Ni kweli Lissu kakosa pesa za kuendesha uchaguzi wa kamati kuu ya chama?

Ni kweli Lissu kakosa pesa za kuendesha uchaguzi wa kamati kuu ya chama?

Wapi? Hivi vitu uone kwa nje tu. Ukiingia ndani ndio utajua. Bila hela kuendesha chama mtihani aisee. Hata ukisema litembee bakuli, litatembea bakuli hadi lini? Usione vyaelea aisee
Watu awatazami haya mambo kwa picha kubwa wanachukilia kama ushabiki wa Simba na Yanga.
 
Mkuu Mbowe hayupo sasa hivi na Lissu amefeli kuendesha mkutano wa kikatiba wa kuchagua wajumbe muhimu kwenye chama.

Kwa hiyo tumuulize maswali magumu Lissu maana ndio mwenye chama kwa sasa.

Yani Lissu ashindwe kuendesha mkutano lawama tumpe Mbowe aliyestaafu?
Ndio ushangae sasa.
 
Kuna habari inaenea kwamba uchaguzi wa wajumbe wa kamati kuu umeshindikana sababu hakuna pesa.

Bajeti ya kuendesha uchaguzi huo ni million 50 lakini uongozi mpya wa Lissu hizi pesa kidogo zimewashinda ku mobilize.

Naomba kufahamu ukweli wa jambo ili nijue tulichagua watu sahihi ama la?
Ni kweli Lisu hana fedha hata gari bado hajanunua
 
Mkuu Mbowe hayupo tena Chadema. Chama kipo mikononi mwa Lissu hatuwezi kuendelea kumbebesha lawama tunataka kuona uongozi mpya unafanya nini.
Si usubiri kiherehere cha nini wewe unaweza kufanya kila kitu ndani ya siku tatu mbona huyo aliyekaa kwa miaka 21 ameshindwa kuacha chochote
 
Kuna habari inaenea kwamba uchaguzi wa wajumbe wa kamati kuu umeshindikana sababu hakuna pesa.

Bajeti ya kuendesha uchaguzi huo ni million 50 lakini uongozi mpya wa Lissu hizi pesa kidogo zimewashinda ku mobilize.

Naomba kufahamu ukweli wa jambo ili nijue tulichagua watu sahihi ama la?
Diaspora na wanachama ni wakati wao kuendesha chama!! Sio kutikisa matumbo na kuongea hadi ute ute mweupe unatoka mdomoni!!
 
Kuna habari inaenea kwamba uchaguzi wa wajumbe wa kamati kuu umeshindikana sababu hakuna pesa.

Bajeti ya kuendesha uchaguzi huo ni million 50 lakini uongozi mpya wa Lissu hizi pesa kidogo zimewashinda ku mobilize.

Naomba kufahamu ukweli wa jambo ili nijue tulichagua watu sahihi ama la?
Zamu yake na yeye Lisu kutumia pesa zake kugarimia kikao kama ambavyo.Mbowe alikuwa anafanya
 
Bado, mengi yanakuja ambayo yatafanya washindwe kulipa hata bilinza maji na umeme
 
ACHA UKICHAA.

MWALIMU KUPIGANIA UHURU WA WATU KAMA NYIE NI FEDHEA MNO KWAKE.
 
Mbowe ndio kagharamia kila kitu ulikiona pale Mlimani City.

Sasa inawezekana hakuwa sahihi kutumia hiyo modal. Je Lissu kajipangaje?

Nimestuka sana kuona Lissu na wenzake wamekosa million 50 ya lazima. Kuna giza naliona.
Boni Yai acha ujinga. Pesa zote amekomba babaako, subiri uongozi mpya uanze kazi.
 
Kuna habari inaenea kwamba uchaguzi wa wajumbe wa kamati kuu umeshindikana sababu hakuna pesa.

Bajeti ya kuendesha uchaguzi huo ni million 50 lakini uongozi mpya wa Lissu hizi pesa kidogo zimewashinda ku mobilize.

Naomba kufahamu ukweli wa jambo ili nijue tulichagua watu sahihi ama la?
Siyo vibaya kutumia akili kabla ya kuandika na ku-post Uzi hapa JF.
Waliojitokeza kugombea Ujumbe wa Kamati Kuu wapo AROBAINI.
Kamati Kuu ya FAM ilifanya Mchujo, kwa mujibu wa Katiba.
Waliochujwa wamekata Rufaa, kwa mujibu wa Katiba.
Uchaguzi ukifanyika kabla ya Rufaa kusikilizwa, hawa Warufani watapaje haki yao, endapo watashinda Rufaa zao?
Kwa hiyo Uchaguzi wa Kamati Kuu lazima usogezwe mbele.
Kwa sasa, Kamati Kuu ina Wajumbe 5.
Pamoja na Katibu Mkuu na wasaidizi wake.
Mambo yako vizuri
 
Lissu ndio ameingia uongozini masaa hayazidi 72 amekuta hakuna pesa hapo wa kulaumiwa siyo Lissu yule aliye kiacha chama bila pesa.
Uongozi uliopita ulitakiwa uandae pesa za chaguzi zote za mwaka huu Hadi uchaguzi mkuu.
Uongozi wa nchi hivyo hivyo raisi anaeondoka madarakani lazima aachie pesa ya kuanzia kazi mtangulizi wake hapo ya siku chache.
Lissu na wenzie watatafuta pesa kwa Sasa bado wanakabidhiwa ofisi.
Uongo

Raisi Mwinyi alipokea uraisi kwa Nyerere nchi ikiwa Hazina haina kitu kabisa
Mpaka mishahara ya wafanyakazi wa serikali kulipa aliwahi kwenda kuomba kwa mfanyabiashara mmoja

Uongozi hupokei tu assets unapokea na liabilities pia

Uenyekiti ni pamoja na kupokea fuko tupu sio lililojaa pesa tu

Lisu alifikiri kupokea uongozi ni pamoja na kupokea hela za Abdul alizokuwa akituhumu kuwa Mbowe ndizo anatumia kugharimia kikao kwa kugharimia mkutano?

Atafute na yeye aingie mfukoni agharimie
 
Asee mtasubiri Sana hiyo aibu hutaiona chini ya Uongozi wa Lisu. Jipeni muda
Nimewaza tu. Chadema ina wanachama zaidi ya milioni, hivi kila mwanachama akihamasishwa achangie walau buku kwa mwezi chama kitashindwa kujiendesha?
 
Mkuu Mbowe hayupo sasa hivi na Lissu amefeli kuendesha mkutano wa kikatiba wa kuchagua wajumbe muhimu kwenye chama.

Kwa hiyo tumuulize maswali magumu Lissu maana ndio mwenye chama kwa sasa.

Yani Lissu ashindwe kuendesha mkutano lawama tumpe Mbowe aliyestaafu?
Uko sahihi toka baada ya Lisu kutangazwa mwenyekiti kutoka hapo hayamhusu Mbowe tena ya kwake mwenyewe Lisu

Vikao anatakiwa kuitisha Lisu mwenyewe kama mwenyekiti sio Mbowe na gharama Anatakiwa Lisu mwenyewe ndie ajue pesa itatoka wapi
 
Nimewaza tu. Chadema ina wanachama zaidi ya milioni, hivi kila mwanachama akihamasishwa achangie walau buku kwa mawezi chama kitashindwa kujiendesha?
Lisu mwenyewe hajawahi changia chama hata mia

Achangie yeye sasa hivi hivyo vikao
 
Back
Top Bottom