Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,240
Kwenye mapenzi mna-claim kutumia moyo, ili mkiumizwa mlalamike "oooh! how did I end up with this guy" In the first place mnatakiwa kutumia Brain the una-mix na Moyo kidogo! sio moyo jumla jumla!
Hongera kwa kupata licence ya kusema uwongo kwa bei yoyote ile!!@Iribini mbona unataka kuni-misuse mwenzio bado mpya hivi??
@Bigirita moyo ni kwa mapendo na kichwa mahesabu
@Carmel nitafanya 'bash' pale 'New Maisha Club Usiku wa leo' lol!!!!
WOS uko wapi kuna watu wame=hijack sred yako hapa........mi simo
Umeonaeee!!Sometimes unakuwaga Kipanga kweli! leo huna hengiova.Bht mrembo,tutake tusitake huu ndio ukweli.Tunapaswa kutumia moyo na akili la sivyo hawa wavaa suruale watatufanya mazoba kila siku.
Hongera kwa kupata licence ya kusema uwongo kwa bei yoyote ile!!
Ile likizo itakuwa imeisha sasa,! wapi Bala.
Xpin acha kum-misiyuzi this newly, unused...read to use professional mtetezi
Umeonaeee!!
waache tu waendelee kutumia moyo kwenye mapenzi, na brain kwenye arthmetics waone maumivu kama yataisha!
kama kuna mdada anatafuta mchumba, leo akikutana na mimi leo, yani full marriage material!!
Halafu kale katufe kakukagua invizibo sijui kabania!!!
Umeonaeee!!
waache tu waendelee kutumia moyo kwenye mapenzi, na brain kwenye arthmetics waone maumivu kama yataisha!
kama kuna mdada anatafuta mchumba, leo akikutana na mimi leo, yani full marriage material!!
Halafu kale katufe kakukagua invizibo sijui kabania!!!
carmel mada haizingatiwi tena kwenye thread hii .............lakini mwanzo ilikuwa ni kujieleza ni kwa sababu zipi uliingia kwenye ndoa?
Kama ni hivyo I will need some witten apology statement. Before I change my mind!!at the corner........B umechelewa sana jamani
BTW: leo sijui nimeamkaje maana bado naota hapa....infact nipo lushoto nimejiunga kusomea certificate ya utumishi wa mahakama so i was only dreaming the day am going to be sworn in as the so called msema uongo ..oops msema kweli tu before the pilato...........
I was only dreaing jamani................stop congratulating me for just dreaming ebo!!! people...
at the corner........B umechelewa sana jamani
BTW: leo sijui nimeamkaje maana bado naota hapa....infact nipo lushoto nimejiunga kusomea certificate ya utumishi wa mahakama so i was only dreaming the day am going to be sworn in as the so called msema uongo ..oops msema kweli tu before the pilato...........
I was only dreaing jamani................stop congratulating me for just dreaming ebo!!! people...
MI LEO SINA MOOD KABISA YA KUCHANGIA, BUT IM FOLLOWING, SEMA TU IMEBIDI NIJITOKEZE KUMPONGEZA BHT, baada ya kuona nae ni mmoja wapo wa watu walofanya mista awe bize siku mbili tatu hizi.
My dear Carmel Invisible imeichukua mood yako au??:A S-rose:
wakuu,
leo mnajadili nini?
Kama ndivyo basi ndio maana MOKOYO; FIDEL80; etc bado hawajawa na ndoa.Kama alivyosema FL1 kila mtu aliingia kwenye ndoa kwa sababu zake binafsi. .
wachumba wengine wa-Kichina, sio marriage material!Hahahahahahahaaaaa.Haya B,Bahati nzuri mdogo wangu ana mchumba tayari...........
Lakini wasi wnagu unaweza kuwa ndio haya tunayojadili leo.....Utamchenjia mdada wa watu badae akaanza juta.
Stuka!!!Kama ndivyo basi ndio maana MOKOYO; FIDEL80; etc bado hawajawa na ndoa.
Ila inaonyesha ndoa zina vijimambo maana jana NYAMAYO kacomment somewhere kuwa kwenye ndoa hakulimwi dhahabu na SHISHI naye akaja na lake akasema hata changarawe hakuna labda kuna makaa ya mawe.
lakini ebu tumuulize TEAMO ambaye bado hajafikisha mwaka kwenye ndoa yake yeye anaonaje, ndoa ina lipi tamu au chungu kuliko useja?
lakini pia siyo mbaya PAKAJIMMY na CHRISPIN pamoja na NGULI wakatupa uzoefu wao kwenye miaka waliyokaa kwenye ndoa wanaweza kutueleza nini lililo tamu ambalo kuliko ubachela?
pia siyo mbaya kwa akina mama kama vile FL1, WOS na MAMA JOE wakatupa uzoefu wao.
NB: wadau wanaweza kusema nimetoka nje ya mada ila hapana kupitia majibu ya hawa wachache walioko kwenye ndoa majibu ya mada yatakuwepo kabisa. Ngoja tuone majibu yao
Kama ndivyo basi ndio maana MOKOYO; FIDEL80; etc bado hawajawa na ndoa.
Ila inaonyesha ndoa zina vijimambo maana jana NYAMAYO kacomment somewhere kuwa kwenye ndoa hakulimwi dhahabu na SHISHI naye akaja na lake akasema hata changarawe hakuna labda kuna makaa ya mawe.
lakini ebu tumuulize TEAMO ambaye bado hajafikisha mwaka kwenye ndoa yake yeye anaonaje, ndoa ina lipi tamu au chungu kuliko useja?
lakini pia siyo mbaya PAKAJIMMY na CHRISPIN pamoja na NGULI wakatupa uzoefu wao kwenye miaka waliyokaa kwenye ndoa wanaweza kutueleza nini lililo tamu ambalo kuliko ubachela?
pia siyo mbaya kwa akina mama kama vile FL1, WOS na MAMA JOE wakatupa uzoefu wao.
NB: wadau wanaweza kusema nimetoka nje ya mada ila hapana kupitia majibu ya hawa wachache walioko kwenye ndoa majibu ya mada yatakuwepo kabisa. Ngoja tuone majibu yao
G afu umenisuuza na hiyo post yako...........ulikuwa so so fresh best yangu dah!! hapo sina usemi tena
aaah bana weee hata lunch sijapata nilienda kuapishwa mahakama kuu ujue leo wee acha tu..........fulu kujipangusa wikend hii lol!!![/QUOTE]
Pole kwa kuikosa lunch. Bora nimejulishwa baadaye kwamba ulienda kwa mema. Nilishakuwa na wasi wasi kwamba kunani huko? Mhhh, isijekuwa unakaribia kwenda kumsalimia afande nanihii huko keko au Ukonga!
Safi sana Dada, hongera na Bwana awe nawe daima ili ikitokea ukasema uonge basi uwe ule mtakatifu na siyo wa kuuza nchi!
halafu nimepumzika ndio mtu anataka kuniharibia, watu nadhani wamechoka kuishi kwa kweli....lol...hivi bht na wewe utahitaji tena KP? kusanya hizo pesa muanzie maisha., labda uniambie kama unahitaji makorokoro lakini sio kufundwa.
Nikiambiwa Bht anahitaji kufundwa basi nitaomba hilo neno lifutwe kwenye kamusi yetu ya kiswahili tujue moja. Naamini yuko fit na tayari kudeal na issue zote, zile laini laini na mipingo pia!
Aondoke ukumbini awahi toilet kumaliza kabisa au?
Mhhhh, mbavu zangu lazima unilipe, vinginevyo nitatafuta msaada kwa newly made mtetezi !!!
heheheeh wewe msaliti bana uliingia mitini ikabidi wakereketwa wa uingereza waniwekee sanction kwenye ile sredi, lakini GHANA alirejesha tabasamu hewani , jana kwa mara ya kwanza majirani niliwapatia offer ya ugali wa bure.
hehehe kuna majaribu mengine huwa wanaume tunayapendaga na tunayaenjoy , lakini bahati mbaya waifu alipogundua supu likaingia mjusi lakini tushamtoa.
hehehe ni habari ndefu mkuu , kweli kuumbwa mwanaume ni nusu ya kufeli maisha (nimesibitisha hiyo)[/QUOTE]
Mhhh, hiyo offer ya ugali waliipokea?
Hii ni mpya ya mwaka 2010 (blue)
Kama ndivyo basi ndio maana MOKOYO; FIDEL80; etc bado hawajawa na ndoa.
Ila inaonyesha ndoa zina vijimambo maana jana NYAMAYO kacomment somewhere kuwa kwenye ndoa hakulimwi dhahabu na SHISHI naye akaja na lake akasema hata changarawe hakuna labda kuna makaa ya mawe.
lakini ebu tumuulize TEAMO ambaye bado hajafikisha mwaka kwenye ndoa yake yeye anaonaje, ndoa ina lipi tamu au chungu kuliko useja?
lakini pia siyo mbaya PAKAJIMMY na CHRISPIN pamoja na NGULI wakatupa uzoefu wao kwenye miaka waliyokaa kwenye ndoa wanaweza kutueleza nini lililo tamu ambalo kuliko ubachela?
pia siyo mbaya kwa akina mama kama vile FL1, WOS na MAMA JOE wakatupa uzoefu wao.
NB: wadau wanaweza kusema nimetoka nje ya mada ila hapana kupitia majibu ya hawa wachache walioko kwenye ndoa majibu ya mada yatakuwepo kabisa. Ngoja tuone majibu yao
Mbona watu wamemwaga uzoefu wa kutosha, au umeogopa kurasa (hii ni page 10)!
wachumba wengine wa-Kichina, sio marriage material!
Mimi kwa leo tu, ni marriage material, itakuwa juu ya anipatae kutabiri kama nitaendelea kuwa hivi kwa muda mrefu!!