Tetesi: Ni kweli kwamba Mkurugenzi aliyehusika katika tukio la mauaji Itigi ni mtoto wa dada yake Rais Magufuli?

Tetesi: Ni kweli kwamba Mkurugenzi aliyehusika katika tukio la mauaji Itigi ni mtoto wa dada yake Rais Magufuli?

Ishu sio kutetea ishu ni nan aliyefyatua risasi...sawa wote wamehusika lakin leo na kesho mahakaman wakikutwa na hatia hukumu zitatofautiana tu. Kuna aliyetoa amri na aliyefyatua risasi na kuna aliyekwepo pembeni anashangaa tu. Toa fact sio kupinga tu

Btw...kiazi ni mke wako

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwanini tujiulize maswali ambayo majibu yake yanajulikana? Kwani risasi ilifyatuliwa gizani? Si ilikua ni mchana na mwanga wa kutosha. Hakuna aliyeona nani aliyefyatua risasi? Hao waumini wa Itigi viazi sana, hopeless kabisa. Waandishi wa habari za uchunguzi wako wapi? au wanaogopa sababu ya vinasaba vya mtuhumiwa? Mwisho was haya mambo si mzuri.
 
Haaa! Mkuu, wakati ule huyu Mkuu wa Mkoa Malima akiwa waziri akaibiwa SMG chumbani, kwani mawaziri walikuwa wanaruhusiwa kutembea na assault rifle?

Kumbuka inasemwa huyu mtu alirudi kwenye gari kwenda kuchukua silaha. Na haijasemwa kama hiyo silaha iliyotumika ilikuwa ni ya aina gani.

Hakuna sehemu Malima aliibiwa SMG chumbani. Malima aliibiwa hela na changudoa na sio SMG. Silaha zake zote zilikuwa salama.
 
Jf hakuna haja ya kuondoa uzi huu ili ujadiliwe na ukweli ujulikane , kutoka kuwa meneja wa hotel hadi kuwa DED siyo mchezo , acheni utata uondolewe
JF imevamiwa na Mods toka Ufipa hivyo wataiacha, Jana walifuta mada yangu kumhusu Lisu.

Sote tunafahamu mrengo wao kisiasa wala hata sio jambo geni.
 
Unasema zengwe!? Haya hebu tuambie ni silaha gani ilitumika kwenye hayo mauaji. Ma DED siku hizi wanatembea na silaha viunoni!!??? Aliyepiga risasi ni askari wanyamapori kwa amri ya DED. Thats it

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani wameshasema aina ya silaha iliyotumika ndugu?? una hakika gani kama huyo DED hatembei na silaha??
 
Unasema zengwe!? Haya hebu tuambie ni silaha gani ilitumika kwenye hayo mauaji. Ma DED siku hizi wanatembea na silaha viunoni!!??? Aliyepiga risasi ni askari wanyamapori kwa amri ya DED. Thats it

Sent using Jamii Forums mobile app

..hudhani kwamba wote wawili wanahusika na mauaji hayo?

..labda wanasheria watusaidie suala hili likifika mahakamani wahusika watajitetea vipi.
 

Kesi ya jinai haiozi,haipitwi na wakati mkuu,kama ni kweli amehusika hata alindwe vipi,kesho litafufuliwa na atakaa anapostahili.

Ni muhimu kutambua,ni rais pekee ndio mwenye kinga ya kutoshtakiwa. Hiyo kinga ni yake peke yake.
Hata yeye hana kinga hio Kwa masuala binafsi, ni pale tu ya manufaa Kwa taifa.Suala la kinga huwa ni maamuzi ya ajae,thus upenda kuwaweka warithi wao napo upepo unaweza ukabadilika,
 
Hakuna sehemu Malima aliibiwa SMG chumbani. Malima aliibiwa hela na changudoa na sio SMG. Silaha zake zote zilikuwa salama.
Hahahaha! Haya nilikosea. Suala la msingi lilikuwa kwamba kuwa na silaha sio lazima iwe imetolewa kama standard issue. Mbaya zaidi Malima alikuwa na silaha siyoruhusiwa raia kuwa nayo ila vyombo vya kijeshi tu.

Na pia kuibiwa hela badala ya SMG na changudoa nayo sio sifa! Hao ndio wakuu wetu wa mikoa kwa busara zote za uteuzi.
 
sheria ni msumeno afikishwe sehemu salama
Mkuu kama sheria ni msumeno basi hapa Tanzania kuna watu hauwakati, nimeona vigogo wengi sana ukwapitia mbali japo makosa yanakuwa wazi. Kwa mfano, yule jamaa wa CCM alipomrabua mwenzake fimbo ya kichwa wakati wa kampeni msumeno gani ulimpuitia? Sasa sana alipewa ulaji zaidi muda mfupi baadaye. Na pia, katiba yetu inasema wazi huo msumeno hautamkata raisi. Na labda pia ndugu zake kama watoto wa dada!
 
Hahahaha! Haya nilikosea. Suala la msingi lilikuwa kwamba kuwa na silaha sio lazima iwe imetolewa kama standard issue. Mbaya zaidi Malima alikuwa na silaha siyoruhusiwa raia kuwa nayo ila vyombo vya kijeshi tu.

Na pia kuibiwa hela badala ya SMG na changudoa nayo sio sifa! Hao ndio wakuu wetu wa mikoa kwa busara zote za uteuzi.
Hahaha. Ni sawa kiongozi.

Nikusahihishe tu kwamba, utapewa silaha uliyo omba kutokana na kazi unayoenda kufanya.

Kwa mfano, ukiomba silaha nzito za kuwinda wanyama na ukawa una leseni ya kuwinda, basi utapewa bila Shaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom