Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,240
hapo hujanitendea haki hahaaaaaa lol!!!
nina aleji na hiyo kitu ulotaja Charity and u definately know that...........
kuwahi raha sana bana hasa ukipatia, Nyamayao my dearest hapo ulicheza kama pele
AMEEEN
pole sana klorokwini ..............si ungeliondoka ukumbini na wewe! mbona unajitia majaribuni kihivyo!
:biggrin1::biggrin1: Mammushka kuna haki yangu moja umeninyima hapo?:jaw::jaw:
I hope si ya msingi hiyo haki...................lol!!! ni ipi?
@G mi nimevalishwa jeusi na kale ka-bib kwa hapo chini ya kidevu ili nisichafue shati nikiwa na -argue mbele ya pilato!!
WOS bora asije maana fulu ofu topiki hapa......hebu nipeni muda niperuzi hii topiki jamani labda ntapata swali niulize maana nikisema ntashirikiana uzoefu ....sina kitu hapo
Umeonae? kweli Nyamayao alicheza kama Messi! Kama una aleji na kichenipati basi ,Tutabypass hiyo step.angalau mambo yaende haraka yasizidi kuchelewa.Hanimuni lazima lakini........Ikwiriri!
Hivi kale ka button ni mpaka tumhonge invizibo au? Nilitaka kukagonga hapa lakini.... anyway SENKSI!!!hahahahha ....chrispin wewe mwisho! hahahha sina mbavu hapa......
lakini coming to think of it ............bora angeenda kumalizia kimya kimya kuliko kushtukiwa na mama watoto! ahahhaah
Kuna chizi mmoja jirani yangu anamkonyeza sana Matesha wangu. ngoja leo nikampe adhabu. Si utapata uzoefu hapo eti M?
Hahahaha! kale kamkokoteni sitakaripea breki tena. Atakayejipendekeza mbele yangu, TUTAKUTANA KWA PILATO!chap chap hebu njoo basi mi nianze kazi kmuhuri kanatafuta karatasi ya kugonga tu..........
Kwenye mapenzi mna-claim kutumia moyo, ili mkiumizwa mlalamike "oooh! how did I end up with this guy" In the first place mnatakiwa kutumia Brain the una-mix na Moyo kidogo! sio moyo jumla jumla!Ikwiriri is inevitable mama...........siambiwi kitu hapo natumia only what my heart tells me to do and not my head/mind /braina or watever.........
G afu umenisuuza na hiyo post yako...........ulikuwa so so fresh best yangu dah!! hapo sina usemi tena
aaah bana weee hata lunch sijapata nilienda kuapishwa mahakama kuu ujue leo wee acha tu..........fulu kujipangusa wikend hii lol!!!
ha ha ha ha ha!
naona kommenteta umeshakuja ready for the attack
TUPEANE POLE KWANZA.........!maanake ile ''adui muombee njaa ya jana haikufanikiwa'':biggrin1::biggrin1::biggrin1:
AMEEEN
pole sana klorokwini ..............si ungeliondoka ukumbini na wewe! mbona unajitia majaribuni kihivyo!
Hahahaha! Naona umepona sasa?
Vipi ilikuwaje ikawa hivyo adui wa parasaiti?
Mamushka hiyo si ndio inaitwa love at the first sight? OMG wapi Noname?@Iribini mbona unataka kuni-misuse mwenzio bado mpya hivi??
@Bigirita moyo ni kwa mapendo na kichwa mahesabu
@Carmel nitafanya 'bash' pale 'New Maisha Club Usiku wa leo' lol!!!!
WOS uko wapi kuna watu wame=hijack sred yako hapa........mi simo
carmel mada haizingatiwi tena kwenye thread hii .............lakini mwanzo ilikuwa ni kujieleza ni kwa sababu zipi uliingia kwenye ndoa?
Mamushka hiyo si ndio inaitwa love at the first sight? OMG wapi Noname?
NDOA samtaimu ni MAJARIBU , kama wiki 5 zilopita kuna mdada wa hafu kasti alikuja kumtembelea waifu, haki ya nani nilitokwa na jasho mpaka waifu akanishtukizia.
eee muumba ilinde ndoa ya klorokwini (tusemeni amen)