Ni kweli kuto kusex miaka mitano kunarudisha bikra kwa mwanamke aliyezaa?

Huenda ni bikra ya mwendo kasii mkuu. sasa utafanyaje ili hali ushayakanyaga mwenyewe?

umelengeshwa yupo anga za juu mwezini hakafu ukapigwa na kitu jizito sana. Lakini hadi umri huo bikra huijui kweli? Basi kama bado hujatoa kajaribu hata ya mbuzi utuletee mrejesho hapa kwa kutupa uwiano uluio sawa sawia na ya single maza tapeli
 
Katika maisha yangu sijawahi kutana nayo ndicho kilichonivuruga ila iyo mwendo kasi nimeielwa
 
🤣🤣🤣 single mother alafu msifanye mapenzi hadi ndoa
Atakuwa kakuroga huyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…