Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,794
- 5,352
Sio kweli, hizo ni myths tu na stori za abunuasi.katika pitapita zangu nimekutana na hii habari,kuwa kuna vyakula/vinywaji hutakiwi kula kwa wakati mmoja. yaani "mfano" ule yai wakati huo huo ule ndizi. utakufa! je ni kweli na kama kweli vipo msaada wa kuvitaja
Kule kwetu mila zetu zilikuwa zinakataza wakina mama kula mayai, figo, maini, nundu ya ng'ombe, filigisi n.k.katika pitapita zangu nimekutana na hii habari,kuwa kuna vyakula/vinywaji hutakiwi kula kwa wakati mmoja. yaani "mfano" ule yai wakati huo huo ule ndizi. utakufa! je ni kweli na kama kweli vipo msaada wa kuvitaja
Ukijibiwa niite mkuu.Kuna nyingine niliambiwa eti, eti, Tango na Asali unavuta, sasa sijui kuna ukweli hapo?
nimewah kusikia piaKuna nyingine niliambiwa eti, eti, Tango na Asali unavuta, sasa sijui kuna ukweli hapo?
Nishaskia hii ishuKuna nyingine niliambiwa eti, eti, Tango na Asali unavuta, sasa sijui kuna ukweli hapo?
Duh bora mm situmii asal kabisa natapika mno nikilambaKuna nyingine niliambiwa eti, eti, Tango na Asali unavuta, sasa sijui kuna ukweli hapo?
Mie nimesikia soda na fenesi, ukichanganya unapoteza. Sijajua ukweli ukojeWanasema tango+asali.nikujitakia kifo
Uongo wa mchana saa saba. Nimeshafanya hivyo mara nyingi tu. Unaweza kwenda kumix hiyo kitu harafu 100% bila shaka utarudi hapa kuthibitisha..."mfano" ule yai wakati huo huo ule ndizi utakufa..
Mimi shuhuda no1 Nimeshawi kula vyote na sijahisi chochote mwilini ila Leo ndio nasikia kwenu ati mtu anakufa ina maana Mimi ni mzimu!?Wanasema tango+asali.nikujitakia kifo