Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
[emoji23] [emoji23] [emoji23]ushauri wa bure, bangi sio nzuri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]ushauri wa bure, bangi sio nzuri.
Inafanyaje mkuuNdimu au limao na asali
AiserView attachment 710478race
MIMI NILISIKIA ASALI NA LIMAO UNAKUFA ILA MIMI NILISHAKULA MARA NYINGI TUU
BAADAE NIKAAMBIWA ASALI NA NDIMU NDIO UNAKUFA.
Vudesi=UongoKatika pitapita zangu nimekutana na hii habari, kuwa kuna vyakula/vinywaji hutakiwi kula kwa wakati mmoja. Yaani "mfano" ule yai wakati huo huo ule ndizi utakufa.
Je ni kweli na kama kweli vipo? Msaada wa kuvitaja
Mmoja afanye majaribio basi wakuuNishaskia hii ishu
Wakikujib nishtue
Umeelewa Mada? Flagyl ni chakula mkuu?Flagyl + pombe=kifo hata muda wa kuandika wosia hupati
Hahah.. dahSasa hivi navyo ni vyakula taahira wewe?
Duu ngoja nikija kuichoka dunia natumia kanuni hiiFlagyl + pombe=kifo hata muda wa kuandika wosia hupati
Hata kama ni kweli mkuu sasa ukumbwe na nini hadi uchanganye soda na fenesiiMie nimesikia soda na fenesi, ukichanganya unapoteza. Sijajua ukweli ukoje
Uongo....asali limau ni dawa ya mshedede wima masaa 3Asali + Limao = Kifo
Sijui kama ni kweli au vipi ila nimewahi kusikia.
We sio mzima kbs yaani supu chapati daily ndo kitu roho inapenda kwa watu woooteMimi niliambiwa ukinywa supu na chapati tunakusahau sijawahi gusa hiyo kitu maishani.
Sio kweli!Flagyl + pombe=kifo hata muda wa kuandika wosia hupati
Nami nshawahi kuambiwa kuwa ukila tango pamoja na asali mbichi lazima urest in peace sijawahi wala sitegemei kujaribu kutokana na uoga mwenye kujua hili anisaidieVudesi=Uongo
Ni kweli mkuu..au na wewe umesikia tAsali+Mkia wa kondoo= R I P . Usijaribu tafadhali