chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 20,834
- 26,217
Asee mtasubiri Sana hiyo aibu hutaiona chini ya Uongozi wa Lisu. Jipeni mudaMatusi hayakisaiidii chama mkuu, chama kinahitaji pesa. Lissu akishindwa kuendesha chama itakuwa ni aibu kubwa kwa chama.