Ni kweli kwamba mwanaume akifika mshindo ni sawa na nguvu anazotumia kutembea kwa mguu umbali wa kilometa 3 ?

Hakuna finally inayokosa mshindi.

Huo ni uongo kweupee..

No kumwaga No kileleni
Mkuu kuna tofauti kubwa kati ya kufika kileleni na kumwaga mbegu.
Sio lazima ukifika kileleni umwage mbegu.
Hebu jarb kutafta ufumbuzi kidogo wa hili af uje upinge tena. Fuatilia hata kidogo af uje na conclusion
 
Mkuu kuna tofauti kubwa kati ya kufika kileleni na kumwaga mbegu.
Sio lazima ukifika kileleni umwage mbegu.
Hebu jarb kutafta ufumbuzi kidogo wa hili af uje upinge tena. Fuatilia hata kidogo af uje na conclusion
Mkuu kama hujamwaga maana yake hujafika kileleni.

Usirefushe mambo
 
Mkuu kama hujamwaga maana yake hujafika kileleni.

Usirefushe mambo
Sometimes ni aibu kushikilia msimamo usiokua na uhakika nao. Pia kung'ang'ania kitu bila kufanya research ni kipengele kingine.
Tusiende mbali, tumia hata google kwanza uone inasemaje before hatujaanza kuweka literature hapa kuelezea inakuaje
Ntakusaidia cha ku google ili usikosee pia,
Google this " can a man have an orgasm without ejaculation?"
 
Huwa una maswali fulani hivi yanafurahisha sana.Huwa hupendi kabisa kuushughulisha ubongo wako tangu uijue JF!Kila ukipata mtanziko tu,unawabwagia wana JF zigo la swali halafu unakaa paleeee kusubiri majibu.Wonderful!😂😂😂😂
 
Unafikaje orgasm bila kumwaga mbegu
 
Mueleweshe tu tofauti ya orgasm na ejaculation.Na kama hakuna tofauti napo muelekeze.Yawezekana ndipo jibu lilipo.
 
Mkuu, inawezekana kbsa. Tafuta uzi wa no fap wa jamaa anaitwa bafetimbi kuna kitabu nliweka huko.
Yaan mwanaune anaeza enda hata bao 5 bila kumwaga, lakn inahitajika training ya muda mrefu
Mhmhh aisehh huu nao ni kauongo hebu weka hapa hicho kitabu hapa
 
Mkuu kuna tofauti kubwa kati ya kufika kileleni na kumwaga mbegu.
Sio lazima ukifika kileleni umwage mbegu.
Hebu jarb kutafta ufumbuzi kidogo wa hili af uje upinge tena. Fuatilia hata kidogo af uje na conclusion
Wanaume siku zote huwa tunafika kileleni tena kirahisi tu au ulimaanisha nini
 
Nime-google na jibu lake ni kuwa dry orgasm ni tatizo kubwa, hivyo daktari anahusika.
 
Kuna vitu havihitaji hata research,,

Research ni wewe mwenyewe.

Utafikaje kieleleni na hujakojowa.
Hicho kitu kwangu hakipo..
 
Shule zikifungwa huwa tunapata taabu sana ya kujibu hii aina ya maswali...
 
Mkuu, inawezekana kbsa. Tafuta uzi wa no fap wa jamaa anaitwa bafetimbi kuna kitabu nliweka huko.
Yaan mwanaune anaeza enda hata bao 5 bila kumwaga, lakn inahitajika training ya muda mrefu
Sasa inakuwaje bao kama humwagi
 
Uongo mtupu huo, wewe kilomita 3 unazijua kweli ama unaziskiaga tu
 
Jaribu kuconvert nguvu unazotumia kupiga mshindo kupeleka katika kutafuta hela tuone hesabu yake itakuwa vipi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…