wat r u tryin to say here....
Teamo una kesi ya kujibu hapa kwa Bigirita kama mme-conspire nitajua hapa hapa
niliolewa nikiwa 28 na mwanamme ana 31. na tulisubiri kwa mwaka na nusu mpaka kuoana. hatukufanya kwa sababu mimi niliamini ni dhambi na nilipohama kwetu kuishi nje ya nchi i was 19, mama yangu aliniusia nifanye yote lakini sio kitu hicho coz kitamfanya sad sana na atajutia kuniachia kuishi mwenyewe kama siwezi kujihifadhi.
so i needed to keep my promise to God and to her .......i guess
naweza kusema kitu kimoja ambacho kilisaidia ni kuwa huyo mwanamme tunajuana tokea ni watoto lakini urafiki hasa wa kufika kupendana tuliuanzia huko huko tulikokuwa tunaishi.
but nilikuwa siendi kumtembelea mjini kwake hata iweje................yeye ndio anakuja, na akifika afikie hoteli.
bila ya shaka yeye aliwahi kuwa na uhusiano na watu wengine, but mie ndo huyo huyo one and only .........
Dah....hizi page zinavyoongezeka kwa kasi ...!!!!!Nimekuja at my desk..wakati iko page ya 6..sasa hivi ni page ya 11
Nashukuru sana hii michango hapa...napata picha ya hali ilivyo....yaonesha hali si ya kuridhisha sana..inatutisha kdg ila hakuna budi kuoa maana siwezi kuzini,na nahitaji to love and to be loved.Binafsi,family tie naipa nafasi ya pili baada ya love.sitaki ku disturb kabisa uhusiano na familia yangu,Thanks God..they are soo understanding..I believe nitaweka yote sawa ..naomba sana Mungu.
Shukran tena,maana ilikuwa kama vile nimesahau situation ya huko home.one shud be very careful and God conscious
....Qadhi, i wish you the best utapokuja kuoa. Hizo ulizo nazo ni expectations. Kwenye real life kuna "disappointments", ndio maana unaona topics zinakimbizana...
Hakuna formula ya kukabiliana na disappointments. Hapa utajifunza tu yaliyomo...lakini huenda wewe ukapata challenges tofauti kabisa. Unapozungumzia hutaki kabisa ku disturb kabisa uhusiano na familia yako, start considering these scenarios na jinsi utavyokabiliana nazo ndani ya ndoa..mfano;
- mawifi wanahoji kwanini mkeo anachelewa kuzaa
- mkeo hapendezwi unavyojali zaidi familia yako
- mama'ko hapendezwi na hulka za mkeo
- mkeo hapendezwi na ujio wa nduguzo, na mengi ya aina hiyo...
Hapo kwenye nyeusi tiii BAK!
Wapo wengi walioziona tabia hizi - kama siyo zote basi baadhi na kudhani watarekebishana mbele kwa mbele!
Utakuta labda mfano tu: Mwanaume mhuniii kupitiliza lakini bashasha zake usipime, au mwanamke mvivuuuu hajui hata kupika uji lakini mwanaume kafa hasikiii kisa urembo wa bibie au lugha lainiii ..mahabat! Mwaume mleviii komba kasingiziwa lakini faranga ziko za kutupatupa...nadhani ni swala la kupima na kuona mtu anataka nini mwisho wa siku...... nahaya hupelekea ndoa chungu mwanzo mwisho.
niliolewa nikiwa 28 na mwanamme ana 31. na tulisubiri kwa mwaka na nusu mpaka kuoana. hatukufanya kwa sababu mimi niliamini ni dhambi na nilipohama kwetu kuishi nje ya nchi i was 19, mama yangu aliniusia nifanye yote lakini sio kitu hicho coz kitamfanya sad sana na atajutia kuniachia kuishi mwenyewe kama siwezi kujihifadhi.
so i needed to keep my promise to God and to her .......i guess
naweza kusema kitu kimoja ambacho kilisaidia ni kuwa huyo mwanamme tunajuana tokea ni watoto lakini urafiki hasa wa kufika kupendana tuliuanzia huko huko tulikokuwa tunaishi.
but nilikuwa siendi kumtembelea mjini kwake hata iweje................yeye ndio anakuja, na akifika afikie hoteli.
bila ya shaka yeye aliwahi kuwa na uhusiano na watu wengine, but mie ndo huyo huyo one and only .........
Qadhi utamu wa ngoma uingie ucheze......... Nakushauri tu utakapotafuta wa kuoa jaribu ku balance baina ya mapenzi na zile alpha. Ndani ya ndoa pia lazima ujue nafasi ya mkeo ipi na ya mzazi wako ipi AU mtakorofidhana na mmoja wao.
BAK....... Si ngumu Kama mbavyofikiri. Ni kuwa tu na clear line inayotenganisha kile unachoweza kufanya na usichoweza. Ukishaweka wazi hicho....wengine wataheshimu matakwa yako.
Living a full life pia inakuondoa kwenye fikra hizo.... Go out with friends, travel, play sports, have hobbies, read a book, do something.....By the time unavrealize wassup ushafika 25. Hapo Tena uamuzi unakuwa wa bysara zaidi
very true mamito, but waliopendana kiukweli hadi wakafunga hizo pingu za maisha ni wachache, na nafikiri ni bahati ila ukimshirikisha Mungu, na kuwa mwaminifu ktk amri zake kwa kumaanisha, waweza kuwa katika kundi la wenye bahati, otherwise kama ushabugi step u have to carry your burnens & sorrows.
Labda kama kukaa huko hakuta involve tendo la ndoa!
Tatizo kubwa watu wanataka kuoa/olewa na malaika wakati wao wenyewe sio malaika. Mara nyingi tunaona matatizo ya wenza wetu na kushindwa kuona yetu. Na ndio maana ukisikiliza migogoro mingi katika ndoa, kila mmoja anamnyooshea mwenzake kidole. Na mara kadhaa kwa kukosa maarifa tunapambana na dalili za matatizo badala ya kupambana na tatizo lenyewe na mwisho wa siku tunaishia kulalamika tu "huyu mtu habadiliki!" na pengine ndoa zinavunjika.
Japo swali halijaelekezwa kwangu, lakini naomba nitoe mifano kwa ufahamu wangu.
1. Uaminifu - kama wapenzi wanakutana kwa appointment tu; mtu ambaye siyo mwaminifu anaweza kuhakikisha hagoganishi magari.
2. Uchafu - kuna wavulana siku akiwa anatembelewa na mpenzi wake ndipo ataweka nyumba soap soap na kuiweka ikiwa more organized, subiri uje umvamie siku moja bila taarifa inaweza kuwa aibu. Pia wapo wasichana ambao siku akiwa na date na bf wake ndipo anajiweka soap soap na anakuwa na kufuli special za kuendea kwenye hizo date, ukimvamia nyumbani unakuta kalunda vikufuli havijafuliwa wiki nzima, na hata kitanda kinaweza kuwa hakijatandikwa kwa wiki nzima.
3. Kupika - msichana kila mkipanga date anakupa/anaomba offer ya kula nje, huwezi jua kama anaweza kupika au la. Na kwa kuwa mapenzi yako fire fire wala mwanaume hawezi kushituka kulazimisha kwamba anataka kula chakula kilichopikwa na mpenziwe. Na kama msichana ni mtoto wa geti kali, ukianza kumwambia kupika unahisi mtapoteza muda zaidi badala ya kuendelea na yale mambo mengine ya chumbani ama kukaa pamoja mkipiga stori.
4. Ulevi - nina mfano hai. Nina cousin wangu (msichana) alikuwa anakunywa pombe kama hana akili nzuri lakini mchumba wake alikuwa hajui na mpaka wakaja kufunga ndoa. After 3 yrs ndio mume anakuja kugundua kwamba mkewe anakunywa pombe.
Lakini kasoro zote hizo inategemeana sana na closeness iliyopo kati ya wahusika, je wanatembeleana mara kwa mara? Pia distance iliyopo kati ya wahusika, siyo mmoja yuko Dodoma na mwingine yuko Dar hapo ndio hasara kabisa maana ukiwa unaenda kumtembelea lazima utoe taarifa ili ku-avoid kukutana na kufuli mlangoni.
Pia wahusika wanatakiwa kuwa huru, waweze kutembeleana any time hata bila miadi. Lakini kama msichana anaishi kwa wazazi ama walezi nafasi hiyo inakuwa ngumu na matokeo yake ni maumivu.
dearest, niliingia kwenye game bila kujua maana halic ya game, niliwahi kuingia kwenye game nikidhani ninavyompenda ndio maisha yote yatakuwa tambarare kama tulivyokuwa, ckuweka kichwani mambo ya familia mbili kuungana yaani niliingia ingia tu, imenifunza mambo mengi sana, pamoja na ya jamii inayonizunguka, bac nimejifunza mambo mengi, na mistakes wanazofanya ndugu, jamaa na marafiki ahh bac nikajua huu ulimwengu sio kama nilivyoujua mwanzoni.
Ulifanya jambo jema sana hasa kama hukuwahi kuhusiana kimwili na mtu mwingine kabla yake. Wengine hayo yalitushinda na kwa kweli nimeshaona baadhi ya madhara yake. Nasema ni nzuri kawa sababu kimsingi unakuwa huna yardstick ya kumpima/linganisha (kwa maana ya tendo la ndoa!)....huo ndio ulikuwa mpango wa Mungu.
Kuingia kwenye ndoa wakati umeshaonjaonja mara kadhaa sehemu zaidi ya moja wakati mwingine kunaleta matatizo kwa sababu tayari unakuwa unajua 'mema na mabaya' na hivyo unashindwa kuridhishwa na mmoja!
Sijasepa wala nini... TUPO PAMOJA...ninanyemelea jimbo...nimeshaanza kampeni ( shhhhh!! msiseme!)Hapa tunamjadili Woman Of Substance.
Kamwaga sredi afu kasepa. Kila mtu anaota uzoefu wake. Hatujui kama tuko ofu topiki au laa.
Mchango wako nimeupenda sana.
Lakini nimebaki na maswali mengi sana.Katika jamii zile ambazo ama kufuatana na imani zao za dini au mila na desturi zao hawaruhusiwi kuwa na wapenzi wao - hawawezi kutembeleana, kutoka pamoja n.k. mpaka wafunge ndoa kihalali, watatambuana vipi tabia za wenzi wao?
Nimekusoma vema Mkuu....Qadhi, i wish you the best utapokuja kuoa. Hizo ulizo nazo ni expectations. Kwenye real life kuna "disappointments", ndio maana unaona topics zinakimbizana...
Hakuna formula ya kukabiliana na disappointments. Hapa utajifunza tu yaliyomo...lakini huenda wewe ukapata challenges tofauti kabisa. Unapozungumzia hutaki kabisa ku disturb kabisa uhusiano na familia yako, start considering these scenarios na jinsi utavyokabiliana nazo ndani ya ndoa..mfano;
- mawifi wanahoji kwanini mkeo anachelewa kuzaa
- mkeo hapendezwi unavyojali zaidi familia yako
- mama'ko hapendezwi na hulka za mkeo
- mkeo hapendezwi na ujio wa nduguzo, na mengi ya aina hiyo...
Qadhi utamu wa ngoma uingie ucheze......... Nakushauri tu utakapotafuta wa kuoa jaribu ku balance baina ya mapenzi na zile alpha. Ndani ya ndoa pia lazima ujue nafasi ya mkeo ipi na ya mzazi wako ipi AU mtakorofidhana na mmoja wao.
BAK....... Si ngumu Kama mbavyofikiri. Ni kuwa tu na clear line inayotenganisha kile unachoweza kufanya na usichoweza. Ukishaweka wazi hicho....wengine wataheshimu matakwa yako.
Living a full life pia inakuondoa kwenye fikra hizo.... Go out with friends, travel, play sports, have hobbies, read a book, do something.....By the time unavrealize wassup ushafika 25. Hapo Tena uamuzi unakuwa wa bysara zaidi