Hilo nalo jambo. Walioshuhudia tukio, pamoja na baba wa mtu alieuwawa, wanasema DED. Polisi wanasema askari wa wanyama pori!
Yanatengenezwa mazingira ya kumtoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo nalo jambo. Walioshuhudia tukio, pamoja na baba wa mtu alieuwawa, wanasema DED. Polisi wanasema askari wa wanyama pori!
tuombe jamaa wapitiwe na usingizi lasivyo fastaa uataondolewaJf hakuna haja ya kuondoa uzi huu ili ujadiliwe na ukweli ujulikane , kutoka kuwa meneja wa hotel hadi kuwa DED siyo mchezo , acheni utata uondolewe
mkuuu.picha lilianza mapema jinsi story ilivyo pigwa under cover hadi walivyoona kimenuka huku mitandaoni ndo wametoka mafichoniHili lina mashahidi wengi na RPC sio mahakama. Mahakama itahitaji ushahidi beyond reasonable doubts ndio itoe hukumu. Mimi nilisikia kaka wa marehemu kwenye taarifa ya habari akielezea DED alivyokuwa ameshika bunduki na kumfyatulia mdogo wake risasi kichwani, ubongo ukasambaa chini.
Sijui kama ataambiwa na yeye hamjui DED ni yupi kati ya wale walioingia ndani ya kanisa. DED atalindwa asiwe mfyatuaji kwa sababu atakuwa na makosa mengi kulinganisha na askari anayeruhusiwa kutembea na silaha ya aina ile.
Ahaaaahaaahaaaa wazee wa kuunga juhud mkono wanataka mpka kuku na mbuz waunge mkonoJiondoe basi uende jukwaa la ccm linaloendeshwa na Uhuru FM
uko sahihi wanyama pori walikuwemo humo kanisani na mkurugenzi alikuwa na hamu ya kitoweoUnasema zengwe!? Haya hebu tuambie ni silaha gani ilitumika kwenye hayo mauaji. Ma DED siku hizi wanatembea na silaha viunoni!!??? Aliyepiga risasi ni askari wanyamapori kwa amri ya DED. Thats it
Sent using Jamii Forums mobile app
So what!? GTFOH Mofo.We hujui muasisi wa JF ni mchaga. Meza chupa kama ban imekukera.
So that you idiot can understand the ingenuity of those your always trying to despise.So what!? GTFOH Mofo.
Uncircumcised baboon at your best!So that you idiot can understand the ingenuity of those your always trying to despise.
Senile old foolUncircumcised baboon at your best!
Pathetic!
Pathetic uncircumcised swine!Senile old fool
Repeating same garbage in desparation.Pathetic uncircumcised swine!
Hujui kitu....anayeandaa file la kesi na kutafuta mashahidi ni nani???jiulize ukipata majibu bonyeaKwa hiyo unadhani mahakama itatoa hukumu kwa kuwasikiliza RPC na wasaidizi pekee? Kuna upande wa mashahidi mahakamani. Hakuna siri mahakamani kila kitu kitakuwa wazi.
Pathetic nincompoop!Repeating same garbage in desparation.
Dumb fool.Pathetic nincompoop!