Ni kweli Lissu kakosa pesa za kuendesha uchaguzi wa kamati kuu ya chama?

Ni kweli Lissu kakosa pesa za kuendesha uchaguzi wa kamati kuu ya chama?

Kuna habari inaenea kwamba uchaguzi wa wajumbe wa kamati kuu umeshindikana sababu hakuna pesa.

Bajeti ya kuendesha uchaguzi huo ni million 50 lakini uongozi mpya wa Lissu hizi pesa kidogo zimewashinda ku mobilize.

Naomba kufahamu ukweli wa jambo ili nijue tulichagua watu sahihi ama la?
Mbona walisema uchaguzi unasubiri rufaaa zisikilizwe na majibu ya katibu mkuu yatoke ndio utaitishwa.
Hao watachaguliwa mwezi wa sita/saba huko kipindi wanamthibitisha mgombea Urais
 
Lisu Alidhani uenyekiti ni lele mama

Lisu hata kabla ya October atakuwa kachokwa balaa

Ulaghai wake aliotumia kushinda utakuwa wazi kwa wanachama wote
Lissu kwa kweli ananipa mashaka kwenye uendeshaji wa chama.
 
Kwenye upinzani hakuna fungu la chama kuna ruzuku tu ambayo ni ndogo sana ndio maana Freeman alitoa pesa zake kwenye shughuli ya Mlimani City.
Pesa zake? Yeye anapewa hela kama mwenyekiti wa chama alafu anajigeuza ni personal income. Mfano samia akiomba fedha CRDB watampq sababu ni Samia Suluhu au sababu ni rais?

Sasa Mbowe akipewa fedha na vyama rafiki au wanasiasa rafiki huko duniani basi anageuza kama ni yeye binafsi ndio katoa.

Huu ulikua utapeli
 
Huu pia ni ushahidi aliyekuwepo hakuwa na uwezo. Utaongozaje chama miaka 20 alafu ukiache kikiwa hakina pesa. Maana yake wakina Lissu ndio wanaanza upya sasa kufanya kila kitu.
Aliendesha kwa pesa zake
Ukitaka amwachie Lisu pesa zake binafsi?
Chama kilikuwa hela hakina lakini yeye anazo .Kikihitaji pesa anatoa mfukoni mwake anagharimia

Ndio maana hata huo mkutan mkuu wa kuchagua mwenyekiti Mbowe aligharimia .Baada ya Mwenyekiti mpya kupatikana kaondoka na pesa zake .Lisu atoe zake na yeye
 
Pesa zake? Yeye anapewa hela kama mwenyekiti wa chama alafu anajigeuza ni personal income. Mfano samia akiomba fedha CRDB watampq sababu ni Samia Suluhu au sababu ni rais?

Sasa Mbowe akipewa fedha na vyama rafiki au wanasiasa rafiki huko duniani basi anageuza kama ni yeye binafsi ndio katoa.

Huu ulikua utapeli
Ripoti ya Ukaguzi ya mkaguzi mkuu inaonyesha hakuna hilo tatizo

Kuwa kila pesa ilitumika vizuri

Lisu atoe pesa za hivyo vikao aache uswahili
 
Lissu kwa kweli ananipa mashaka kwenye uendeshaji wa chama.
Lisu hana uwezo wa kuendesha chama
Sema Mbowe alikuwa akimfunika uwezo wake mdogo usionekane akiwa makamu mwenyekiti

Zaidi ya makelele kwenye uwezo wa kuongoza chama yuko zero kabisa hamna kitu
 
Acha kutuhumu watu ni muda wa kuendesha chama sio majungu.
Chama kinaendeshwa kabla ya uongozi mpya kukabidhiwa ofisi rasmi? Acha ujinga basi BIG. Mwili Tembo akili Sisimizi, mayai yamekusaidia nini?
 
Chama kinaendeshwa kabla ya uongozi mpya kukabidhiwa ofisi rasmi? Acha ujinga basi BIG.
Uongozi mpya alishakabidhiwa Lisu na mkutano mkuu na kuanza kabisa kazi ya kuteua wajumbe wa kamati kuu nk

Unataka akabidhiwe mara ngapi?
 
Kuna habari inaenea kwamba uchaguzi wa wajumbe wa kamati kuu umeshindikana sababu hakuna pesa.

Bajeti ya kuendesha uchaguzi huo ni million 50 lakini uongozi mpya wa Lissu hizi pesa kidogo zimewashinda ku mobilize.

Naomba kufahamu ukweli wa jambo ili nijue tulichagua watu sahihi ama la?
 

Attachments

  • 20250124_000500.jpg
    20250124_000500.jpg
    139.1 KB · Views: 3
Wagombea kamati kuu wengi walienguliwa na kukata rufaa. Uchaguzi haiwezi kufanyika mpaka rufaa zao zisikilizwe.

Hiyo ndio sababu ya kikao kutoendelea siku hiyo. Wanataka kuponya majeraha ya kukata watu kama Tamisemi.
 
Uongo

Raisi Mwinyi alipokea uraisi kwa Nyerere nchi ikiwa Hazina haina kitu kabisa
Mpaka mishahara ya wafanyakazi wa serikali kulipa aliwahi kwenda kuomba kwa mfanyabiashara mmoja

Uongozi hupokei tu assets unapokea na liabilities pia

Uenyekiti ni pamoja na kupokea fuko tupu sio lililojaa pesa tu

Lisu alifikiri kupokea uongozi ni pamoja na kupokea hela za Abdul alizokuwa akituhumu kuwa Mbowe ndizo anatumia kugharimia kikao kwa kugharimia mkutano?

Atafute na yeye aingie mfukoni agharimie
Hilo pia kosa la Nyerere alitakiwa aache akina kidogo.
Kosa la Nyerere halifuti kosa la Mbowe.
Two wrongs don't make it right.
 
Hilo pia kosa la Nyerere alitakiwa aache akina kidogo.
Kosa la Nyerere halifuti kosa la Mbowe.
Two wrongs don't make it right.
Anaachaje akiba wakati matumizi yanaendelea kulipa wafanyakazi,gharama za kuendesha ofisi,kulipa umeme, maji magari nk

Hapo Lisu bado kazi anayo kuna wafanyakazi waajiriwa Chadema mwisho wa mwezi wanatakiwa kulipwa .Tarehe zake zinakaribia ajue.Hawataelewa somo kuwa hela hamna
 
Kuna habari inaenea kwamba uchaguzi wa wajumbe wa kamati kuu umeshindikana sababu hakuna pesa.

Bajeti ya kuendesha uchaguzi huo ni million 50 lakini uongozi mpya wa Lissu hizi pesa kidogo zimewashinda ku mobilize.

Naomba kufahamu ukweli wa jambo ili nijue tulichagua watu sahihi ama la?
Hizi ni propaganda zilizoanzishwa na team mbowe mara tu baada ya ule mkutano kumalizika ili kujaribu kumdhoofisha tundu lissu mwenyekiti wa sasa, kuhusu suala la hela sio msingi sana kwenye mambo haya uongozi wa kisiasa muhumu ni uaminifu kwa watu na kujenga matumaini mapya na kuvuna wanachama wapya ambao walishakata tamaa kutokana na hila za mbowe kwenye chaguzi za chama ndani lakini kutumiliwa na ccm.

Tundu Lissu apewe moyo na baada ya mdogo atajenga chama chenye nguvu sana, na chenye uhakika wa mapambano, pesa za mbowe ni za mbowe watu wanataka hoja na mapambano ya kweli ata kama si mwaka huu lakini chadema baadae itakuwa ni taasisi imara sana itatoa watu wakweli na waaminifu sio wapiga dili kuumiza wafuasi wake wenyewe kwa kula rushwa
 
haha! kwani kwenye mambo ya chama kiongozi anatoa pesa zake mfukoni ama kuna fungu la chama..?
Unamaanisha ruzuku kupitia kodi zinazokusanywa na serikali ya ccm?
 
Back
Top Bottom