TheChoji
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 5,771
- 17,849
Sawa. Uzuri vyote ninavyo hapa ntaleta mrejeshoUsiweke chai,kula ndimu yenyewe na asali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa. Uzuri vyote ninavyo hapa ntaleta mrejeshoUsiweke chai,kula ndimu yenyewe na asali
Ukifa utaletaje mrejesho?huandiki hata wosia,jaribu uoneSawa. Uzuri vyote ninavyo hapa ntaleta mrejesho
Isije ukawa msukule mkuu...hebu jifinye kidogo ujihakikisheHamna lolote mi kipindi cha corona nimekunywa sana chai yenye asali, ndimu, tangawizi na mdalasini mbona nipo hapa JF mda huu..?
UzushiKatika pitapita zangu nimekutana na hii habari, kuwa kuna vyakula/vinywaji hutakiwi kula kwa wakati mmoja. Yaani "mfano" ule yai wakati huo huo ule ndizi utakufa.
Je ni kweli na kama kweli vipo? Msaada wa kuvitaja
unahisi kwann walizusha hivyo vituUzushi
Jiulizeunahisi kwann walizusha hivyo vitu
Unadhurika vibaya mno mkuu japo tiba ipo ila nayo Ni GHALI mno na inachukua muda mrefu mno kuponaIla haukufi?
Kama inatokea baada ya muda mrefu wewe umejuajee ?.Ukila Samaki na maziwa mgando kwa wakati mmoja Mara kwa Mara unapata ugonjwa wa MBARANGA (Vitiligo) usipuuze Ni ishu inayotokea baada ya muda mrefu toka utumie
Watanzania wengi ni mizimu ila hamhijui tu,fikiri kama wewe sio mzimu inawezekana vipi mafuta yamepanda bei na wewe umetulia tuMimi shuhuda no1 Nimeshawi kula vyote na sijahisi chochote mwilini ila Leo ndio nasikia kwenu ati mtu anakufa ina maana Mimi ni mzimu!?
Mkuu kula tu usihofuKama inatokea baada ya muda mrefu wewe umejuajee ?
Huo muda mrefu ni ni masiku mangapi au miaka mingapi ?
Sasa na wewe tango na asali ni wapi na wapi?! Ni sawa na kunywa chai na miwa..... Au chapati na ugali.Kuna nyingine niliambiwa eti, eti, Tango na Asali unavuta, sasa sijui kuna ukweli hapo?
Walikula ile mihogo yenye sumu , ile unatakiwa kuiloweka kwanza kwenye maji usiku kucha kisha asubuhi uianike itumike kutengenezea unga.Kula mhogo kwa wachagga wanakufa nayo n kweli?
Asali + limao = LemonadeAsali + Limao = Kifo
Sijui kama ni kweli au vipi ila nimewahi kusikia.
Mie kila siku nakunywaHamna lolote mi kipindi cha corona nimekunywa sana chai yenye asali, ndimu, tangawizi na mdalasini mbona nipo hapa JF mda huu..?
We jamaa bwanAWatanzania wengi ni mizimu ila hamhijui tu,fikiri kama wewe sio mzimu inawezekana vipi mafuta yamepanda bei na wewe umetulia tu
Hii true bro ang alikufa kimchezo mchezo bt nikasikia wakerewe wamemloga kisa tu msomi ,try utanishukuruFlagyl + pombe=kifo hata muda wa kuandika wosia hupati