Ni kweli kuwa Serikali haina fedha ya kuwajengea stendi ya mabasi ndugu zetu nshomile?

Ni kweli kuwa Serikali haina fedha ya kuwajengea stendi ya mabasi ndugu zetu nshomile?

Mwizukulu mgikuru

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2021
Posts
5,715
Reaction score
13,739
Kuna msemo husema mkaidi hafaidi mpaka siku ya Idd, lakini pia nimekuwa nikisikia kuwa ndugu zetu nshomile hujifanya wajuaji wa kila kitu, lakini pia ni wabinafsi kupindukia..je? ujuaji wao ndio umefanya serikali iwaache wapambane na hali yao! lakini pia hawa ndugu zetu huko nyuma walikumbwa na tetemeko la ardhi, wahisani walitoa michango mingi sana kwa ajili ya maafa lakini ndugu hawakulamba hata mia.

Msimu wa mvua unakaribia je wataendelea kuogelea kwenye madimbwi ya pale stendi Bukoba mjini mpaka lini?

IMG_20230905_124924.JPG

IMG_20230905_124823.JPG
 
KUTOKA BUKOBA RWAMISHENYE KYEBITEMBE[emoji28]

Maoni yangu ni kuwa stendi ilishapangiwa bajeti na environmental scanning ya eneo la stendi imeshafanyika zamani sana itajengwa KYAKAIRABWA. Serikali imeshindwa kuweka fedha katika mradi huu lakn pia Mbunge ambaye anabidi kupush anashindwa kufanya hivyo.
Fedha zimekuwa zikipelekwa kwenye miradi mingine ya kimaendeleo, nikukumbushe sio stendi tu bali na soko linabidi kuhama ila hakuna lolote linaloendelea mpaka sasa
 
shida sio waziri...shida ni wakazi husika wa bukoba mjini ndio wenye tatizo..nenda kigoma mjini uone bonge la stendi iliojengwa pale
Waziri bashungwa naye hajitambui,aliwekwa tamisemi akabaki anashangaa,amepelekwa tena ujenzi napo abaki anashangaa shangaa

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
 
kuna msemo husema mkaidi hafaidi mpaka siku ya idd, lakini pia nimekuwa nikisikia kuwa ndugu zetu nshomile hujifanya wajuaji wa kila kitu, lakini pia ni wabinafsi kupindukia..je? ujuaji wao ndio umefanya serikali iwaache wapambane na hali yao! lakini pia hawa ndugu zetu huko nyuma walikumbwa na tetemeko la ardhi, wahisani walitoa michango mingi sana kwa ajili ya maafa lakini ndugu hawakulamba hata mia...msimu wa mvua unakaribia je wataendelea kuogelea kwenye madimbwi ya pale stendi bukoba mjini mpaka liniView attachment 2739663View attachment 2739663View attachment 2739664
Ahaa haaaah leo mjukuu wetu kasi mama kututetea. Asante sana mjukuu wetu. Ni kweli serikali imetelekeza mkoa wa Kagera. Hiyo stand ya mabasi is a tip of iceberg
 
shida sio waziri...shida ni wakazi husika wa bukoba mjini ndio wenye tatizo..nenda kigoma mjini uone bonge la stendi iliojengwa pale
Nikuulize swali, hilo bonge la stand ya Kigoma pesa ya kulijenga imetokea kwenye vyanzo vya mapato vya mkoa huo bila kutoka serikali kuu?
 
Hawa jamaa hawana eneo la kujenga hiyo stendi, mi nashauri waachwe hivyo hivyo. Stand yao ile ukiweka shiling 10,000 zinatosha kukarabati eneo lile wao wanaloliita stand.
Yani serikali iwajengee wapi hewani?
 
Back
Top Bottom