Ni kweli kuna watu wanaroga ili mwenye nyumba asahau kumalizia ujenzi au kuhamia kwenye nyumba yake?

Siyo tu hivyo unaweza hata kusahau kama ulianzisha ujenzi na unajenga labda kama mtu akuzindue watu waroga , kwa wale ambao hujenga kimyakimya bila kumshirikisha mtu wa karibu hata wa kukuzindua kama una ujenzi ndo basi tena 😀😀😀
 
Siyo tu hivyo unaweza hata kusahau kama ulianzisha ujenzi na unajenga labda kama mtu akuzindue watu waroga , kwa wale ambao hujenga kimyakimya bila kumshirikisha mtu wa karibu hata wa kukuzindua kama una ujenzi ndo basi tena 😀😀😀
Watu wabaya sana🤣😂😂😂
 

Afrika ni raha sana ndani ya roho. Yaani mwingine anaenda kwa nabii ili aliyemkopesha asahau. Huku wengine wakienda kwa sangoma ili mwenye nyumba asimalizie ujenzi ili waendelee kuishi hapo.
 
Kama kijijini mtu anarogwa anaacha mashamba anakimbilia mjini na harudi kwao mpaka anakufa, watu watashindwa kukutengeneza wewe usahau nyumba yako?
 
Viwanja hii dhana haihusiki? Maana nina maeneo kila nikitaka kwenda naahirisha yaani sijisikii tu kwenda na sina sababu. Mbaya zaidi napita kwenda kwingine mbali zaidi. Na leo nimepita 😇😇
Kama umeweka mtu alinde kiwanja basi mfukuze utashangaa kila wikiendi unaenda...very strange but ni ukweli...kabisa Nina experience zaidi ya moja ya hayo mambo
 
Mkuu utawapata wengi sana. Jiandae tu kuvuna chenji.
 
Zaka kivipi mkuu
 
Hyo kitu ipo sana
  1. Kuna wapangaji
  2. Walinzi wa nyumba
 
Kama umeweka mtu alinde kiwanja basi mfukuze utashangaa kila wikiendi unaenda...very strange but ni ukweli...kabisa Nina experience zaidi ya moja ya hayo mambo
Naahidi weekend ijayo naanza kutembelea. Hii si kawaida yangu.
 
Zaka kivipi mkuu
Zaka ni malipo ya 10% Kutoka kwenye Pato alilokupa Mungu.

Sasa ukijenga nyumba bila kulipa zaka, u atafuta matatizo maana wapagani au washirikina hawajengi bila Kutoa sadaka Kwa miungu Yao, iweje mwana wa Mungu ujenge KICHWA KICHWA Kwa kukurupuka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…