Geofrey Mahenge
New Member
- May 4, 2020
- 1
- 0
Hapo pia kuna la kujifunza. Huyo Mwenyekiti wa Bawacha alisimama hadharani kuunga mkono upande Fulani. Tujifunze hayo kupitia kwa Katibu mkuu John Mnyika.Kwa demokrasia ya kiafrika kama kwenye kampeni na harakati ulikuwa katika upande ulioshindwa, ni ngumu kuendana na upande uliokuwa unaupinga ingawa ulishinda. Busara ndogo tu ni kuamua kujitoa. Pia busara kubwa zaidi ni kuzika tofauti za kampeni baada ya uchaguzi ili mambo yaende sawa
Habari haijathibitishwa. Imetoka kwenye chanzo kimoja tu. Chanzo kilichokuwa team Mbowe ambacho hakipo above propaganda and dirty tricks za fake news.Aliyetupa hatari ni Ngurumo ameitoa kwa chanzo chake ambacho kilikuwa sehemu ya tukio.
Lakini habari hii ni fake mpaka Kiranga atumie mbinu zake za uhakiki. Sawa tunasubiri uhakiki.
Asiyeelewa ni wewe sio mimi. Ukitaka kuelekezwa namna ya kuthibitisha habari omba ueleweshwe.Habari haijathibitishwa. Imetoka kwenye chanzo kimoja tu. Chanzo kilichokuwa team Mbowe ambacho hakipo above propaganda and dirty tricks za fake news.
Inabidi kwanza habari ithibitishwe.
Huelewi wapi?
Habari yako inatoka kwa source moja iliyo biased.Asiyeelewa ni wewe sio mimi. Ukitaka kuelekezwa namna ya kuthibitisha habari omba ueleweshwe.
Ngurumu sasa hivi anamsifia hadi Wasira na MakondaTeam Mbowe bado wana majonzi.
Kubalini yaishe
Kwani yale mapandikizi ulisema moja wapo si ulisema ni huyu! Mbona ngurumo Umekuwa mvurugaji?Anaandika Ngurumo kwenye X.
Nimepigiwa simu na BAWACHA waliomtembelea Mwenyekiti Tundu Lissu jana. Ujumbe: "Tulienda kwa upendo, lakini tumeondoka na hisia za visasi.
Uongozi mpya haumtaki Sharifa, eti hafai. Tayari njama za kumng'oa zimeanza. Soon, wataanza kampeni hiyo mikoani. Hii si haki!" Kaeni chonjo!
Soma Pia: Uzi maalumu wa matokeo Uchaguzi wa Baraza la Vijana (BAVICHA) na Baraza la Wazee (BAZECHA) na wanawake (BAWACHA) CHADEMA Taifa 2025
Kama kweli Lissu anataka kufanya haya ataua hiki chama.
Nitajie shujaa aliyepigania uhuru ambaye hakuwa mwanaharakati.Lissu sio Kiongozi, ni mwanaharakati. Na harakati Moja ikiisha huanzishwa nyingine just for the sake of public attention
Nadhani ameandika TETESI, so you gotta wait and see. Inaweza weza kuwa kweli lakini pia inaweza isiwe kweli.Hayo maneno ya Ngurumo unayahakiki vipi?
Kwa tabia za Ngurumo alipoamua kuwa mchambuzi na kushambulia upande mmoja, na kuonyesha dhahiri kutokubaliana na ushindi wa Lissu, so Ngurumo anaendelea ku gain momentum kwenye trending yake.Kwa hiyo wewe unakanusha meseji y Ansbert kwa misingi hipi?
Anayeleta tetesi ana wajibu wa kuzithibitisha, ama sivyo anaweza kusambaza habari za uzushi.Nadhani ameandika TETESI, so you gotta wait and see. Inaweza weza kuwa kweli lakini pia inaweza isiwe kweli.
Kama ulivyobainisha, bado ni 'tetesi'. So let's cross our fingers and wait.Mjinga ni anayetaka kufukuza kiongozi aliyechaguliwa kidemokrasia.
Kuna mtu anaetangaza wazi kuwa atawaonea wengine? Watu wanapimwa kwa matendo yao, sio maneno yao.Lisi kawaambieni vizuri tu, yeye ni mtu wa haki na hataonea mtu. Nyie mnataka kuleta chokochoko tu zisizo na maana.
Lissu hana muda huo.
Lissu ana visasi na ni mgumu sana kusahau na kuachilia mambo.Anaandika Ngurumo kwenye X.
Nimepigiwa simu na BAWACHA waliomtembelea Mwenyekiti Tundu Lissu jana. Ujumbe: "Tulienda kwa upendo, lakini tumeondoka na hisia za visasi.
Uongozi mpya haumtaki Sharifa, eti hafai. Tayari njama za kumng'oa zimeanza. Soon, wataanza kampeni hiyo mikoani. Hii si haki!" Kaeni chonjo!
Soma Pia: Uzi maalumu wa matokeo Uchaguzi wa Baraza la Vijana (BAVICHA) na Baraza la Wazee (BAZECHA) na wanawake (BAWACHA) CHADEMA Taifa 2025
Kama kweli Lissu anataka kufanya haya ataua hiki chama.
Vyama vinatofautiana, sidhani kama Lissu atamtoa mtu aliyepigiwa kura na majority. CHADEMA wanajitanabaisha kama chama kinachofuata democracy hiyo mtu mmoja(hata mwenyekiti) kumuondoa mtu aliyepata uongozi kwa kupigiwa kura nyingi itakuwa wanabomoa misingi yao wenyewe.Mbona Ndugai au Kinana hawakuondolewa kwa sanduku la kura badala yake wakafurushwa juu kwa juu?! Kama hufai hufai hakuna cha sanduku la kura
Watu sensible tofauti zao huisha baada ya uchaguzi, hata boxers after the bout huwa wana-hug.Hapana ila kama anaona hawezi kufanya kazi na wewe ni vizuri ukakaa pembeni mwenyewe kupisha mwingine. Hauwezi kuwa mwenyekiti wa chama halafu hauko ukurasa mmoja na mwenyekiti wa baraza la vijana, hiko hakiwezi kuwa chama. Watu wa chini hasa viongozi wenzio inabidi wawe ukurasa mmoja na wewe na wawe tayari kufuata maelekezo yako 100%
Akishathibitisha hatatumia tena neno tetesi, hii itabaki kuwa tetesi ambayo kuna possibility ikawa ni habari ya uongo japo kuna uwezekano ikawa ni kweli pia.Anayeleta tetesi ana wajibu wa kuzithibitisha, ama sivyo anaweza kusambaza habari za uzushi.
Matusi hutumiwa na watoto waliokosa malezi mazuri ya wazazi au wenye ukosefu wa hoja zenye maana.Habari yako inatoka kwa source moja iliyo biased.
Kwa watu wanaotumia mantiki, walio objective, haikubaliki.
Ukitaka ikubalike kimantiki na objectively, ithibitishe kwa source zaidi ya moja zisizo na glaring bias.
Ukikataa ukweli huu, basi na wewe chances are ama ni mjinga huelewi ama unavumisha fake news kwa sababu zako.
Sasa wewe ni mjinga ama mzushi?