Pre GE2025 Ni kweli Lissu anataka kumng'oa mwenyekiti wa BAWACHA Taifa?

Pre GE2025 Ni kweli Lissu anataka kumng'oa mwenyekiti wa BAWACHA Taifa?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Akishathibitisha hatatumia tena neno tetesi, hii itabaki kuwa tetesi ambayo kuna possibility ikawa ni habari ya uongo japo kuna uwezekano ikawa ni kweli pia.
Ndiyo maana yangu tetesi hazitakiwi kwa sababu zinaacha nafasi ya kuvumisha fake news, habari ni bora zihakikiwe kabla ya kuletwa public.
 
Matusi hutumiwa na watoto waliokosa malezi mazuri ya wazazi au wenye ukosefu wa hoja zenye maana.
Ujinga si tusi, ni hali ya kutojua kitu.

Tatizo wewe ni mjinga hata kuhusu msamiati wa mjinga.

You are ignorant. You are also ignorant about what ignorance is.
 
Anaandika Ngurumo kwenye X.

Nimepigiwa simu na BAWACHA waliomtembelea Mwenyekiti Tundu Lissu jana. Ujumbe: "Tulienda kwa upendo, lakini tumeondoka na hisia za visasi.

Uongozi mpya haumtaki Sharifa, eti hafai. Tayari njama za kumng'oa zimeanza. Soon, wataanza kampeni hiyo mikoani. Hii si haki!" Kaeni chonjo!

View attachment 3221554

Soma Pia: Uzi maalumu wa matokeo Uchaguzi wa Baraza la Vijana (BAVICHA) na Baraza la Wazee (BAZECHA) na wanawake (BAWACHA) CHADEMA Taifa 2025

Kama kweli Lissu anataka kufanya haya ataua hiki chama.
Na muda wa uchaguzi mkuu umewadia.
 
Back
Top Bottom