Ni kweli kwamba Profesa Janabi hajawahi kusomea wala kuwa Daktari Bingwa wa Moyo?

Ni kweli kwamba Profesa Janabi hajawahi kusomea wala kuwa Daktari Bingwa wa Moyo?

Unamchafua Prof aliyehitimu hapo Muhimbili mwaka 1989 ili upate nini?.

Wabongo wengi wanamchukia huyu prof kwa sababu za kijinga tu, hatupendi kuambiwa ukweli hivyo tunaunga mkono mada za kumponda tukijaribu kupoza maumivu yetu.
Sasa nani kamchafua wakati MCT wenyewe ndiyo wamesema kuwa Dr Janabi si Daktari bingwa wa moyo?…sasa kosa la mtoa mada kuleta habari zilizoandikwa kwenye tovuti ya MCT? Basi wewe tuambie ukweli kinyume na huo wa MCT chombo kinachomsimamia Dr Janabi!
 
Kwani tatizo lenu ni nini? Hamuioni cv yake?mimi namtumbua kama mkurugenzi wa hospital ya moyo...
CV yake inasemaje? Na mada hapa inahusu nini? Dr Janabi alikuwa anatoa ushauri kwa watu kuhusu mambo ya moyo na Lishe kama nani? MCT wanasema Prof Janabi si Daktari bingwa wa mambo ya moyo wa lishe hivyo alikuwa anafanya commedy…,,🤪🤪🤪🤪🤪🤪 chombo kinacho msimamia kinasema kuwa hana hata uwezo wa kusogelea au kugusa moyo wa mtu bila usimamizi wa madaktari bingwa….
 
CV yake inasemaje? Na mada hapa inahusu nini? Dr Janabi alikuwa anatoa ushauri kwa watu kuhusu mambo ya moyo na Lishe kama nani? MCT wanasema Prof Janabi si Daktari bingwa wa mambo ya moyo wa lishe hivyo alikuwa anafanya commedy…,,🤪🤪🤪🤪🤪🤪 chombo kinacho msimamia kinasema kuwa hana hata uwezo wa kusogelea au kugusa moyo wa mtu bila usimamizi wa madaktari bingwa….
Haya uliyoandika hapa yapo kwenye profile ya Janabi MCT.MCT wameandika haya yote kweli?
 
Kwa hichi ulichoandka hapa,w sio dr
Futa hyo prefix huna unachokijua
Znzibar ASP cmjui ila anachoongea n very right
Acha kuvamia profession za watu
Ok Sawa 🤣🤣🤣
Polee Sana Kwa kutaka Kuondoa Preffix Niliyoitolea Jasho Pengine kabla Hata Hujazaliwa..

Ok naondoa Hiyo preffix Kwako wewe Itakupa Faida Gani?
Maana Mimi nitaendelea Kutibu na Kuona Wagonjwa Vipi wew nikiondoa Preffix Utafanya Nini??

Maana Kinachotibu Sio Hiyo preffix Kwenye Jina Ni elimu iliyopo Kichwani na Weredi..

Shukrani sana ningeweza Kuiondoa Preffix Ila Sikujipa Mimi Ni elimu ndo Imenipa Hiyo preffix
 
Ila we jqmaa ungekas tu kimya hmn ktu kabsa
Calimax unatatizo na Mimi Binafsi?
Kama Unalo niambie..
Ila Ukiweza Chambua Mjadala uliopo Mezani na usifanye Character assasin..

Naheshimu Kila Mtu mtu kwenye Kuchangia Ila Huwa nachukia Character assassin ukiona Kuna mahali Sipo sawa Iweke sawa unapooona pamepelea na mimi nitasema kwaninu nimesema Hivyo..

Nipo Kwenye Medicine kama Super Kwa Muda wa Miaka 10 Nipo Kwenye Medicine kma Daktari kwa Muda wa Miaka 27 Kwahyo Nakusikiliza Hoja Yako..
Kama Una Hoja Weka Mezani Tujadili ila Kama Hujui Unaweza ukapita Bila Kuongea chochote Pia inaruhusiwa..

Nakukaribisha kwa Mjadala
 
Fellowship ya moyo sio specialization acha kudakia vitu hujui.
Sometimes Kama hujui Kitu ni Bora Kukaa Kimya Tu..
Fellowship ya Moyo..
A cardiac Fellowship ina Lasts kwa Miaka 3 Na wanakuwa kwenye Clinical na Research Trials Nyingi..
Clinical nyingi wanafanya huwa zinahusisha Cardiovascular..
na Ndo maana Ni lazima anayeenda fellowship ya Moyo Awe amemaliza MMED..

Na Kama akimaliza Ata attain FACC title.. physician (MMED internal Medicine ) who has completed a cardiac fellowship may earn the title "Fellow, American College of Cardiology" (FACC) na Hiyo Huwa Ni Super..
sijui Unaelewa..

Mimi nimeenda Fellow Ya Neonatology na Ni super na Ninakuambia Hichi Nikiwa Ninajua ninachoKiongea siropoki..

Just Niulize swali lolote nitakujib
 
Hii ni mada ya kitoto sana.

Medical practice ni very regulated.

Uamki asubuhi moja na kuwa surgeon hasa wa ubongo au moyo (Hakuna shortcut) you have to undergo rigorous training.

Huo ni utaratibu wa shughuli ya upasuaji wowote hadi kupata hiko kibali sio shughuli ya kitoto.

Shida ya Janabi ni limitations zake kwenye medical field zingine.

Medicine ni discipline pana; na wazi kwa ushauri wake wa diet hana elimu pana ya nutrient.

Lakini kusema mtu anaweza kuwa surgeon bila ya training dah hiyo hapana.

Shida ni quality of training japo mimi kuna siku niliwahi kumsikia akiongelea magonjwa ya moyo (there is no way, nitakubali Janabi apasue kifua changu).

Same nikisoma mada za JF jukwaa la afya kuhusu type two diabetics, uelewa wa wachangiaji wa madaktari wetu kuhusu pathophysiology ya ugonjwa unanipa mashaka sana na tiba wanazotoa.

Halafu mshauri wa maswala ya afya lazima awe na uelewa wa health management.

Kwa nafasi ya Janabi hadi kuwa mkuu wa kutuo kama Muhimbili kama ajapitia succession planning ya wenzake kama hakina Dorothy Gwajima itakuwa ni upuuzi wa hali ya juu kwa mamlaka ya teuzi.

Iła nimesikiliza interview kadhaa za Janabi akiongelea afya, I am not convinced.

Hivi watanzania achana na demeanour ya uanamke sana (ambayo inaweza fanya umchukulie poa), lakini ‘Dorothy Gwajima’ sio wa mzaha-mzaha kabisa kwenye usimamizi wa afya.

Yaani ‘Dorothy Gwajima’ sio wa mzaha kabisa kwenye afya, she is something (don’t be fooled na tabia zake za kike sana ukamchukulia poa). She is actually a proper technocrat.

Kwenye management ya afya ‘Dorothy Gwajima’ sio wa mzaha-mzaha hata kidogo. Ni proper

Ni manager na mshauri wa rais wa mambo ya afya tu inatosha nimtambue vipi zaidi? Elimu iliyomfikisha hapo haina tija so long as yupo effective na anadeliver sawasawa!
Rais ni mkuu wa wananchi wote, kama amebumba vyeti, some si tumeingia chaka?
 
Aki
Unajua Maana Ya Fellowship??
🤣🤣
Unajua Kuna Wakati kuna Maswala tuyaache tu..
Mmed Za janab zote unazijua??

Angewezaje kusoma Msc Bila Kusoma Mmed?
Sio Vyote Vinaandikwa MCT..
Kasoma MMED internal medicine hapo hapo University of Queensland in Australia Mwaka 1996 ndo alimaliza..
Fellowship alifanya na Cardiology..

Fellowship Kafanya kutoka Fellow American College of Cardiology (FACC) mwaka 1996/97 Mpaka 98

Internal Medicine and Molecular Science, Graduated in School of Medicine Osaka University Hospital Osaka, Japan 2000 (Post Doctorate)

Bergen University Norway Cardiology Department
and Medical University of South Carolina-USA Clinical attachment ya mwaka 2005
Akijibu uniite
 
Aki
Unajua Maana Ya Fellowship??
🤣🤣
Unajua Kuna Wakati kuna Maswala tuyaache tu..
Mmed Za janab zote unazijua??

Angewezaje kusoma Msc Bila Kusoma Mmed?
Sio Vyote Vinaandikwa MCT..
Kasoma MMED internal medicine hapo hapo University of Queensland in Australia Mwaka 1996 ndo alimaliza..
Fellowship alifanya na Cardiology..

Fellowship Kafanya kutoka Fellow American College of Cardiology (FACC) mwaka 1996/97 Mpaka 98

Internal Medicine and Molecular Science, Graduated in School of Medicine Osaka University Hospital Osaka, Japan 2000 (Post Doctorate)

Bergen University Norway Cardiology Department
and Medical University of South Carolina-USA Clinical attachment ya mwaka 2005
Akijibu uniite
 
Hii ni mada ya kitoto sana.

Medical practice ni very regulated.

Uamki asubuhi moja na kuwa surgeon hasa wa ubongo au moyo (Hakuna shortcut) you have to undergo rigorous training.

Huo ni utaratibu wa shughuli ya upasuaji wowote hadi kupata hiko kibali na sio shughuli ya kitoto.

Shida ya Janabi ni limitations zake kwenye medical field zingine.

Medicine ni discipline pana; na wazi kwa ushauri wake wa diet hana elimu pana ya nutrient.

Lakini kusema mtu anaweza kuwa surgeon bila ya training dah hiyo hapana.

Shida labda inaweza kuwa quality of training. Kuna siku niliwahi kumsikia akiongelea magonjwa ya moyo after that nikajisemea (there is no way, nitakubali Janabi apasue kifua changu).

Similarly nikisoma mada za JF jukwaa la afya kuhusu type two diabetics, uelewa wa wachangiaji wa madaktari wetu kuhusu pathophysiology ya ugonjwa unanipa mashaka sana na tiba wanazotoa.

Kuhusu teuzi ya raisi

Mshauri wa maswala ya afya lazima awe na uelewa wa health management

Kwa nafasi ya Janabi hadi kuwa mkuu wa kutio kama Muhimbili. Hata kama ajapitia succession planning ya wenzake kama hakina Dorothy Gwajima (kwenda kusoma shahada za public health). Itakuwa ni upuuzi wa hali ya juu kwa mamlaka ya teuzi kama ajapewa hata management training skills zingine through succession planning.

Iła nimesikiliza interview kadhaa za Janabi akiongelea afya, I am not convinced.

Ila watanzania tuachane na demeanour ya uanamke sana (ambayo inaweza fanya umchukulie poa), ‘Dorothy Gwajima’ lakini sio wa mzaha-mzaha kabisa kwenye usimamizi wa afya.

The woman is actually a proper technocrat. Kwenye management ya afya yaani sio wa mzaha-mzaha hata kidogo. Ni proper technocrat.

Achana na machawa wanao-support ilimradi na wao waonekane wamo, hee mama unaupiga mwingi mradi wamesemema, ohoo we mama nakupenda kwa sababu za ujinga tu.

But in fact Dorothy Gwajima ni proper health management technocrat achana na demeanor zake za kike sana.

You just don’t know

Hahaha regulated Tanzania? Upo kwenye medical practice? Kama haupo ndani utafikiri hayo! Regulations zipo Ulaya na kulikoendelea achana na wabongo ndugu! Ukiona clinical courts unaona wapo smart kwelikweli ila ingia uone dah! Huruma tu kwa wagonjwa!

Nakubaliana na wewe mada za afya za kileo zipo shallow sana ukisoma mitandaoni na hii inachangiwa sana na ujinga wa kibongo na effects kubwa sana za kiimani! Msomi wa kitanzania anasoma science afanyie mitihani kupata vyeti lakini anaamini kwnye miujiza na uchawi! So daktari anakutibu huku anaamini utapona kwa maombi sio kwa maarifa aliyosomea au science ya ugonjwa wenyewe so ni mchanganyiko mtupu.
 
CV yake inasemaje? Na mada hapa inahusu nini? Dr Janabi alikuwa anatoa ushauri kwa watu kuhusu mambo ya moyo na Lishe kama nani? MCT wanasema Prof Janabi si Daktari bingwa wa mambo ya moyo wa lishe hivyo alikuwa anafanya commedy…,,🤪🤪🤪🤪🤪🤪 chombo kinacho msimamia kinasema kuwa hana hata uwezo wa kusogelea au kugusa moyo wa mtu bila usimamizi wa madaktari bingwa….
MKuu nimejaribu kufuatilia hata hiyo fellow ship ya moyo janabi kama amefoj, FCC wanasema fellowship ya moyo ni kwa waliosoma cadiology baada ya internal medicine kwa watu wazima au watoto.
Pia wenzake wenye fellowshi kama hizo mfano levina msuya fellowship yake pale mct wameiweka manake inatambulika ila ya janabi haitambuliki.
Nawasi wasi hiyo fellowaship hana.
 
MKuu nimejaribu kufuatilia hata hiyo fellow ship ya moyo janabi kama amefoj, FCC wanasema fellowship ya moyo ni kwa waliosoma cadiology baada ya internal medicine kwa watu wazima au watoto.
Pia wenzake wenye fellowship kama hizo mfano levina msuya fellowship yake pale mct wameiweka manake inatambulika ila ya janabi haitambuliki.
Nawasi wasi hiyo fellowaship hana.
Aloo huu uzi wadau mmesaga sumu sio poa😃🙌🏽
 
Back
Top Bottom