Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,324
- 5,933
- Thread starter
- #21
Mimi sikua na shida na bikra maana nilijua anamtoto lakini nilimfuata ivo ivo... yy ndo alileta swaga za bikra ndo nahisi kanivurugaBIKRA YA NINI SASA UNATAKA 🤒🤒🤒,?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sikua na shida na bikra maana nilijua anamtoto lakini nilimfuata ivo ivo... yy ndo alileta swaga za bikra ndo nahisi kanivurugaBIKRA YA NINI SASA UNATAKA 🤒🤒🤒,?
Hahaha zile za mchongo au sio🤣🤣inarudi,we hayaa
Achilia mbali kuzaa, hata kama ilitolea na dogo kwenye michezo ya kibaba baba utotoni huko. Ndo imeenda hiyo.Unadanganywa, mtu akishazaa haiwezekani tena kuwa bikira...Full stop
NakubaliAchilia mbali kuzaa, hata kama ilitolea na dogo kwenye michezo ya kibaba baba utotoni huko. Ndo imeenda hiyo.
Nakubaliana na wewe mkuu.Mwanamke mwenye drama kama huyo wa nini?piga chini
Hizo damu zilizomtoka hazitakiwi kuwa shida zako kwasababu yeye anajua sababu ndio maana akajihami kwa kutandika kitenge
Sasa zile damu ni za nn??Unadanganywa, mtu akishazaa haiwezekani tena kuwa bikira...Full stop
Ndo nawaza mpaka napata hasira hapa... kwanza huyo mwanamke sijui alikuonaje aisee!
🤣🤣🤣🤣🙌🏿Hahaha zile za mchongo au sio
• Kama wewe ni mvulana achana na haya mambo, tafuta hela kwanza,Mimi sikua na shida na bikra maana nilijua anamtoto lakini nilimfuata ivo ivo... yy ndo alileta swaga za bikra ndo nahisi kanivuruga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jichangaaanye
Yaani mtu ni Single mother (Ina maana ameshazaa) halafu awe na bikira kisa tu hajashiriki tendo muda mrefu? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Labda nazeeka sijui
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwanamke mwenye drama kama huyo wa nini?piga chini
Hizo damu zilizomtoka hazitakiwi kuwa shida zako kwasababu yeye anajua sababu ndio maana akajihami kwa kutandika kitenge
Mzeee 😂 Pole ila hiyo kitu ni feki, Mwanamke asipofanya mapenzi muda mrefu ni kuwa uke unakuwa tight tuuu ,Ila in time mukiwa mnafanya siku hiyo hiyo unaanza kurudi kawaida.....Hakuna Damu mzee, It's a fake na kuna dawa Mitishamba wanatumiaga kitu kinableed mzee.....Ila kwa maelezo zaidi labda ni miracle kweli au Anaumwa na ugonjwa wa Virginity regeneration, Itakuwa a Rare disorder hiiWasalaam madaktari na wahenga...
Ninaandika uzi huu nikiwa na maswali mengi yakinichanganya akili.
Nina mchumba wangu ni single mother pia amenizidi hadi umri.
Kwanza ameokoka na katika uchumba wetu, aligoma tusifanye mapenzi kabla ya ndoa otherwise hatutafikia hatua ya malengo yetu, nilitika kishingoupande ila sikukubali kwakua wanawake wa mjini ni janja janja saana. Niliendelea kumchombeza mwishoe akajaa akahitaji tu sex.
Alinipa taadhari kwamba ni miaka mitatu hajafanya mapenzi hivo anahisi atakua kama bikra. Nilifurahi kusikia hivo.
Basi siku tunakutana sikuamini alijifanya kuhangaika na kuomba atandike kitenge chake ili asijechafua shuka la hotel, nilianza kuona vitu vya ajibu kama discharge zenye u kijani nikasema ngoja ni stop nijifute, kuja kufuta zikabadilika rangi na kua nyekundu mithili ya damu, kumcheki na yeye kwenye uke kuna damu? Kumuuliza anasema anashangaa hata yeye hajui pengine ni bikra ivo nimemtoa bikra upyaa.🙄🙄🙄
Akaniambia amekua akiskia maumivu nilipokua na muingilia kwakua ni mda mrefu, hata ivo amekua mtu wa maombi saana kiasi ya kwamba mtumishi wake alimwambia anaweza rudisha bikra yake atakama alisha zaa.
Kifupi damu zilitoka nyingi hadi kero lakini chaajabu sijaona ugumu katika kumwingilia, yaani nikama nilikua nafanya mapenzi na mwanamke mzoefu... nikabaki najiuliza je ni bikra fake (maana naskia zipo) au ni mgonjwa??
MADAKTAR mnisaidie sio mgonjwa kweli?? Na ka mgonjwa atakua anaumwa nn?? Na je hajaniambukiza?
Na nikweli bikra ya nyuzi inaweza kurudi ndani ya miezi mitatu?
Makungwi pia nisaidieni hapo?
kuhusu period hakua tarehe za period
natanguliza shukrani🙏
Wewe kazi yako ni Kutoa macho tuu na kusema ngoja waje.