubili vitu vyangu njoo Escap 1 saa tano kuna bambataa
 
Hivyo vitu vyote vinaviini lishe vya Protin, Protin kazi yake ni kujenga mwili, mama mjamwana akila yeye na mtoto hunenepa, mtoto akinenepa mazazi yake ni shida, ilikuwa inawasaidia sana dhana hiyo wakina mama kujifungua salama enzi hizo ambapo hapakuwepo huduma ya upasuaji mahosipitalini...

msidharau kila kitu, vingine Mungu alikuwa anawaokoa waja wake kulingana na ufahamu wao ktk ujinga wao!!!

jiulize kwanini wanyama wala majani hawali majani mabichi wawapo na mimba???
Wanyama wala majani hawali majani wawapo na mimba!!!!!!!!
Wanakula nini mkuu?
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mwenyewe asali imenishinda
Yani nimejiamisha haina adui katika walaji wake dah kwa hiyo ukiulizwa tam kama asali unamshangaa muulizaji eeh?

Usiku wa manane
 
Aiseeh jf members mbona masihara yamezdi
Ukweli hapo ni tango na asali tu
Ndo unaondoka
Kingine labda dawa Kali na pombe kali
 
Ukitaka noma tafuna dagaa wa mwanza bila kupikwa mix na karanga mbichi jibu lake utalipata chooni.
 
Yai/ndizi la aina(vilivyopikwa vipi/bichi/mbivu) gani? Nakula sana ya kukaanga na ndizi tunda.
 
Back
Top Bottom