Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,794
- 5,352
- Thread starter
- #161
Ushawahi shuhudia mkuuSoda ya pepsi + chungwa = Msiba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushawahi shuhudia mkuuSoda ya pepsi + chungwa = Msiba
[emoji2![]()
Hivi flagyl nacho chakula/kinywaji eeh?
MmhUongo....asali limau ni dawa ya mshedede wima masaa 3
Acha uwoga.mkuuNami nshawahi kuambiwa kuwa ukila tango pamoja na asali mbichi lazima urest in peace sijawahi wala sitegemei kujaribu kutokana na uoga mwenye kujua hili anisaidie
Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
Hiyo inaitwa penati au short cut mamaeeeeFlagyl + pombe=kifo hata muda wa kuandika wosia hupati
Hamna ukweli wowoteKatika pitapita zangu nimekutana na hii habari, kuwa kuna vyakula/vinywaji hutakiwi kula kwa wakati mmoja. Yaani "mfano" ule yai wakati huo huo ule ndizi utakufa.
Je ni kweli na kama kweli vipo? Msaada wa kuvitaja
Siyo kweliAsali + Limao = Kifo
Sijui kama ni kweli au vipi ila nimewahi kusikia.
Vudesi=Uongo
lamba asali pamoja na limao ujue ukweli.....Sio kweli, hizo ni myths tu na stori za abunuasi.
Inawezekana ukawa umeshakufa ila hujajua tukama ndo hivo mbona nimgeshakufwa siku mingi, btw mayai Ya kuchemsha ndizi na maziwa ndo chakula changu kila siku asubuhi.
Mbona ni dawa ya kikohozi hii mkuu?lamba asali pamoja na limao ujue ukweli.....
Umeambiwa "lamba" sio "kunywa"Mbona ni dawa ya kikohozi hii mkuu?
Nakunywa hii daily. Au mimi ni mzimu nilishakufa kitambo
Kwa hio nilambe asali?Umeambiwa "lamba" sio "kunywa"
Ndio maana hufi sababu hufuati maelekezo
utakuja kuruka tiktaka na msuli ukweni wewe.......sio asali ile ya nyigu na wala si ndimu......sumu hiyo weweMbona ni dawa ya kikohozi hii mkuu?
Nakunywa hii daily. Au mimi ni mzimu nilishakufa kitambo
Nikweli mkuu mimi nimekula mayai na ndizi na nimesha kufa hapa.
Sio kweli asali ni dawa sio sumu.Wanasema tango+asali.nikujitakia kifo
lamba asali pamoja na limao ujue ukweli.....
asal peke yake sio sumu ila jaribu kuchanganya na limao af uoneSio kweli asali ni dawa sio sumu.
bado kidgoNi kweli mm nimejaribu leo nshakufa