jonas amos
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 3,645
- 4,438
Kula uone kama utadumu saa 48Uongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kula uone kama utadumu saa 48Uongo
Madaktari ni rahisi kuwajua humu JFHivyo vitu vyote vinaviini lishe vya Protin, Protin kazi yake ni kujenga mwili, mama mjamwana akila yeye na mtoto hunenepa, mtoto akinenepa mazazi yake ni shida, ilikuwa inawasaidia sana dhana hiyo wakina mama kujifungua salama enzi hizo ambapo hapakuwepo huduma ya upasuaji mahosipitalini...
msidharau kila kitu, vingine Mungu alikuwa anawaokoa waja wake kulingana na ufahamu wao ktk ujinga wao!!!
jiulize kwanini wanyama wala majani hawali majani mabichi wawapo na mimba???
mkuu fafanua vizur ili nielewe au tuelewe kwa faida ya wengRed bull zaidi ya 3 halafu unaenda "kula mzigo"
Sawa mkuuDuuh, hiyo huwa naitumia kulainisha kikohozi.
Flagyl siyo chakula ni dawaFlagyl + pombe=kifo hata muda wa kuandika wosia hupati
ushauri wa bure, bangi sio nzuri.Hapana ni mavazi
MIMI NILISIKIA ASALI NA LIMAO UNAKUFA ILA MIMI NILISHAKULA MARA NYINGI TUUTango na Asali je hili lina ukweli?
NILISIKIA PIA ILA SIJUI KAMA KUNA UKWELI.Asali na ndimu
Asali na limao/ndimu ndo kinywaji changu kila nikiamka asubuhiView attachment 710478race
MIMI NILISIKIA ASALI NA LIMAO UNAKUFA ILA MIMI NILISHAKULA MARA NYINGI TUU
BAADAE NIKAAMBIWA ASALI NA NDIMU NDIO UNAKUFA.
Sio kweli, napenda matango na asali, kawaida napenda sliced tango na maganda yake nachanganya na asali nakula, pia hata watoto wakiona nakula nao husogea.Kuna nyingine niliambiwa eti, eti, Tango na Asali unavuta, sasa sijui kuna ukweli hapo?
Huko kwenu tango na asali vinapatikana ujaribu !?Tango na Asali je hili lina ukweli?
Asali + Limao = Kifo
Sijui kama ni kweli au vipi ila nimewahi kusikia.
Tushike lipi ?!Asali na ndimu
.....ulisahau parachichi !wakuu leo asubuh nimekula chapati tatu, mayai ya kukaanga matatu...chai ya rangi...maharage...baada ya kumaliza vyote...nikashushia na pepsi ya baridi.....kilichofuata ni kama nimepangisha chooni....hali yangu sio nzur kwa kweli...
Uchoyo tu ulikua. Vitu vitamu vitamu vyote eti ndo hali mwanamkeKule kwetu mila zetu zilikuwa zinakataza wakina mama kula mayai, figo, maini, nundu ya ng'ombe, filigisi n.k.
.....usiogope bila shaka !Hii sijui niijaribu? Maana kila mara natamani sana kujithibitishia pasipo shaka ila naogopa....