Ni kweli kwamba mwanaume akifika mshindo ni sawa na nguvu anazotumia kutembea kwa mguu umbali wa kilometa 3 ?

Ni kweli kwamba mwanaume akifika mshindo ni sawa na nguvu anazotumia kutembea kwa mguu umbali wa kilometa 3 ?

Hakuna finally inayokosa mshindi.

Huo ni uongo kweupee..

No kumwaga No kileleni
Mkuu kuna tofauti kubwa kati ya kufika kileleni na kumwaga mbegu.
Sio lazima ukifika kileleni umwage mbegu.
Hebu jarb kutafta ufumbuzi kidogo wa hili af uje upinge tena. Fuatilia hata kidogo af uje na conclusion
 
Mkuu kuna tofauti kubwa kati ya kufika kileleni na kumwaga mbegu.
Sio lazima ukifika kileleni umwage mbegu.
Hebu jarb kutafta ufumbuzi kidogo wa hili af uje upinge tena. Fuatilia hata kidogo af uje na conclusion
Mkuu kama hujamwaga maana yake hujafika kileleni.

Usirefushe mambo
 
Mkuu kama hujamwaga maana yake hujafika kileleni.

Usirefushe mambo
Sometimes ni aibu kushikilia msimamo usiokua na uhakika nao. Pia kung'ang'ania kitu bila kufanya research ni kipengele kingine.
Tusiende mbali, tumia hata google kwanza uone inasemaje before hatujaanza kuweka literature hapa kuelezea inakuaje
Ntakusaidia cha ku google ili usikosee pia,
Google this " can a man have an orgasm without ejaculation?"
 
Kuna kale kauchovu huwa kanakuja baada ya kupiga bao inabidi usizi dakika kadhaa kabla ya kuendelea raundi nyigine, wengine hata kuendelea hawewezi wakishapiga kimoja kifuatacho huwa ni kuuchapa usingizi mzito.

Kuna namna yoyote huo uchovu ni kama ule wa mtu anaetembea kilometa tatu ?
Huwa una maswali fulani hivi yanafurahisha sana.Huwa hupendi kabisa kuushughulisha ubongo wako tangu uijue JF!Kila ukipata mtanziko tu,unawabwagia wana JF zigo la swali halafu unakaa paleeee kusubiri majibu.Wonderful!😂😂😂😂
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] vijana wa hovyo watakwambia ungepiga mkonobao hata mmoja ili urudi ulale umalizie kbsa.
On a serious note, kuna sehem niliwahi kusoma wakasema kuwa kale kausingizi kanaletwa na kupoteza energy after sex, ndo maana wale wanaofanikiwa kupata orgasms bila kutoa mbegu hua wanabenefit sana frm the sexual enwrgy inayotokana na orgasm na uki-ichanel kwenye mambo mengine unapata faida mara mbili
Unafikaje orgasm bila kumwaga mbegu
 
Sometimes ni aibu kushikilia msimamo usiokua na uhakika nao. Pia kung'ang'ania kitu bila kufanya research ni kipengele kingine.
Tusiende mbali, tumia hata google kwanza uone inasemaje before hatujaanza kuweka literature hapa kuelezea inakuaje
Ntakusaidia cha ku google ili usikosee pia,
Google this " can a man have an orgasm without ejaculation?"
Mueleweshe tu tofauti ya orgasm na ejaculation.Na kama hakuna tofauti napo muelekeze.Yawezekana ndipo jibu lilipo.
 
Mkuu, inawezekana kbsa. Tafuta uzi wa no fap wa jamaa anaitwa bafetimbi kuna kitabu nliweka huko.
Yaan mwanaune anaeza enda hata bao 5 bila kumwaga, lakn inahitajika training ya muda mrefu
Mhmhh aisehh huu nao ni kauongo hebu weka hapa hicho kitabu hapa
 
Mkuu kuna tofauti kubwa kati ya kufika kileleni na kumwaga mbegu.
Sio lazima ukifika kileleni umwage mbegu.
Hebu jarb kutafta ufumbuzi kidogo wa hili af uje upinge tena. Fuatilia hata kidogo af uje na conclusion
Wanaume siku zote huwa tunafika kileleni tena kirahisi tu au ulimaanisha nini
 
Sometimes ni aibu kushikilia msimamo usiokua na uhakika nao. Pia kung'ang'ania kitu bila kufanya research ni kipengele kingine.
Tusiende mbali, tumia hata google kwanza uone inasemaje before hatujaanza kuweka literature hapa kuelezea inakuaje
Ntakusaidia cha ku google ili usikosee pia,
Google this " can a man have an orgasm without ejaculation?"
Nime-google na jibu lake ni kuwa dry orgasm ni tatizo kubwa, hivyo daktari anahusika.
 
Sometimes ni aibu kushikilia msimamo usiokua na uhakika nao. Pia kung'ang'ania kitu bila kufanya research ni kipengele kingine.
Tusiende mbali, tumia hata google kwanza uone inasemaje before hatujaanza kuweka literature hapa kuelezea inakuaje
Ntakusaidia cha ku google ili usikosee pia,
Google this " can a man have an orgasm without ejaculation?"
Kuna vitu havihitaji hata research,,

Research ni wewe mwenyewe.

Utafikaje kieleleni na hujakojowa.
Hicho kitu kwangu hakipo..
 
Shule zikifungwa huwa tunapata taabu sana ya kujibu hii aina ya maswali...
 
Mkuu, inawezekana kbsa. Tafuta uzi wa no fap wa jamaa anaitwa bafetimbi kuna kitabu nliweka huko.
Yaan mwanaune anaeza enda hata bao 5 bila kumwaga, lakn inahitajika training ya muda mrefu
Sasa inakuwaje bao kama humwagi
 
Uongo mtupu huo, wewe kilomita 3 unazijua kweli ama unaziskiaga tu
 
Jaribu kuconvert nguvu unazotumia kupiga mshindo kupeleka katika kutafuta hela tuone hesabu yake itakuwa vipi..
 
Back
Top Bottom