Ni kweli kwamba Profesa Janabi hajawahi kusomea wala kuwa Daktari Bingwa wa Moyo?

Na ukitafta machapisho yake mtandaoni hayazidi 20 reseachgate tena hayo mengi sio main author.
na FCC machapisho hayazidi tisa nayenyewe mengi sio main author.
Ila yeye anasema anamachapisho zaidi ya 80.
 
Hili suala lina siasa za ndani ya CCM kwa maana Janabi ni mtu wa Kikwete na Samia kapitia humo humo kwenye uhusiano huo. Watu wa kambi ya hayati JPM wanaumia sana kumuona daktari wa zamani wa Rais akiendelea kuula hivyo wanafurahia anapochafuka.

Kwa mawazo yao kuchafuka kwake angalau ni sawa na kuchafuka kwa Mstaafu Kikwete.
 
Na chuki kubwa walionayo ni.kuambiwa ukweli, ulafi ulevi uvivu, na mambo km hayo. I
Ndio ukweli wenyewe, ukijiachia sana kwenye kupenda ulevi na ukakosa nidhamu ya ulaji wa chakula lazima ufike mahali mwili uzidiwe nguvu na maradhi yaanze kukusumbua.

Zamani uliweza kunywa bia kumi na ukaamka saa kumi na mbili asubuhi wakati ukiwa kijana wa miaka 35, unapovuka miaka 50 huna tena maini, wala figo zenye nguvu ya kwenda sambamba na hizo bia kumi.
 
Kwahiyo MCT nao ni team JPM ndio maana hawataki kumtambua kama daktari bingwa wa magonjwa ya moyo.
 
Kwa hiyo MCT wanamuonea wivu Prof Janabi? Kwa mujibu wa MCT hayo anayoyasema janabi hana utaalam nayo na sio bingwa wa hayo anayoyasema!
 
Kwa hiyo MCT wanamuonea wivu Prof Janabi? Kwa mujibu wa MCT hayo anayoyasema janabi hana utaalam nayo na sio bingwa wa hayo anayoyasema!
Ndio keshapendekezwa kuwakilisha nchi huko WHO. Nguvu inatumika kuonyesha kuwa Samia kakosea kumhakikishia kugombea.


Miaka yote aliyofanya kazi hao MCT walikuwa kimyaaa, mwaka huu kapendekezwa na Rais ndio wanaifungua midomo yao!, ni siasa nyepesi za kiafrika.
 
Imeenda hiyo.
 
Mtu amekuwa daktari na mshauri wa masuala ya moyo kwa rais wa awamu ya nne na rais wa awamu wa 5 ,..

Leo hii kuna nguchiro anataka amchafue Dokta kisa WHO
 
Hapana MCT wao wanaweka taarifa wazi na zilikuwepo sema tulikuwa hatuendi kusoma sasa ndio tumesoma! Hapo hakuna siasa ni swala la science tuu na uwazi
 
Mtu amekuwa daktari na mshauri wa masuala ya moyo kwa rais wa awamu ya nne na rais wa awamu wa 5 ,..

Leo hii kuna nguchiro anataka amchafue Dokta kisa WHO
Hiyo si tiketi ya kuhalalisha vihiyo!, kama una sifa ya degree mbili au tatu au kumi! Ya nini kuruhusu degree ambayo hujaifanya?
Tuache siasa za kuharibu nchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…