Ni kweli Lissu kakosa pesa za kuendesha uchaguzi wa kamati kuu ya chama?

Ni kweli Lissu kakosa pesa za kuendesha uchaguzi wa kamati kuu ya chama?

Ruzuku ya CHADEMA kwa mwezi ni Shs 170M. Ilipe gharama zote muhimu kwa mwezi pamoja na mishahara na bills. Na chama ndio kimetoka kwenye uchaguzi, ni wazi itakuwa shida Kidogo.

Aliyekuwa anafadhili ndio kaitwa Mla Rushwa, mlamba asali, dikteta, Wakala wa CCM etc.

Waahirishe kikao Cha CC Hadi hapo baadae, au wajumbe wajitolee au watadai posho zao baadae
Alikuwa hafadhili alikuwa anakopesha kwa mujibu wa Lissu. Wakakope na wao.
 
Mbowe si anaipenda sana CDM na aliiasisi akiwa kijana mdogo!

Aendelee kutoa pesa,Sabodo aliichangia CDM akiwa ni MwanaCCM.

Miaka 20 uongozini,hakuna hata kitega uchumi wa choo cha kulipia na ni mfanyabiashara tena mchaga! How?
 
Mbowe si anaipenda sana CDM na aliiasisi akiwa kijana mdogo!

Aendelee kutoa pesa,Sabodo aliichangia CDM akiwa ni MwanaCCM.

Miaka 20 uongozini,hakuna hata kitega uchumi wa choo cha kulipia na ni mfanyabiashara tena mchaga! How?
Mkuu Mbowe hayupo sasa hivi na Lissu amefeli kuendesha mkutano wa kikatiba wa kuchagua wajumbe muhimu kwenye chama.

Kwa hiyo tumuulize maswali magumu Lissu maana ndio mwenye chama kwa sasa.

Yani Lissu ashindwe kuendesha mkutano lawama tumpe Mbowe aliyestaafu?
 
Sidhani unaweza Kuendesha chama cha upinzani kwa kutumia ruzuku ama michango ya wanachama hapana.
Na usipokuwa makini utafika pahala huwezi kufanya OP yoyote ya kichama nchi nzima

Tuna miezi 10 tu tunakwenda uchaguzi Mkuu, hili la income lianze kufanyiwa kazi mapema sana vinginevyo mgombea wetu wa urais, wabunge na madiwani tutawadadi kwa shida saana.
 
Kuna habari inaenea kwamba uchaguzi wa wajumbe wa kamati kuu umeshindikana sababu hakuna pesa.

Bajeti ya kuendesha uchaguzi huo ni million 50 lakini uongozi mpya wa Lissu hizi pesa kidogo zimewashinda ku mobilize.

Naomba kufahamu ukweli wa jambo ili nijue tulichagua watu sahihi ama la?
Kwahiyo kama hana pesa, Chadema wamekosea kumchagua?

Basi wamwondoe wamchague Mo Dewji au SS Bakhresa aka Azam
 
Inamaana Lissu hakuyajua haya au akujipanga? Sasa operations za chama na kampeni ataziendeshaje?
Benki zipo chama kikope then watarudishaga mbele kwa mbele. Maana kama ni suala la kikatiba basi ni lazima lifanyike sasa.
 
Sidhani unaweza Kuendesha chama cha upinzani kwa kutumia ruzuku ama michango ya wanachama hapana.
Na usipokuwa makini utafika pahala huwezi kufanya OP yoyote ya kichama nchi nzima

Tuna miezi 10 tu tunakwenda uchaguzi Mkuu, hili la income lianze kufanyiwa kazi mapema sana vinginevyo mgomnea wetu wa urais, wabunge na madiwani tutawadadi kwa shida saana.
Fact fact fact.

Cha ajabu watu wanataka tuanze kumlaumu Mbowe wakati kuna shughuli nyingi mbele zinahitaji sana pesa kuliko maneno matupu.

Lissu kama sio mzuri kwenye kutafuta raslimali aombe msaada tumpe mawazo.
 
Sidhani unaweza Kuendesha chama cha upinzani kwa kutumia ruzuku ama michango ya wanachama hapana.
Na usipokuwa makini utafika pahala huwezi kufanya OP yoyote ya kichama nchi nzima

Tuna miezi 10 tu tunakwenda uchaguzi Mkuu, hili la income lianze kufanyiwa kazi mapema sana vinginevyo mgombea wetu wa urais, wabunge na madiwani tutawadadi kwa shida saana.
Hiki chama kiliendeshwa kama SACCOS, mtu anakopesha chama, kisha anajilipa na faida juu
 
Kwahiyo kama hana pesa, Chadema wamekosea kumchagua?

Basi wamwondoe wamchague Mo Dewji au SS Bakhresa aka Azam
Anaweza asiwe na pesa ila akawa na brain ya kukusanya pesa.

Hivi Unajua million 50 kwenye siasa ni pesa kiduchu sana?

Sasa kama hizi zinamshinda haya ni mashaka makubwa.
 
Kufahamu ukweli, tujue tulikuwa right au tulifanya makosa
Tuseme ndiyo ipo hivyo.
Ungembakiza Mbowe angetoa pesa zake, unafikiri Mbowe ataishi milele?
Siku angeondoka duniani mngefanyeje?
Huoni sasa ndiyo wakati sahihi kujiandaa mapema na mambo hayo kwa kutafuta vyanzo vya pesa vya kueleweka vya chama?
 
Nadhani lissu pia after time haya mambo atayaweka sawa. Pia mbowe hatakiwi kukaa mbali mpaka ahakikishe aliyemuachia anafata tracks zake, thereafter, amuachie aende. Bila hvo, CHADEMA msahau hata kuikuna ccm au vyama vingine.
 
Mkuu Mbowe hayupo tena Chadema. Chama kipo mikononi mwa Lissu hatuwezi kuendelea kumbebesha lawama tunataka kuona uongozi mpya unafanya nini.
Nilimnukuu Mbowe akisema baada ya uchaguzi viongozi wote wangeenda re-treat ili kupata mafunzo ya uongozi, itikadi ya chama yaani leadership bulding capacity.

Sasa sijajua kwa uongozi mpya kama hili litakuwepo - maana ni muhimu sana.
 
Haya mambo acha kabisa,nimekumbuka mbali,niliwah kuachiwa kiwanda kidogo cha nafaka

Wakat sijakusanya pesa vzur,mashine moja ikaharibika na ilihitaji pesa ndefu kidogo kuirekebisha,hapo ndo nilipogundua haya mambo yanahitaj wenye pesa
 
Hiki chama kiliendeshwa kama SACCOS, mtu anakopesha chama, kisha anajilipa na faida juu
Hayo yameshapita tumeyaondoa kama yalikua mabaya kwenye chama.

Yeye Lissu tunataka tuone mipango yake isiyo ya kukopesha chama.
 
Back
Top Bottom