Synthesizer
Platinum Member
- Feb 15, 2010
- 12,699
- 22,598
- Thread starter
- #101
Da, Mkuu, huo sasa ni uadui katika mfumo wa vyama vingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Da, Mkuu, huo sasa ni uadui katika mfumo wa vyama vingi
Umeona movie inavyoenda? Sasa polisi wanasema wakati huyu kijana anauwawa Mkurugenzi alikuwa nje!Maswali 10
1. Mkurugenzi wa Halmashauri ya Itigi alifuata nini kanisani?
2. Je, ni kweli mkurugenzi huyo ana ugomvi na baba wa marehemu?
3. Je, mkurugenzi ndiye aliyetoa bunduki na kumfyatulia Isaka Isaka na kumuua?
4. Polisi wanasema tukio la mauaji lilitokea wakati mkurugenzi akiwa amekimbia je, ni nani aliyefanya mauaji hayo?
4. Polisi wanasema mkurugenzi huyo alikimbia na kufunga mlango, kwa nini alifunga mlango wa kanisa?
5. Baba wa marehemu anasema alishuhudia mkurugenzi akifyatua risasi, nani anazungumza ukweli, baba au polisi?
6. Je, ni kweli kuna kesi mbili mahakamani kati ya mkurugenzi na baba wa marehemu?
7. Kulikuwa na ulazima wowote wa mkurugenzi na msafara wake kwenda kudai ushuru wa mashamba kanisani?
8. Je, ni kawaida kwa mkurugenzi kupita mtaani kudai ushuru kwa wananchi?
9. Ni kwa nini Waziri wa Tamisemi, Selemani Jafo ameshiriki mazishi ya Isaka Isaka na kutoa ubani wa Sh1 milioni?
10. Je, ni kwa nini polisi, uongozi wa Singida haukutoa ushirikiano kwa waandishi wa habari kuzungumzia sakata hilo lilipotokea siku hiyo?
Jr[emoji769]
Mkuu, kinacho nishangaza katika hizi jitihada za kumchomoa Mkurugenzi, ni chanzo cha habari za polisi ni nani? Wakati wamini na baba yake wanasema walimshuhudia akimpiga risasi, Polisi sasa wameenda mbali na kusema eti Mkurugenzi alikuwa nje wakati huyu kijana anapigwa risasi. Kwa hiyo usishangae kwamba atakutwa hana hatia. Anaweza hata akaja na uthibitisho kwamba wakati hili tukio linaendelea alikuwa ofisini na mashahidi wapo!Kwa hiyo unadhani mahakama itatoa hukumu kwa kuwasikiliza RPC na wasaidizi pekee? Kuna upande wa mashahidi mahakamani. Hakuna siri mahakamani kila kitu kitakuwa wazi.
hIi kauli aliwahi kuitamka mwenyewe kabisa, japo hakuitamka kwenye public...........Tulikosea kumpa Nchi "
Wasukuma ni muda wao wa kujidai sasa...
Utanzania umeishia 2015. Trust me, yajayo yatafurahisha.Da, Mkuu, huo sasa ni uadui katika mfumo wa vyama vingi
Pamoja na kwamba marehemu hana haki lakini damu ya mtu haiendi bureUmeona movie inavyoenda? Sasa polisi wanasema wakati huyu kijana anauwawa Mkurugenzi alikuwa nje!
Niliwambia, polisi watakuwa wanamchomoa hatua kwa hatua. Mwishowe watasema hakuwapo kwenye tukio!
Hivi damu ya Mwangosi bado haijafika tu. Bado inaenda!!!??? Maana kama haiendi bure, ile ndo ilitakiwa ithibitishe maana ya usemi huo.Pamoja na kwamba marehemu hana haki lakini damu ya mtu haiendi bure
Jr[emoji769]
Mwelekeo wa kesi tutauona kama watapewa dhamana au la............!!Akishinda kesi wahanga watatafuta haki kwengine kama walivyofanya kwa yule rafiki yake JK aliyemfyatua dereva wa daladala.
Sent using Jamii Forums mobile app
Waliokuwepo wameeleza wazi kuwa aliingia, halafu alitoka akaenda kuchukua bunduki kwenye gari lake. Aliporudi alikuja akiwa na bunduki mkononi.Unasema zengwe!? Haya hebu tuambie ni silaha gani ilitumika kwenye hayo mauaji. Ma DED siku hizi wanatembea na silaha viunoni!!??? Aliyepiga risasi ni askari wanyamapori kwa amri ya DED. Thats it
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sheria za Tanzania tuhuma za mauaji hazina dhamana!Mwelekeo wa kesi tutauona kama watapewa dhamana au la............!!
jamaa alipewa ulaji gani mkuuMkuu kama sheria ni msumeno basi hapa Tanzania kuna watu hauwakati, nimeona vigogo wengi sana ukwapitia mbali japo makosa yanakuwa wazi. Kwa mfano, yule jamaa wa CCM alipomrabua mwenzake fimbo ya kichwa wakati wa kampeni msumeno gani ulimpuitia? Sasa sana alipewa ulaji zaidi muda mfupi baadaye. Na pia, katiba yetu inasema wazi huo msumeno hautamkata raisi. Na labda pia ndugu zake kama watoto wa dada!
Alifanywa Naibu Spika kisha Spika kamili!jamaa alipewa ulaji gani mkuu
kuwa serious kuna kijana alipigwa na job wakati wa kampeni je yuko wapi now bahati mbaya unataja uspikaAlifanywa Naibu Spika kisha Spika kamili!
Yaan mm pia najiulza hii kazi ya kudhibitisha alikua eneo La tukio au hakuwepo,au alishiriki na yy au ni polis,mashaid ambao ni waumin wamesema walimshuhudia "mteule" akiua kwa risas then tunaambiwa na polisi sio yy Yaan hii ni aibuMkuu, kinacho nishangaza katika hizi jitihada za kumchomoa Mkurugenzi, ni chanzo cha habari za polisi ni nani? Wakati wamini na baba yake wanasema walimshuhudia akimpiga risasi, Polisi sasa wameenda mbali na kusema eti Mkurugenzi alikuwa nje wakati huyu kijana anapigwa risasi. Kwa hiyo usishangae kwamba atakutwa hana hatia. Anaweza hata akaja na uthibitisho kwamba wakati hili tukio linaendelea alikuwa ofisini na mashahidi wapo!
Unasema zengwe!? Haya hebu tuambie ni silaha gani ilitumika kwenye hayo mauaji. Ma DED siku hizi wanatembea na silaha viunoni!!??? Aliyepiga risasi ni askari wanyamapori kwa amri ya DED. Thats it
Sent using Jamii Forums mobile app
Hv DAB ina maanisha nn?Huyo ni kama DAB haguswi na anaweza kufanya lolote atakalo