Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,240
hapo hujanitendea haki hahaaaaaa lol!!!
nina aleji na hiyo kitu ulotaja Charity and u definately know that...........
kuwahi raha sana bana hasa ukipatia, Nyamayao my dearest hapo ulicheza kama pele
Umeonae? kweli Nyamayao alicheza kama Messi! Kama una aleji na kichenipati basi ,Tutabypass hiyo step.angalau mambo yaende haraka yasizidi kuchelewa.Hanimuni lazima lakini........Ikwiriri!