Ni kweli kwamba Profesa Janabi hajawahi kusomea wala kuwa Daktari Bingwa wa Moyo?

Ni kweli kwamba Profesa Janabi hajawahi kusomea wala kuwa Daktari Bingwa wa Moyo?

Sasa nani kamchafua wakati MCT wenyewe ndiyo wamesema kuwa Dr Janabi si Daktari bingwa wa moyo?…sasa kosa la mtoa mada kuleta habari zilizoandikwa kwenye tovuti ya MCT? Basi wewe tuambie ukweli kinyume na huo wa MCT chombo kinachomsimamia Dr Jana
Na ukitafta machapisho yake mtandaoni hayazidi 20 reseachgate tena hayo mengi sio main author.
na FCC machapisho hayazidi tisa nayenyewe mengi sio main author.
Ila yeye anasema anamachapisho zaidi ya 80.
 
CV yake inasemaje? Na mada hapa inahusu nini? Dr Janabi alikuwa anatoa ushauri kwa watu kuhusu mambo ya moyo na Lishe kama nani? MCT wanasema Prof Janabi si Daktari bingwa wa mambo ya moyo wa lishe hivyo alikuwa anafanya commedy…,,🤪🤪🤪🤪🤪🤪 chombo kinacho msimamia kinasema kuwa hana hata uwezo wa kusogelea au kugusa moyo wa mtu bila usimamizi wa madaktari bingwa….
Hili suala lina siasa za ndani ya CCM kwa maana Janabi ni mtu wa Kikwete na Samia kapitia humo humo kwenye uhusiano huo. Watu wa kambi ya hayati JPM wanaumia sana kumuona daktari wa zamani wa Rais akiendelea kuula hivyo wanafurahia anapochafuka.

Kwa mawazo yao kuchafuka kwake angalau ni sawa na kuchafuka kwa Mstaafu Kikwete.
 
Na chuki kubwa walionayo ni.kuambiwa ukweli, ulafi ulevi uvivu, na mambo km hayo. I
Ndio ukweli wenyewe, ukijiachia sana kwenye kupenda ulevi na ukakosa nidhamu ya ulaji wa chakula lazima ufike mahali mwili uzidiwe nguvu na maradhi yaanze kukusumbua.

Zamani uliweza kunywa bia kumi na ukaamka saa kumi na mbili asubuhi wakati ukiwa kijana wa miaka 35, unapovuka miaka 50 huna tena maini, wala figo zenye nguvu ya kwenda sambamba na hizo bia kumi.
 
Hili suala lina siasa za ndani ya CCM kwa maana Janabi ni mtu wa Kikwete na Samia kapitia humo humo kwenye uhusiano huo. Watu wa kambi ya hayati JPM wanaumia sana kumuona daktari wa zamani wa Rais akiendelea kuula hivyo wanafurahia anapochafuka.

Kwa mawazo yao kuchafuka kwake angalau ni sawa na kuchafuka kwa Mstaafu Kikwete.
Kwahiyo MCT nao ni team JPM ndio maana hawataki kumtambua kama daktari bingwa wa magonjwa ya moyo.
 
Ndio ukweli wenyewe, ukijiachia sana kwenye kupenda ulevi na ukakosa nidhamu ya ulaji wa chakula lazima ufike mahali mwili uzidiwe nguvu na maradhi yaanze kukusumbua.

Zamani uliweza kunywa bia kumi na ukaamka saa kumi na mbili asubuhi wakati ukiwa kijana wa miaka 35, unapovuka miaka 50 huna tena maini, wala figo zenye nguvu ya kwenda sambamba na hizo bia kumi.
Kwa hiyo MCT wanamuonea wivu Prof Janabi? Kwa mujibu wa MCT hayo anayoyasema janabi hana utaalam nayo na sio bingwa wa hayo anayoyasema!
 
Kwa hiyo MCT wanamuonea wivu Prof Janabi? Kwa mujibu wa MCT hayo anayoyasema janabi hana utaalam nayo na sio bingwa wa hayo anayoyasema!
Ndio keshapendekezwa kuwakilisha nchi huko WHO. Nguvu inatumika kuonyesha kuwa Samia kakosea kumhakikishia kugombea.


Miaka yote aliyofanya kazi hao MCT walikuwa kimyaaa, mwaka huu kapendekezwa na Rais ndio wanaifungua midomo yao!, ni siasa nyepesi za kiafrika.
 
Uwe unasoma vizuri na kuelewa! Kwa nchi yetu kuna vyombo maalum vya kutambua na kutathmini taaluma za watu na kwa afya kimojawapo ni MCT na hao ndio wanataarifa za madtari wetu wote na kulingana na wenyewe MCT kupitia tovuti yao hakuna mahali Dr Janabi anatambulika kama Daktari bingwa wa moyo …kwa hiyo MCT hawamtambui kama tunavyomjua sisi na MCT ndio wasema kweli hakuna siasa pale na alichofanya mtoa mada ni kutuhabarisha tuu
Imeenda hiyo.
 
Mtu amekuwa daktari na mshauri wa masuala ya moyo kwa rais wa awamu ya nne na rais wa awamu wa 5 ,..

Leo hii kuna nguchiro anataka amchafue Dokta kisa WHO
 
Ndio keshapendekezwa kuwakilisha nchi huko WHO. Nguvu inatumika kuonyesha kuwa Samia kakosea kumhakikishia kugombea.


Miaka yote aliyofanya kazi hao MCT walikuwa kimyaaa, mwaka huu kapendekezwa na Rais ndio wanaifungua midomo yao!, ni siasa nyepesi za kiafrika.
Hapana MCT wao wanaweka taarifa wazi na zilikuwepo sema tulikuwa hatuendi kusoma sasa ndio tumesoma! Hapo hakuna siasa ni swala la science tuu na uwazi
 
Mtu amekuwa daktari na mshauri wa masuala ya moyo kwa rais wa awamu ya nne na rais wa awamu wa 5 ,..

Leo hii kuna nguchiro anataka amchafue Dokta kisa WHO
Hiyo si tiketi ya kuhalalisha vihiyo!, kama una sifa ya degree mbili au tatu au kumi! Ya nini kuruhusu degree ambayo hujaifanya?
Tuache siasa za kuharibu nchi
 
Back
Top Bottom