Ni kweli kwamba mwanaume akifika mshindo ni sawa na nguvu anazotumia kutembea kwa mguu umbali wa kilometa 3 ?

Ni kweli kwamba mwanaume akifika mshindo ni sawa na nguvu anazotumia kutembea kwa mguu umbali wa kilometa 3 ?

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925
Kuna kale kauchovu huwa kanakuja baada ya kupiga bao inabidi usizi dakika kadhaa kabla ya kuendelea raundi nyigine, wengine hata kuendelea hawewezi wakishapiga kimoja kifuatacho huwa ni kuuchapa usingizi mzito.

Kuna namna yoyote huo uchovu ni kama ule wa mtu anaetembea kilometa tatu ?
 
🤣🤣🤣 Niliamka nikakuta nimeachiwa jero na vitambulisho tu.
🤣🤣🤣🤣🤣 vijana wa hovyo watakwambia ungepiga mkonobao hata mmoja ili urudi ulale umalizie kbsa.
On a serious note, kuna sehem niliwahi kusoma wakasema kuwa kale kausingizi kanaletwa na kupoteza energy after sex, ndo maana wale wanaofanikiwa kupata orgasms bila kutoa mbegu hua wanabenefit sana frm the sexual enwrgy inayotokana na orgasm na uki-ichanel kwenye mambo mengine unapata faida mara mbili
 
🤣🤣🤣🤣🤣 vijana wa hovyo watakwambia ungepiga mkonobao hata mmoja ili urudi ulale umalizie kbsa.
On a serious note, kuna sehem niliwahi kusoma wakasema kuwa kale kausingizi kanaletwa na kupoteza energy after sex, ndo maana wale wanaofanikiwa kupata orgasms bila kutoa mbegu hua wanabenefit sana frm the sexual enwrgy inayotokana na orgasm na uki-ichanel kwenye mambo mengine unapata faida mara mbili
Unawezaje fika bila kumwaga wazungu? 🤣🤣
 
Back
Top Bottom