Ni kweli kwamba mtu anayetumia vyema ARV kipimo cha kujipima cha damu huwa hakioneshi ni muathirika?

Ni kweli kwamba mtu anayetumia vyema ARV kipimo cha kujipima cha damu huwa hakioneshi ni muathirika?

Ndio ni kweli, mtu anayetumia ARV kwa usahihi kwa muda mrefu, hivi vipimo vya rapid test ambavyo ndivyo vinavyouzwa pharmacy na vinapatikana maabara vinaweza vikashindwa ku detect na hatimaye kutoa majibu ya FALSE NEGATIVE.
Kumbuka ARV husababisha wingi wa ujazo wa virusi katika damu kuwa chini sana hatimaye kutokuonekana
UNDETECTABLE.


Pia ikumbukwe kwamba hata mtu aliyepata maambukizi akiwa kwenye window period/ kipindi cha mpito vipimo vya haraka/ rapid test havionyeshi ndio maana unashauriwa kurudia baada ya miezi mitatu hadi Sita.

Hitimisho, maabara za benki za damu au hospitali kubwa wanazo ongezea watu damu wana vipimo ambavyo ni advance zaidi ambavyo vinaweza ku detect maambukizi ya virusi kwa usahihi zaidi tofauti na hivi vya rapid test vinavyotumika tulivyovizoea.
Paragraph ya Kwanza Umedanganya Ila paragraph ya Pili Uko sahihi
 
But PCR-RNA kupima Mpaka uwe na inconclusive Results Yaani Sentive Test (Bioline) Isome Positive na Specific Test .."Comfirmatory"(Unigold) isome Negative kwa Occasion zaidi ya Tatu na Kwa wapimaji tofauti..
Hiyo Huwa Tunazituma Kwenda kwenye RT-PCR au RNA-PCR
Kwa neonate utatumia kipimo gani kama sio PCR?
 
Acha mbwembwe, watu wasio na furaha wapo wodini wanapigania maisha, wengine wana kansa, wengine uti wa mgongo umepinda, wengine utumbo mkubwa una shida, kila mtu ni marehemu mtarajiwa njia tu za kuufikia umauti ndo zinatofautiana.
kumbe unalinua hilo basi muombe Mungu asikuweke kwenye kundi la wanaoishi kwa matumaini.... bora anaepigania uhai icu kuliko mtu anaebeba wadudu full kumtafuna kila siku
 
Sio kweli, Once umekua Sero Positive utabakia hivohivo Maisha yako yote.

Namaanisha hivi, vipimo vya HIV vipo vya aina kubwa mbili,

Moja.. Vinavyoangalia Muitikio wa Kinga ya mwili ( Antibodies test ).

Mbili ...Vinavyoangalia Kirusi husika .


Hivi vipimo vyetu Mara nyingi tunatumia aina ya kwanza ( Antibodies Test )....

Iko hivi mtu akipata maambukizi ya HIV, Kinga ya mwili huamza askari wa zana maalum na HIV.... askari Hawa huitwa ANTIBODIES..

Sasa Hawa Askari wakifanya Kwa ajili ya VVU, Huwa hawapotei Tena ,watabakia hapo siku zote za Maisha ya mtu Hata kama anatumia ARV Kwa muda wote na Kwa usahihi.yeye ukimpima kipimo Cha kwanza, ataonekana tu ni mwenye makosa. .


Ila mtu wa aina hii, kwakua anatumia ARV vizuri, huweza Kupunguza kiwango cha kuzaliana Cha VVU kiasi Cha kufikiria hatua inayoitwa "UNDETECTABLE" .. yaan VVU kutokua detected Kwa kutumia Kipimo namba mbili...katika hatua hii Mgonjwa huyu tunamuita STABLE PATIENT.. .yeye ikiwa sababu nyingine chochezi zitabakia kuepukika, basi Uwezo wake wa kuingilia Huwa ni Mdogo .
Naomba ufafanuzi hapo, kwenye uwezo wa kuingilia huwa mdogo, unamaanisha kushiriki mapenzi yaani kujamiana.
.Je ikiwa inamaana hiyo, kwa uwezo huohuo aliobaki na akishiliki na mwenza bila kujikinga si bado anaweza kumuambukiza?
 
kumbe unalinua hilo basi muombe Mungu asikuweke kwenye kundi la wanaoishi kwa matumaini.... bora anaepigania uhai icu kuliko mtu anaebeba wadudu full kumtafuna kila siku
Unapajua ICU? Grow up.
 
Nimeona nije nipate michango ya wanajamvi kutokana na kwamba jukwaa hili Lina wasomi na madaktari wengi.

Kwasasa vijana wengi tumeangukia kwenye wimbi la kujipima na Kula tunda kavu, ata huko Kwa Malaya utaratibu ni huo wao wanakuwa na vipimo vyao mnapima kisha mnakulana.

Sasa kuna mtu mmoja ameniambia kwamba watumiaji wazuri wa ARV inafikia stage ambayo kipimo hakioneshi ni MUATHIRIKA sasa nimejiuliza maswali sanà kwamba kama ndivyo maana yake watu wataambukizwa Kwa kuamini kipimo.

Kama hali hiyo ni ya kweli bhasi tutakuwa na wagonjwa wengi siku zijazo Kwa maana mtu ukimpima Leo unapomla kavu unakuwa huna wasiwasi hivyo michubuko hutojali na utatumia ujuzi wako kumuonesha kuwa unayajua mapenzi kumbe mwenzio dawa zimemkubali.

Naomba kama kuna mtu anao ufahamu kubusu hili atujuze maana naisi tutaisha Kwa kuamini kipimo, hapa nazingumzia siku umempima ndio siku umemla sio mahusiano ya muda hapana, Kwa lagha nyingine ni eat and run.

Asanteni.
Mkuu kipimo hata unywe arv miaka 100 kitaonyesha ila viral load ndio inakuwa ndogo
 
sipajui napaskia... ila ni bora kupambania uhai huko kuliko kuishi kwa dawa na matumaini ya kutokufa ukiwa na 2kg
ICU hujawahi fika ila unaona pana afadhali kuliko ambaye anameza dawa za kufubaza virusi vya HIV. Embu endelea kumuomba MUNGU afya njema acha mbwembwe.
 
Acha mbwembwe, watu wasio na furaha wapo wodini wanapigania maisha, wengine wana kansa, wengine uti wa mgongo umepinda, wengine utumbo mkubwa una shida, kila mtu ni marehemu mtarajiwa njia tu za kuufikia umauti ndo zinatofautiana.
Aisee
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Mkuu, am standing to be corrected! Sijadhamiria kudanganya ila unaruhusiwa kunirekebisha au kurekebisha nilipokosea.
No one know everything in medicine.
Yeah nimependa sana Jibh lako Mkuu, Ubarikiwe sana..

False Negative hutokea Pale ambapo Kipimo Kinashindwa Kudetect HIV antibodies au antigens katika Sample ya Damu ya inayopimwa..

Sasa kuna Sababu ya Kutokea False Negative
possibly due to low levels of these markers early in infection or issues with the test itself, such as improper storage or handling.

False positives inadetects HIV antibodies or antigens when they're not present, sasa hutokana na cross-reactivity with other substances in the blood or errors in the test procedure. Kwa mfano kuacha kipimo kwa Muda zaidi na Muda uliopangwa..etc
 
Yeah nimependa sana Jibh lako Mkuu, Ubarikiwe sana..

False Negative hutokea Pale ambapo Kipimo Kinashindwa Kudetect HIV antibodies au antigens katika Sample ya Damu ya inayopimwa..

Sasa kuna Sababu ya Kutokea False Negative
possibly due to low levels of these markers early in infection or issues with the test itself, such as improper storage or handling.

False positives inadetects HIV antibodies or antigens when they're not present, sasa hutokana na cross-reactivity with other substances in the blood or errors in the test procedure. Kwa mfano kuacha kipimo kwa Muda zaidi na Muda uliopangwa..etc
Amen mkuu, umefafanua vizuri na kitaalamu zaidi ingawa kwa layman ni ngumu kuelewa. Yote kwa yote tusichoke kuelimishana. Shukurani sana.
 
Back
Top Bottom