Ni kweli Lissu kakosa pesa za kuendesha uchaguzi wa kamati kuu ya chama?

Ni kweli Lissu kakosa pesa za kuendesha uchaguzi wa kamati kuu ya chama?

Kuna habari inaenea kwamba uchaguzi wa wajumbe wa kamati kuu umeshindikana sababu hakuna pesa.

Bajeti ya kuendesha uchaguzi huo ni million 50 lakini uongozi mpya wa Lissu hizi pesa kidogo zimewashinda ku mobilize.

Naomba kufahamu ukweli wa jambo ili nijue tulichagua watu sahihi ama la?

Wa Belgiji wataleta
 
Tuseme ndiyo ipo hivyo.
Ungembakiza Mbowe angetoa pesa zake, unafikiri Mbowe ataishi milele?
Siku angeondoka duniani mngefanyeje?
Huoni sasa ndiyo wakati sahihi kujiandaa mapema na mambo hayo kwa kutafuta vyanzo vya pesa vya kueleweka vya chama?
Mbowe ndio kagharamia kila kitu ulikiona pale Mlimani City.

Sasa inawezekana hakuwa sahihi kutumia hiyo modal. Je Lissu kajipangaje?

Nimestuka sana kuona Lissu na wenzake wamekosa million 50 ya lazima. Kuna giza naliona.
 
Haya mambo acha kabisa,nimekumbuka mbali,niliwah kuachiwa kiwanda kidogo cha nafaka

Wakat sijakusanya pesa vzur,mashine moja ikaharibika na ilihitaji pesa ndefu kidogo kuirekebisha,hapo ndo nilipogundua haya mambo yanahitaj wenye pesa

Bila pesa huwezi kufanya siasa ni ngumu sana.

Kwenye siasa hata mkutano kwenye kata unazungumzia pesa.
 
Huu pia ni ushahidi aliyekuwepo hakuwa na uwezo. Utaongozaje chama miaka 20 alafu ukiache kikiwa hakina pesa. Maana yake wakina Lissu ndio wanaanza upya sasa kufanya kila kitu.

Hiki ni kitu cha kumsikitikia mwenyekiti aliyeondoka na sio kuwashangaa waliokuja.
Hii ndio excuse tutaitumia Lissu akishindwa kuendesha chama?
 
Kuna habari inaenea kwamba uchaguzi wa wajumbe wa kamati kuu umeshindikana sababu hakuna pesa.

Bajeti ya kuendesha uchaguzi huo ni million 50 lakini uongozi mpya wa Lissu hizi pesa kidogo zimewashinda ku mobilize.

Naomba kufahamu ukweli wa jambo ili nijue tulichagua watu sahihi ama la?
Watu mna ugonjwa wa akili, Lissu amekabihiwa lini ofisi?
Je anaweza kuchaguliwa papo hapo hapo na aanze kigharamia?
We uliona wapi?
 
Huu pia ni ushahidi aliyekuwepo hakuwa na uwezo. Utaongozaje chama miaka 20 alafu ukiache kikiwa hakina pesa. Maana yake wakina Lissu ndio wanaanza upya sasa kufanya kila kitu.

Hiki ni kitu cha kumsikitikia mwenyekiti aliyeondoka na sio kuwashangaa waliokuja.
Una akili
 
Hii ndio excuse tutaitumia Lissu akishindwa kuendesha chama?
Sio excuse ni somo pia ni ushahidi kuwa chama kile kingeweza kufq ingetokea mwenyekiti qmbaye ndiye mwenye fedha qmefariki au amehqmq na fedha zake kuhamia CCM. Kimsingi hakukuwa na chama bali mtu anayefadhili maisha ya watu kupitia chama huku na yeye anapata faida.

Lissu yeye taahukumiwa kwa kipindi chake pia. Kama amegombea akijua hayo lazima atuonyeshe yeye atatumia mbinu gani kama reform ya mfumo mbovu wa kifedha chamani. Akishindwa haimqqnishi mfumo ule wa Mwamba ndio imara, bali inamanisha watafute mtu qtakayekuwa mbunifu ila sio kama alivyofanya aliyeondoka.

Ni hayo tu.
 
Kuna habari inaenea kwamba uchaguzi wa wajumbe wa kamati kuu umeshindikana sababu hakuna pesa.

Bajeti ya kuendesha uchaguzi huo ni million 50 lakini uongozi mpya wa Lissu hizi pesa kidogo zimewashinda ku mobilize.

Naomba kufahamu ukweli wa jambo ili nijue tulichagua watu sahihi ama la?
Wabongo mna mambo ya kishamba Sana, Lisu hajakabidhiwa ofisi wala chochote pundee Tu Baada ya Uchaguzi.

Kwa hiyo HOJA mnayotaka kuijenga ili aonekane hawezi tambueni haiwezi kufanya kazi, kama ni pesa za kuendesha Chama atapata za kutosha. Nii suala la muda tu
 
Hiki chama kiliendeshwa kama SACCOS, mtu anakopesha chama, kisha anajilipa na faida juu
Nikweli,hata ile kauli ya Mnyika kumshukuru Xchair kwamba amegharamia shughuli yote ya Mkutano ni ishara kwamba Xchair atataka kurudishiwa chakwakwe(Pesa ya mama Dully)
 
Kwa hiyo wewe unatakaje Kwa mfano, maana unalialia Sana kama mwanamke anayelilia dyu.du
Matusi hayakisaiidii chama mkuu, chama kinahitaji pesa. Lissu akishindwa kuendesha chama itakuwa ni aibu kubwa kwa chama.
 
Sio excuse ni somo pia ni ushahidi kuwa chama kile kingeweza kufq ingetokea mwenyekiti qmbaye ndiye mwenye fedha qmefariki au amehqmq na fedha zake kuhamia CCM. Kimsingi hakukuwa na chama bali mtu anayefadhili maisha ya watu kupitia chama huku na yeye anapata faida.

Lissu yeye taahukumiwa kwa kipindi chake pia. Kama amegombea akijua hayo lazima atuonyeshe yeye atatumia mbinu gani kama reform ya mfumo mbovu wa kifedha chamani. Akishindwa haimqqnishi mfumo ule wa Mwamba ndio imara, bali inamanisha watafute mtu qtakayekuwa mbunifu ila sio kama alivyofanya aliyeondoka.

Ni hayo tu.
Mbowe hayupo tena Chadema.

Ni ajabu tukiendelea kumbebesha lawama za kufeli kwa Lissu.
 
Kuna habari inaenea kwamba uchaguzi wa wajumbe wa kamati kuu umeshindikana sababu hakuna pesa.

Bajeti ya kuendesha uchaguzi huo ni million 50 lakini uongozi mpya wa Lissu hizi pesa kidogo zimewashinda ku mobilize.

Naomba kufahamu ukweli wa jambo ili nijue tulichagua watu sahihi ama la?
Mwanzo tu tayari chawa wa Mbowe wanalia. Ngoja tutaona mpasuko. Kiongozi hapimwi kwa pesa. Kama Mbowe alikus anatoa pesa yake kwa hivyo madai kwamba chadema ilikua kampuni yake binafsi. Kitu cha kwanza ni lissu kukomboa ruzuku ya chadema inayodaiwa ilikua inaingizwa kwenye account binafsi za mbowe.
 
Back
Top Bottom