brownjosephati
JF-Expert Member
- Jun 7, 2024
- 549
- 674
Nasema cdm kwishney.Kwenye upinzani hakuna fungu la chama kuna ruzuku tu ambayo ni ndogo sana ndio maana Freeman alitoa pesa zake kwenye shughuli ya Mlimani City.
Lbd Anataka kusema mbowe kapiga zote account nyeupehaha! kwani kwenye mambo ya chama kiongozi anatoa pesa zake mfukoni ama kuna fungu la chama..?
🤣 🤣 🤣Kwahiyo kama hana pesa, Chadema wamekosea kumchagua?
Basi wamwondoe wamchague Mo Dewji au SS Bakhresa aka Azam
Kwamba yeye mgombea ndo alitakiwa atoe pesa au chama ndo kilitakiwa kutoa pesa?Kufahamu ukweli, tujue tulikuwa right au tulifanya makosa
Huyo ni mbogamboga, kule kwao wamezoea kila kitu mama katoa, mama kafanikisha...haha! kwani kwenye mambo ya chama kiongozi anatoa pesa zake mfukoni ama kuna fungu la chama..?
50M jifikirie. Kuna zaidi ya 230M imehusika kuendesha ule uchaguzi kuanzia kuwaleta wajumbe mpaka kuwarudisha. Fuatilia mazungumzo ya waliohusika. Punguza uchawaKuna habari inaenea kwamba uchaguzi wa wajumbe wa kamati kuu umeshindikana sababu hakuna pesa.
Bajeti ya kuendesha uchaguzi huo ni million 50 lakini uongozi mpya wa Lissu hizi pesa kidogo zimewashinda ku mobilize.
Naomba kufahamu ukweli wa jambo ili nijue tulichagua watu sahihi ama la?
sasa mwenye kosa ni uongozi uliopita au huu,ambao hata wiki bado?Mkuu hapa nazungumzia million 50 sio mabillion ya kampeni za uchaguzi mkuu. Unaendeshaje chama kama hauna financial muscles?
Aseme tumpe mipango ya kutafuta pesa.
mbona magufuli alilaumu watangulizi wake kwa kuharibu nchi kwa rushwa na ufisadi..Mkuu Mbowe hayupo sasa hivi na Lissu amefeli kuendesha mkutano wa kikatiba wa kuchagua wajumbe muhimu kwenye chama.
Kwa hiyo tumuulize maswali magumu Lissu maana ndio mwenye chama kwa sasa.
Yani Lissu ashindwe kuendesha mkutano lawama tumpe Mbowe aliyestaafu?
Umeombwa mchango?Kuna habari inaenea kwamba uchaguzi wa wajumbe wa kamati kuu umeshindikana sababu hakuna pesa.
Bajeti ya kuendesha uchaguzi huo ni million 50 lakini uongozi mpya wa Lissu hizi pesa kidogo zimewashinda ku mobilize.
Naomba kufahamu ukweli wa jambo ili nijue tulichagua watu sahihi ama la?
Kwani chama ni mali ya Lisu.Inamaana Lissu hakuyajua haya au akujipanga? Sasa operations za chama na kampeni ataziendeshaje?
Mumeanza kukosa pumzi mapema na huyo Lisu wenuKwani chama ni mali ya Lisu.
Kwa sasa chama ni mali ya wanachama na tupo tayari kuendesha chama chetu.
Hatuhitaji umangimeza.