Acha ujinga kwani wasukuma wanafaidika na nini kuuawa kwa watu. Kila mmoja abebe dhambi zake. Dhambi ya mtu mmoja lisibebeshwe kabila.Risasi ikifyatuka bahati mbaya haiwezi piga kisogoni hio ni risasi ambao mpigaji alidhamiria,LUHENDE ni majina ya kisukuma, alijua akifanyacho akiamini atabebwa,MWALIMU alipokuwa na mtazamo makabila makubwa yasipewe leseni ya udereva alijua madhara yake.Ganda la risasi na mashuhuda wa tukio ndio wenye kujua aliyefyatua risasi na si MTU yeyote asiye kuwepo eneo la tukio
Sent using Jamii Forums mobile app