NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,925
Kuna kale kauchovu huwa kanakuja baada ya kupiga bao inabidi usizi dakika kadhaa kabla ya kuendelea raundi nyigine, wengine hata kuendelea hawewezi wakishapiga kimoja kifuatacho huwa ni kuuchapa usingizi mzito.
Kuna namna yoyote huo uchovu ni kama ule wa mtu anaetembea kilometa tatu ?
Kuna namna yoyote huo uchovu ni kama ule wa mtu anaetembea kilometa tatu ?