Tetesi: Ni kweli kwamba Mkurugenzi aliyehusika katika tukio la mauaji Itigi ni mtoto wa dada yake Rais Magufuli?

Tetesi: Ni kweli kwamba Mkurugenzi aliyehusika katika tukio la mauaji Itigi ni mtoto wa dada yake Rais Magufuli?

Synthesizer

Platinum Member
Joined
Feb 15, 2010
Posts
12,699
Reaction score
22,598
Kuna habari zisizothibitishwa kwamba yule Mkurgugenzi aliyehusika katika tukio la mauaji pale kanisani ni Itigi ni mtoto wa dada yake Raisi Magufuli. Ikiwa hili ni kweli basi ni wazi kwamba tukio hili litavuta hisia za wadau wengi kwa sababu mbalimbali na wengi watapenda kuona mwisho wake unakuwaje.

Katika JF kumekuwa na malalamiko ya mara kwa mara kwa Mkurugenzi huyu kutumia madaraka yake kimabavu mara kwa mara bila ya kuonekana kuchukuliwa hatua yeyote, au "kutumbuliwa' kama walivyopendekeza wachangiaji mbali mbali katika mitandao ya jamii.

Wakati fulani hata ilionekana Mkurugenzi huyu kumkosoa kwa namna ya kumkaripia Waziri wa Tamiseni Jafo bila woga, akimshutumu kuwa alikuwa anapotosha umma. kitu ambacho kilisemekana ni hali ya kujiamini sana. Katika protokali, si jambo la kawaida kwa mkurugenzi wa ngazi ya halmashauri ya wilaya kumshutumu waziri wake hadharani kama alivyofanya, isipokuwa kama anajua kuna namna fulani analindwa.

Baadhi ya post zilizomhusu huyu Mkurugenzi zilizowekwa humu JF ni kama zifuatazo;

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Itigi amshukia vikali Waziri Jafo kwa kuupotosha umma!
Hivi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi kwa mauza uza yake yote hajatumbuliwa tu?
Mkurugenzi Halmashauri ya Itigi atishia kuwasweka rumande walimu waliohamishwa kisa madai ya stahiki zao
Eti Meneja wa City Style Hotel naye kawa DED wa Itigi, jamani tuweni serious kama nchi
 
Kuna habari zisizothibitishwa kwamba yule Mkurgugenzi aliyehusika katika tukio la mauaji pale kanisani ni Itigi ni mtoto wa dada yake Raisi Magufuli. Ikiwa hili ni kweli basi ni wazi kwamba tukio hili litavuta hisia za wadau wengi kwa sababu mbalimbali na wengi watapenda kuona mwisho wake unakuwaje.

Katika JF kumekuwa na malalamiko ya mara kwa mara kwa Mkurugenzi huyu kutumia madaraka yake kimabavu mara kwa mara bila ya kuonekana kuchukuliwa hatua yeyote, au "kutumbuliwa' kama walivyopendekeza wachangiaji mbali mbali katika mitandao ya jamii.
tayari kuna zengwe lishaanza kutengenezwa kumlinda DED. polisi wametoa taarifa eti aliyeua ni ofisaa wa wanyamapori.

so, inawezekana kweli upwa unahusika kwenye hili zengwe.
 
tayari kuna zengwe lishaanza kutengenezwa kumlinda DED. polisi wametoa taarifa eti aliyeua ni ofisaa wa wanyamapori.

so, inawezekana kweli upwa unahusika kwenye hili zengwe.
Risasi ikifyatuka bahati mbaya haiwezi piga kisogoni hio ni risasi ambao mpigaji alidhamiria,LUHENDE ni majina ya kisukuma, alijua akifanyacho akiamini atabebwa,MWALIMU alipokuwa na mtazamo makabila makubwa yasipewe leseni ya udereva alijua madhara yake.Ganda la risasi na mashuhuda wa tukio ndio wenye kujua aliyefyatua risasi na si MTU yeyote asiye kuwepo eneo la tukio
 
tayari kuna zengwe lishaanza kutengenezwa kumlinda DED. polisi wametoa taarifa eti aliyeua ni ofisaa wa wanyamapori.

so, inawezekana kweli upwa unahusika kwenye hili zengwe.
Kesi ya jinai haiozi,haipitwi na wakati mkuu,kama ni kweli amehusika hata alindwe vipi,kesho litafufuliwa na atakaa anapostahili.

Ni muhimu kutambua,ni rais pekee ndio mwenye kinga ya kutoshtakiwa. Hiyo kinga ni yake peke yake.
 
Unasema zengwe!? Haya hebu tuambie ni silaha gani ilitumika kwenye hayo mauaji. Ma DED siku hizi wanatembea na silaha viunoni!!??? Aliyepiga risasi ni askari wanyamapori kwa amri ya DED. Thats it
tayari kuna zengwe lishaanza kutengenezwa kumlinda DED. polisi wametoa taarifa eti aliyeua ni ofisaa wa wanyamapori.

so, inawezekana kweli upwa unahusika kwenye hili zengwe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
majungu tu.kwani alitumwa.

biblia inasema' mwana hatabeba uovu wa baba na baba hatabeba uovu wa mwana.

Sawa hajatumwa, iweje huyo RPC anataka kupindisha ukweli kwa kusema risasi ilifyatuliwa na askari wanyamaporibadala ya huyo DED?
 
Back
Top Bottom