Neno sana mkuu. Na ukute hawa vyuon wameishi na msela 1,2 or 3yrs unakuja kuoa mtu katoa mimba za kutosha inshot bora single mazaMwanamke akishakua na historia ya kuwa na mahusiano na wanaume zaidi ya watatu(kwa vipindi tofauti(, hiyo ni red flag π© bro.
Usikimbilie kuoa, jaribu kuchunguza kidogo.
Hawa wa chuo sio wakuoaHapo unakutana ashakutana na mandume wenye mitambo ya 10+inch. Mtu anatindua K kwa masaa mawili na dakika thelathini. Au anakesha usiku mzima anapelekwa moto, toka saa moja na nusu usiku mpaka saa mbili na nusu asubuhi, mpaka kitanda kinavunjika.
Anakuja kuolewa na mme kibamia inch4 anayekojoa kwa sekunde thelathini π€£π€£π€£ atateseka mno
Kutoa mimba hakufanyi usiwe single mother sijui kwanini mmekariri hii kitu unaweza ukawa ni single mother but ukawa na historia ya kutoa mimbaNeno sana mkuu. Na ukute hawa vyuon wameishi na msela 1,2 or 3yrs unakuja kuoa mtu katoa mimba za kutosha inshot bora single maza
Duh!Hawa wa chuo sio wakuoa
Usigune mkuu sio wote lakn. Fanya tafiti huru.Duh!
Masingo tena? Hawa hawana uzoefu. Uzoefu unapatikana kwa wale ambao walishaoa wanawake wa aina hii.Nimekaa hapa nasubiri masingo waje kutoa hoja.
Watu wanaangalia kinachoonekana. Sema kwa kizazi kilichopitia vyuon mimba wametoa sanaKutoa mimba hakufanyi usiwe single mother sijui kwanini mmekariri hii kitu unaweza ukawa ni single mother but ukawa na historia ya kutoa mimba
Wanawake wana siri mkuu unakuta hapo ana watoto wawili but katoa mimba kama 3 naongea haya ninajua mkuu nimewahi kutoka na mahusiano na single mother mwenye watoto watatu na alikuwa muwazi akaniambia amewahi kutoa mimba 2 hapo kabla ndio maana shangaa kwanini watu wamekariri watoaji wa mimba eti ni wale tu ambao sio single motherWatu wanaangalia kinachoonekana. Sema kwa kizazi kilichopitia vyuon mimba wametoa sana
Nimekusoma mkuuWanawake wana siri mkuu unakuta hapo ana watoto wawili but katoa mimba kama 3 naongea haya ninajua mkuu nimewahi kutoka na mahusiano na single mother mwenye watoto watatu na alikuwa muwazi akaniambia amewahi kutoa mimba 2 hapo kabla ndio maana shangaa kwanini watu wamekariri watoaji wa mimba eti ni wale tu ambao sio single mother
Noma sana.Usigune mkuu sio wote lakn. Fanya tafiti huru.
Wanawake wana siri mkuu unakuta hapo ana watoto wawili but katoa mimba kama 3 naongea haya ninajua mkuu nimewahi kutoka na mahusiano na single mother mwenye watoto watatu na alikuwa muwazi akaniambia amewahi kutoa mimba 2 hapo kabla ndio maana shangaa kwanini watu wamekariri watoaji wa mimba eti ni wale tu ambao sio single mother
Sio kdgoNoma sana.
HahahaBwana Yesu apewe sifa.
Kuna sehem nimesoma kua kama mwanamke ameshatumika sana na wanaume. Ikitokea ameolewa basi hataweza tulia kwenye ndoa yake kabisa.
Mshkaji anasema sababu ni wanaume ambao huyo mwanamke atakua katana nao watakua wameshamtumia kwa njia zote wanazojua wao, wameshamhonga, kumtumia nauli za kutosha.
Eti kaka zangu ambao mko single nyie mnasemaje kuhusu hili?ππ
Na wadogo na dada zangu pia mnasemaje kuhusu hili?π
ChaiUSIHOFU HATA KAMA KATUMIKA LAKINI FAHAMU KUWA MKE MWEMA ANATOKA KWA BWANA YESU
AWE AMETUMIKA AU HAJATUMIKA
YesOnce a whore always a whore.