Tetesi: Ni kweli kwamba Mkurugenzi aliyehusika katika tukio la mauaji Itigi ni mtoto wa dada yake Rais Magufuli?

Tetesi: Ni kweli kwamba Mkurugenzi aliyehusika katika tukio la mauaji Itigi ni mtoto wa dada yake Rais Magufuli?

Hili lina mashahidi wengi na RPC sio mahakama. Mahakama itahitaji ushahidi beyond reasonable doubts ndio itoe hukumu. Mimi nilisikia kaka wa marehemu kwenye taarifa ya habari akielezea DED alivyokuwa ameshika bunduki na kumfyatulia mdogo wake risasi kichwani, ubongo ukasambaa chini.
Sijui kama ataambiwa na yeye hamjui DED ni yupi kati ya wale walioingia ndani ya kanisa. DED atalindwa asiwe mfyatuaji kwa sababu atakuwa na makosa mengi kulinganisha na askari anayeruhusiwa kutembea na silaha ya aina ile.
 
Hili lina mashahidi wengi na RPC sio mahakama. Mahakama itahitaji ushahidi beyond reasonable doubts ndio itoe hukumu. Mimi nilisikia kaka wa marehemu kwenye taarifa ya habari akielezea DED alivyokuwa ameshika bunduki na kumfyatulia mdogo wake risasi kichwani, ubongo ukasambaa chini.
Sijui kama ataambiwa na yeye hamjui DED ni yupi kati ya wale walioingia ndani ya kanisa. DED atalindwa asiwe mfyatuaji kwa sababu atakuwa na makosa mengi kulinganisha na askari anayeruhusiwa kutembea na silaha ya aina ile.
Mkuu RPC wa Singida ndie alimtaja DED. Aliyesema ni askari wa wanyama pori ni msemaji wa jeshi la polisi.
 
Unasema zengwe!? Haya hebu tuambie ni silaha gani ilitumika kwenye hayo mauaji. Ma DED siku hizi wanatembea na silaha viunoni!!??? Aliyepiga risasi ni askari wanyamapori kwa amri ya DED. Thats it

Sent using Jamii Forums mobile app
Haaa! Mkuu, wakati ule huyu Mkuu wa Mkoa Malima akiwa waziri akaibiwa SMG chumbani, kwani mawaziri walikuwa wanaruhusiwa kutembea na assault rifle?

Kumbuka inasemwa huyu mtu alirudi kwenye gari kwenda kuchukua silaha. Na haijasemwa kama hiyo silaha iliyotumika ilikuwa ni ya aina gani.
 
Unasema zengwe!? Haya hebu tuambie ni silaha gani ilitumika kwenye hayo mauaji. Ma DED siku hizi wanatembea na silaha viunoni!!??? Aliyepiga risasi ni askari wanyamapori kwa amri ya DED. Thats it

Sent using Jamii Forums mobile app
We #@@@ mbn unatetea ujinga
Mtu kauliwa wote hao DED,maskari pori wagambo ndy wamekusikia
Unachowashwa nn au kwa sababu DED wenu katuhumiwa.....
Ungekuwa karibu yngu ungechezea nakoz
Kiaz weee

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ishu sio kutetea ishu ni nan aliyefyatua risasi...sawa wote wamehusika lakin leo na kesho mahakaman wakikutwa na hatia hukumu zitatofautiana tu. Kuna aliyetoa amri na aliyefyatua risasi na kuna aliyekwepo pembeni anashangaa tu. Toa fact sio kupinga tu

Btw...kiazi ni mke wako
We #@@@ mbn unatetea ujinga
Mtu kauliwa wote hao DED,maskari pori wagambo ndy wamekusikia
Unachowashwa nn au kwa sababu DED wenu katuhumiwa.....
Ungekuwa karibu yngu ungechezea nakoz
Kiaz weee

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi unapata wapi ujasiri wa kwenda na silaha za moto kwenye nyumba ya ibada?.. tena unafyatua!! , hata kama wewe ni muislam hii si sawa, tena kiongozi sio jambazi!!
Tuwe na huruma hata ya nguoni kwenye maisha na roho zatu, huu sio uongozi ni utawala tena ubabe kabisa.
Lakini ndugu zangu mkumbukee tu kuwa, wale polisi waliofyatua risasi na kumuua AQUILINA wapo huru uraiani wanaendelea na kazi.. hapa unapata picha kuwa (sheria sio msumeno) utawala wa nchi hii wa sheria hauwahusu walio kwenye mnyororo wa wakuu wa nchi hii.
Ombolezeni msiba wenu naamini haya pia yatapita kama yale ila HAMTAKUJA KUMSAU KAMWE MPENDWA WENU.
Hii ndio nchi yetu kisiwa cha Amani.
 
Hivi unapata wapi ujasiri wa kwenda na silaha za moto kwenye nyumba ya ibada?.. tena unafyatua!! , hata kama wewe ni muislam hii si sawa, tena kiongozi sio jambazi!!
Tuwe na huruma hata ya nguoni kwenye maisha na roho zatu, huu sio uongozi ni utawala tena ubabe kabisa.
Lakini ndugu zangu mkumbukee tu kuwa, wale polisi waliofyatua risasi na kumuua AQUILINA wapo huru uraiani wanaendelea na kazi.. hapa unapata picha kuwa (sheria sio msumeno) utawala wa nchi hii wa sheria hauwahusu walio kwenye mnyororo wa wakuu wa nchi hii.
Ombolezeni msiba wenu naamini haya pia yatapita kama yale ila HAMTAKUJA KUMSAU KAMWE MPENDWA WENU.
Hii ndio nchi yetu kisiwa cha Amani.
RPC wa Singida alisema "Suala hili ukiliangalia halikuwa na utashi wa busara hata kidogo. Hata matumizi yenyewe ya silaha , hata waliopiga mie nasema kwamba, sijui, huo ni ugaidi...". Hao ndio wateule wa raisi wetu; magaidi na watu wasio na utashi wa busara hata kidogo.

Sasa suala la kujiuliza ni kwamba, anaewateua watu kama hao anatumia busara?
 
tayari kuna zengwe lishaanza kutengenezwa kumlinda DED. polisi wametoa taarifa eti aliyeua ni ofisaa wa wanyamapori.

so, inawezekana kweli upwa unahusika kwenye hili zengwe.
Hayo ndio matangopori ya polisi!
 

Kesi ya jinai haiozi,haipitwi na wakati mkuu,kama ni kweli amehusika hata alindwe vipi,kesho litafufuliwa na atakaa anapostahili.

Ni muhimu kutambua,ni rais pekee ndio mwenye kinga ya kutoshtakiwa. Hiyo kinga ni yake peke yake.
Zinapitwa na wakati mtuhumiwa akifa vp ww!!punguza munkari
 
Hili lina mashahidi wengi na RPC sio mahakama. Mahakama itahitaji ushahidi beyond reasonable doubts ndio itoe hukumu. Mimi nilisikia kaka wa marehemu kwenye taarifa ya habari akielezea DED alivyokuwa ameshika bunduki na kumfyatulia mdogo wake risasi kichwani, ubongo ukasambaa chini.
Sijui kama ataambiwa na yeye hamjui DED ni yupi kati ya wale walioingia ndani ya kanisa. DED atalindwa asiwe mfyatuaji kwa sababu atakuwa na makosa mengi kulinganisha na askari anayeruhusiwa kutembea na silaha ya aina ile.
Sasa RPC na RCO si ndio wanapeleleza na kupeleka jalada kwa DPP kwa kushitaki....muwege mnaelewa taratibu za kazi za watu kabla ya maneno
 
Back
Top Bottom