Ni kweli kwamba Profesa Janabi hajawahi kusomea wala kuwa Daktari Bingwa wa Moyo?

Ni kweli kwamba Profesa Janabi hajawahi kusomea wala kuwa Daktari Bingwa wa Moyo?

Hakuna mtu anasema Urusi, China au India wako nyuma katika sayansi ya Afta na tiba. Wametuzidi mbali sana. Lakini linapokuja suala la kumfundisha kijana kutoka Tanzania ili kuja kuwa Daktari bora hapo tumewatangulia mnoo. Mfumo wao umeegemea kumfanya mwanafunzi kusikiliza, kusoma na KUTAZAMA (Listen,Read and observe) wakati kwa Tanzania mfumo umejikita zaidi kwenye kusikiliza, kusoma, kutazama, KUFANYA, KUFANYA, KUFANYA.....
Ajabu huyo mchina, muhindi au mrusi anayekosa hiyo KUFANYA, KUFANYA, KUFANYA, ... anatibu kwa usahihi magonjwa yaliyo shindikana kutibiwa au kutambuliwa kitabibu na hawa wa MNH waliopata hayo mafunzo ya ziada usemayo.
Au unazungumzia mtanzania alieyeenda kusomea udaktari huko Russia au China? na siyo mrusi au mchina mwenyewe?
Huenda sijakuelewa una maanisha Nini.
 
Hebu Usinifanye Nicheke ndugu yangu Ndo maana Nimeanza na Afya..Mkuu Kwenye Hiyo comment..

Ila Ukizungumzia Urology kwa Tz Ni Super Hiyo Haingiwi Kichwa kichwa Mpaka Uwe Umesoma MMED ya Internal au Paed..

Usione ina Msc basi ukajua Ni Kwenye zile nilizozungumzia MSc na MMED..
Msc ya Urology ni Ubingwa Bobezi
Ila we jqmaa ungekas tu kimya hmn ktu kabsa
 
Wasomi wengi wa kiTanzania ni kama waganga wa kienyeji kwa kuficha utaalamu wao.

Katika Tanzania ni maprofesa wachache kama Prof. Issa Shivji siasa / sheria, Prof. Janabi utabibu / elimu kwa umma (Public health), Prof. Prosper Ngowi wa Mzumbe University somo lake la kujiajiri ndiyo wasomi wachache wanaorudi kwa jamii kuwainua ufahamu waTanzania kwa elimu ya buree mtandaoni

Prof. Ngowi, Presenting Paper on Education for Liberation of the Poor in Africa at Nyerere Intellectual Festival UDSM, on 12.04.2018. Key issue; EDUCATION should Liberate the Poor Economically, should be relevant and demand-Driven


View: https://m.youtube.com/watch?v=gUu5YZEaPjk

Nasikia Ngowi alifariki kwa ajali ya gari. Jamaa alikuwa na maono mazuri sana kwenye taaluma yake lakini Ph.D. ilimgomnga wakati akiwa chuoni kwenye nchi moja ya Scandnavia akaamua kununua PhD yake ya mchongo kutoka PWU. Sijui kwa nini watanzania wengi tunapenda njia za mkato mkato. Kama ni kweli alishafariki, mwenyezi mungu aipumzishe roho yake pema peponi.
 
Duh! Unakumbuka title ya huo uzi niutafute nimsome,hakika ni mshenzi sana.



Jamaa naye siku hizi anajiita Professor (kwenye instagram)
 



Jamaa naye siku hizi anajiita Professor (kwenye instagram)
Nashukuru sana,mtu alifariki lakini huyu bwana akadai yuko katika hali mbaya kuna kifaa kinahitajika cha gharama ya milioni na kitu akapewa hiyo hela huku akijua ametumia uhuni
 
Nashukuru sana,mtu alifariki lakini huyu bwana akadai yuko katika hali mbaya kuna kifaa kinahitajika cha gharama ya milioni na kitu akapewa hiyo hela huku akijua ametumia uhuni
Asante kwa uchunguzi wenu, watanzania wengi wameumizwa na mifumo yetu ya ovyo! Watu kujiita madaktari kumbe hawana sifa hiyo,
 
Sio kweli. Watu walio objective wanaangalia facts tu. Hayo mambo ya majina labda yako kichwani kwako wewe. Mbona usomi wa Dr Bilali (former VP) au shangazi Fatmah Karume, hautiliwi shaka hata kidogo?
Hata Prof Mussa Assad.
 
Hivi mliotembea kwenye nchi za wengine ,Kuna watu wanaojifanya wajuaji kama watanganyika?
 
Uka
Acha uongo ndugu yangu.
Standard ya elimu ya utabibu kipindi cha USSR mpaka leo hii haijawahi kuwa bora kupita yetu katika kipindi chochote kile. Mhitimu wa Muhimbili amekuwa better dhidi ya hao wa USSR.
Ukapimwe akili wewe, hivi nyinyi watu mnapima ubora wa elimu zenu kwa kuhangaishwa na Lecturers wenu kwenye makorido ya vyuo vyenu? Yani hata aibu huna unasema huo utoto wako? Umefika huko ulikotaja ukaoba kabisa ukafanya hizo comparison kuanzia facilities tu achilia watu wenye akili timamu.
 
Binafsi sina shaka na elim yake na binafsi nilimpendekeza kwa nafsi hii, shida ninayoiona ni pale anapoteuliwa katika nafasi kama mshauri wa Rais katika afya ,then anza pigiwa chepuo la nafasi hii , lengo la mamlaka ni nini?

Kumfunga mikono endapo atafanikiwa kupata nafasi hii katika kutekeleza majukum yake .

Aya mambo ya kupigiwa chepuo mtu na serikali, kwangu siungi mkono, tuache uwezo wa mtu binafsi uongee katika nafsi kama hizi za kimataifa.

Sio mtu ategemee mbeleko ya watu flan flan, apa ndo tunaposhindwa kupata watu smart kama taifa.

Na sio hili tu tumeona pia katika nchi ,watu hawako katika nafasi flan flan kwamba wako smart , bali kupitia vimemo, kujuana ndo maana mambo hayaendi.

By the way wenda aliekua mshindi wa karibu wa Faustin Ndugulile(R.I.p) akanyakua kiti ichi bila kujali anatoka nchi gani , hii naipa asilimia 75
Umeandika jambo la msingi sana sana ndugu 4 7mbatizaji .
Kongole sana.
 
Mjadala huu wote ni kwasababu jina lake halisi ni Mohamed, humu JF sikuhizi kuna tatizo fulani la kumuangalia mtu utendaji wake kwa misingi ya kibaguzi.

kuanzia Rais, na watendaji wengine wote wanapitia changamoto hiyo!!!

Na yanafanyika haya kwa lengo maalumu.
Usijifiche kwenye kichaka cha dini; tuthibitishie amesoma Master of Medicine in Internal Medicine.
 
Kwahiyo mct ndio kipimo cha ubingwa? Wewe unajua nini kuhusu elimu? Ili ufanye undergraduate pale MUHAS si kwa vigezo vyenu mliweka uwe umamaliza kidato cha Sita katika tahasusi ya PCB, je kila nchi wanasoma mpaka form 6? Na wanasoma PCB? Sasa unakataa vip kuwa ubingwa wa mtu sio lazima upimwe na MCT kama interest ya mtu sio kutambuliwa?
Halafu kwanza tukusaidie kitu, kuna holders wengi wa taaluma ambao taaluma zao hawakuwa na shida ya kutambuliwa na mamlaka za sehemu husika walipo.
Mimi naweza kuwa Professor nchi husika nikija UDSM wakaishia kuniona mzalimili fulani tu, watanitaka nikawasilishe kazi zangu mbele ya jopo la wataalamu wao na mimi huo muda wa kwenda kuongea na kina Ruge sina na sihitaji kutambuliwa kama Professor na kina Anangisiye ambao hata lugha yenyewe wanaweza wasisikie ninachoongea.
Halafu umejihakikishia umeelewa maana ya Fellowship? Na nani anakupa sifa linganishi za utaalamu fulani? Hebu wasaidie wenzako hapo kwenye fellowship Janabi alitoka na kitu gani?
Sio mimi nimesema, ndio standard zilizopo pale MCT. Huna Mmed wewe sio daktari bingwa.
 
Back
Top Bottom