kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 10,406
- 19,892
Wakuu, Kuna mjadala ulikua unaendelea mahali huku mtaani, tulikua tunajadili kuhusu ubora wa majeshi ulimwenguni. Jamaa mmoja ambae ni mstaafu wa jwtz akasema kwamba kwa experience yake ya kukaa jeshini karibu miaka 30,anaona private wa jeshi la marekani ni bora kuliko Generali wa jwtz, sababu alizozitoa ni kwamba private wa USA army yeye kwa mwaka anaweza akawa deployed kwenye war zone hata mara tatu, but huku Tanzania Mtu anafikia level ya ujenerali akiwa hata hajawahi kukanyaga war zone yoyote wala kupiganisha vita yoyote.
Je Kuna ukweli hapo wakuu?
Je Kuna ukweli hapo wakuu?