fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
umemaliza kila kitu madam🙌Mwanamke mwenye drama kama huyo wa nini?piga chini
Hizo damu zilizomtoka hazitakiwi kuwa shida zako kwasababu yeye anajua sababu ndio maana akajihami kwa kutandika kitenge
🤣🤣jamani jamani...mi huwa siongei?Wewe kazi yako ni Kutoa macho tuu na kusema ngoja waje.
Hutoagi ushauri kabisa yani na kila thread wewe ni wa kwanza ku comment.
Nyau kabisa....
Haya nimerudi kijana. Kwa ufupi ni kwamba UMETAPELIWA. Bikira original inatolewa mara moja tu. Na huwa hairudi tenaHapana mkuu nahitaji msaada siko sawa kisaikolojia plzz ka unamsaada nisaidie
Well saidMkuu, pole sana.
Bikra unaelewa kwanza ni nini?
Kwa lugha nyepesi Bikra ni uwepo wa HYMEN.
Je, Hymen ni nini?
Hymen ni utando mwembamba wa tishu unaozunguka na kufunika sehemu ya kufungulia ya uke.
Sasa mwanamke akishaingilia (iwe kwa hiari ama lazima) ule utando utajikaza na kuchanika.
Na kuchanika kule ndiyo haswa kunakopeleka kutoka damu na wahusika kuita kuvunja bikra.
Je, bikra inaweza kurudi baada ya kutokufanya mapenzi kwa muda mrefu?
Jibu ni HAPANA. Ikishakatika haiwezi kuota tena kwa namna yeyote ile.
Kitabibu haiwezekani abadani.
Ukweli pekee ni kuwa, uke wa mwanamke una uwezo wa kujirudi na kupungua size isipotumika kwa muda mrefu. Ndiyo kunakopelekea kubana na pengine kuhisi kitu haijatumika.
Je, ni nini hicho ambacho kimepasuka na unachikiita damu!?
KItabibu ndiyo zipo capsules ziitwazo Vaginal suppositories. Hizi hutumika katika kubalance PH ya kwenye uke na kutibu baadhi ya maambukizi.
Lakini pia kuna ambazo hutumika kienyeji kwa malengo mbalimbali. Haswaa, kudanganya.
Je, umepata maambukizi?
Hakuna jibu la moja kwa moja. Kwa sababu usahihi pekee ni kupima na kujua kama umeambukizwa ama la. Au pengine mabadiliko kwenye viungo vyako vya uzazi.
Hujatueleza pia kuwa hiyo discharge ilikuwa na harufu gani? Uume wako uliwasha? Kuna mabadiliko yeyote?
Fika hospital kwa uchunguzi.
Mimi huwa naona ngoja waje tuu huo ndiyo msemo wako. Treads nyingi sana wewe wa kwanza. Ulikuwa una penda sana kaa front bencha kipindi upo xkul 😂😂🤣🤣jamani jamani...mi huwa siongei?
Umekutana na demu yuko period over, watoto elfu mbili hebu tuachane kwanza dah, ukiulizwa kuwa mwanamke bikira ni yupi? utajibu nini? Jibu ni rahisi sana kuwa ni mwanamke ambaye hajawahi kuingiliwa na kitu kigumu sehemu zake za siri over. Ikiwa amejitia au kutiwq vidole au dildo huyo si bikira tena. Iweje ambaye hajaingiliwa kwa muda fulani tu? Mhhh alikuokota kweli alafu akakupiga hela? Unasemaje haikuwa siku yake ya period? Umemfuatilia kwa muda gani mpaka kujua mpangilio wake wa period? Vipi kama alitumia dawa fulani ambazo zilivuruga mpangilio mzima? Kwa maelezo yake na yako alikuona boya akaona akupige na ukala iliyooza jifunze.Wasalaam madaktari na wahenga...
Ninaandika uzi huu nikiwa na maswali mengi yakinichanganya akili.
Nina mchumba wangu ni single mother pia amenizidi hadi umri.
Kwanza ameokoka na katika uchumba wetu, aligoma tusifanye mapenzi kabla ya ndoa otherwise hatutafikia hatua ya malengo yetu, nilitika kishingoupande ila sikukubali kwakua wanawake wa mjini ni janja janja saana. Niliendelea kumchombeza mwishoe akajaa akahitaji tu sex.
Alinipa taadhari kwamba ni miaka mitatu hajafanya mapenzi hivo anahisi atakua kama bikra. Nilifurahi kusikia hivo.
Basi siku tunakutana sikuamini alijifanya kuhangaika na kuomba atandike kitenge chake ili asijechafua shuka la hotel, nilianza kuona vitu vya ajibu kama discharge zenye u kijani nikasema ngoja ni stop nijifute, kuja kufuta zikabadilika rangi na kua nyekundu mithili ya damu, kumcheki na yeye kwenye uke kuna damu? Kumuuliza anasema anashangaa hata yeye hajui pengine ni bikra ivo nimemtoa bikra upyaa.🙄🙄🙄
Akaniambia amekua akiskia maumivu nilipokua na muingilia kwakua ni mda mrefu, hata ivo amekua mtu wa maombi saana kiasi ya kwamba mtumishi wake alimwambia anaweza rudisha bikra yake atakama alisha zaa.
Kifupi damu zilitoka nyingi hadi kero lakini chaajabu sijaona ugumu katika kumwingilia, yaani nikama nilikua nafanya mapenzi na mwanamke mzoefu... nikabaki najiuliza je ni bikra fake (maana naskia zipo) au ni mgonjwa??
MADAKTAR mnisaidie sio mgonjwa kweli?? Na ka mgonjwa atakua anaumwa nn?? Na je hajaniambukiza?
Na nikweli bikra ya nyuzi inaweza kurudi ndani ya miezi mitatu?
Makungwi pia nisaidieni hapo?
kuhusu period hakua tarehe za period
natanguliza shukrani🙏
Dunia ya leo kuna mwanamke wa kukaa miaka mitano bila kugongwa? Alikuwa jela ama? Dogo ulipigwa KOWasalaam madaktari na wahenga...
Ninaandika uzi huu nikiwa na maswali mengi yakinichanganya akili.
Nina mchumba wangu ni single mother pia amenizidi hadi umri.
Kwanza ameokoka na katika uchumba wetu, aligoma tusifanye mapenzi kabla ya ndoa otherwise hatutafikia hatua ya malengo yetu, nilitika kishingoupande ila sikukubali kwakua wanawake wa mjini ni janja janja saana. Niliendelea kumchombeza mwishoe akajaa akahitaji tu sex.
Alinipa taadhari kwamba ni miaka mitatu hajafanya mapenzi hivo anahisi atakua kama bikra. Nilifurahi kusikia hivo.
Basi siku tunakutana sikuamini alijifanya kuhangaika na kuomba atandike kitenge chake ili asijechafua shuka la hotel, nilianza kuona vitu vya ajibu kama discharge zenye u kijani nikasema ngoja ni stop nijifute, kuja kufuta zikabadilika rangi na kua nyekundu mithili ya damu, kumcheki na yeye kwenye uke kuna damu? Kumuuliza anasema anashangaa hata yeye hajui pengine ni bikra ivo nimemtoa bikra upyaa.🙄🙄🙄
Akaniambia amekua akiskia maumivu nilipokua na muingilia kwakua ni mda mrefu, hata ivo amekua mtu wa maombi saana kiasi ya kwamba mtumishi wake alimwambia anaweza rudisha bikra yake atakama alisha zaa.
Kifupi damu zilitoka nyingi hadi kero lakini chaajabu sijaona ugumu katika kumwingilia, yaani nikama nilikua nafanya mapenzi na mwanamke mzoefu... nikabaki najiuliza je ni bikra fake (maana naskia zipo) au ni mgonjwa??
MADAKTAR mnisaidie sio mgonjwa kweli?? Na ka mgonjwa atakua anaumwa nn?? Na je hajaniambukiza?
Na nikweli bikra ya nyuzi inaweza kurudi ndani ya miezi mitatu?
Makungwi pia nisaidieni hapo?
kuhusu period hakua tarehe za period
natanguliza shukrani🙏
Wasalaam madaktari na wahenga...
Ninaandika uzi huu nikiwa na maswali mengi yakinichanganya akili.
Nina mchumba wangu ni single mother pia amenizidi hadi umri.
Kwanza ameokoka na katika uchumba wetu, aligoma tusifanye mapenzi kabla ya ndoa otherwise hatutafikia hatua ya malengo yetu, nilitika kishingoupande ila sikukubali kwakua wanawake wa mjini ni janja janja saana. Niliendelea kumchombeza mwishoe akajaa akahitaji tu sex.
Alinipa taadhari kwamba ni miaka mitatu hajafanya mapenzi hivo anahisi atakua kama bikra. Nilifurahi kusikia hivo.
Basi siku tunakutana sikuamini alijifanya kuhangaika na kuomba atandike kitenge chake ili asijechafua shuka la hotel, nilianza kuona vitu vya ajibu kama discharge zenye u kijani nikasema ngoja ni stop nijifute, kuja kufuta zikabadilika rangi na kua nyekundu mithili ya damu, kumcheki na yeye kwenye uke kuna damu? Kumuuliza anasema anashangaa hata yeye hajui pengine ni bikra ivo nimemtoa bikra upyaa.🙄🙄🙄
Akaniambia amekua akiskia maumivu nilipokua na muingilia kwakua ni mda mrefu, hata ivo amekua mtu wa maombi saana kiasi ya kwamba mtumishi wake alimwambia anaweza rudisha bikra yake atakama alisha zaa.
Kifupi damu zilitoka nyingi hadi kero lakini chaajabu sijaona ugumu katika kumwingilia, yaani nikama nilikua nafanya mapenzi na mwanamke mzoefu... nikabaki najiuliza je ni bikra fake (maana naskia zipo) au ni mgonjwa??
MADAKTAR mnisaidie sio mgonjwa kweli?? Na ka mgonjwa atakua anaumwa nn?? Na je hajaniambukiza?
Na nikweli bikra ya nyuzi inaweza kurudi ndani ya miezi mitatu?
Aliniambia yeye ni bikira kumbe hakuna kitu
Habarini wana jamvi ,natumaini mko salama na poa kabisa. Leo nimeona nilete mkasa wangu kwenu, mkasa ambao niliwahi pitia huko nyuma. Iko hivi miaka michache nyuma nilikutana na dada mmoja kwenye mtandao fulani wa kijamii kwenye page moja hivi kipindi hiko mimi miaka 27 na yeye miaka 23, hiyo...www.jamiiforums.com Wasalaam madaktari na wahenga...
Ninaandika uzi huu nikiwa na maswali mengi yakinichanganya akili.
Nina mchumba wangu ni single mother pia amenizidi hadi umri.
Kwanza ameokoka na katika uchumba wetu, aligoma tusifanye mapenzi kabla ya ndoa otherwise hatutafikia hatua ya malengo yetu, nilitika kishingoupande ila sikukubali kwakua wanawake wa mjini ni janja janja saana. Niliendelea kumchombeza mwishoe akajaa akahitaji tu sex.
Alinipa taadhari kwamba ni miaka mitatu hajafanya mapenzi hivo anahisi atakua kama bikra. Nilifurahi kusikia hivo.
Basi siku tunakutana sikuamini alijifanya kuhangaika na kuomba atandike kitenge chake ili asijechafua shuka la hotel, nilianza kuona vitu vya ajibu kama discharge zenye u kijani nikasema ngoja ni stop nijifute, kuja kufuta zikabadilika rangi na kua nyekundu mithili ya damu, kumcheki na yeye kwenye uke kuna damu? Kumuuliza anasema anashangaa hata yeye hajui pengine ni bikra ivo nimemtoa bikra upyaa.🙄🙄🙄
Akaniambia amekua akiskia maumivu nilipokua na muingilia kwakua ni mda mrefu, hata ivo amekua mtu wa maombi saana kiasi ya kwamba mtumishi wake alimwambia anaweza rudisha bikra yake atakama alisha zaa.
Kifupi damu zilitoka nyingi hadi kero lakini chaajabu sijaona ugumu katika kumwingilia, yaani nikama nilikua nafanya mapenzi na mwanamke mzoefu... nikabaki najiuliza je ni bikra fake (maana naskia zipo) au ni mgonjwa??
MADAKTAR mnisaidie sio mgonjwa kweli?? Na ka mgonjwa atakua anaumwa nn?? Na je hajaniambukiza?
Na nikweli bikra ya nyuzi inaweza kurudi ndani ya miezi mitatu?
Makungwi pia nisaidieni hapo?
kuhusu period hakua tarehe za period
natanguliza shukrani🙏
Makungwi pia nisaidieni hapo?
kuhusu period hakua tarehe za period
natanguliza shukrani🙏
I swear by Satan nam,STD 7 girls from kipunguni primary school is better than youShkuru uliyejaakiwa elim yoote ya dunia hii ila usituone wapumbavu tunaohitaji
Mhhh abortion na kuja nimkanyaje mapema ivoAlifanya abortion huyo.
🤣🤣🤣 Hapana umenionea bureMimi huwa naona ngoja waje tuu huo ndiyo msemo wako. Treads nyingi sana wewe wa kwanza. Ulikuwa una penda sana kaa front bencha kipindi upo xkul 😂😂
Ananiambia ameenda botch hospital madaktari wananishangaa et ni mwanaume gani naogopa bikra??Bikra hairudi kamwe, ila mwanamke akiacha kusex sio miaka mitano hata miezi mitatu tu misuli ya uke inabana kabisa na katika kuingiliwa tena mnaanza upya, ila sio damu labda mtu anaweza kuumia kwa kuchanwa kidogo au msuguano.
Na hata kwenye bikra ile ya kawaida si kila mwanamke anapata madamu hivyo, inakuwa kawaida tu.
Huyo wako na hizo damu akueleze vizuri, Mwambie sayansi imekataa kitu kama hiko.
Kaka nani pumbavu sasa??Pumbavu
Wewe kazi yako ni Kutoa macho tuu na kusema ngoja waje.
Hutoagi ushauri kabisa yani na kila thread wewe ni wa kwanza ku comment.
Nyau kabisa....