Expert wa madini siyo lazima ajue marketing ya hayo madini kwa hiyo hoja yako ni mfu.Huyo demu ni expert wa madini? Tatizo kila mtu anajidai expert. Nyie mmejuaje kama madini yaliyopo ni worth billions of dollars?
Unataka wasubiri kuchimba kwani vizazi vijavyo vina thamani kuliko vya Sasa?
Kwenye hiyo partnership serikali ya bongo inatoa capital, utaalam, vifaa au nini? Mnataka msitoe kitu na mpewe 100% mna wazimu? Bado mnapata ajira na Kodi.
Expert wa madini siyo lazima ajue marketing ya hayo madini kwa hiyo hoja yako ni mfu.
Kuhusu kuchimba baadaye ni katika kujipa muda wa kujijengea uwezo wa kifedha na kitaalam, hivyo siyo suala la thamani ya vizazi.
Kwa hoja ya partnership hapo ndiyo penye wizi wenyewe mkija kustuka mmeisha liwa tayari!
Ung taja biashara moja ya serikali inayozalisha faida ningesupport mambo ya kutaka serikali ifanye.View attachment 2602708
Kwamba sisi tuaambulia $ 600+ milioni wakati wao watavuna mabilioni ya dollars kila mwaka.
Madini ya graphite yanapatikana kwa wingi huko Lindi wakati niobium ipo tele pale Panda Hill Mbeya. Kwa nini tusingesubiri nchi ipate uwezo tuweze kuchimba wenyewe badala ya kuwapa hawa wa Australia kwa bei ya kutupa?
Prof. Kabudi na Prof. Mruma kweli hamkuona mtego huu Wa- Australia hawa hakituingiza chaka!
Tafadhali tunaomba ufafanuzi!
Ung taja biashara moja ya serikali inayozalisha faida ningesupport mambo ya kutaka serikali ifanye.
Pasi na hapo tuachane na stori za vijiweni. Je kampuni ikipata hasara serikali nayo itabeba fungu la hiyo hasara?
Mtu yeyote anayesa “Serikali ingefanya hiki ……” ataje kwanza wapi serikali ipo efficient kuliko sekta binafsi ndipo aendelee
Kosa moja halihalalishi kuendelea kufanya makosa mengine!
Kinachogomba hapa si sekta binafsi bali sekta binafsi ya wapi.Ung taja biashara moja ya serikali inayozalisha faida ningesupport mambo ya kutaka serikali ifanye.
Pasi na hapo tuachane na stori za vijiweni. Je kampuni ikipata hasara serikali nayo itabeba fungu la hiyo hasara?
Mtu yeyote anayesa “Serikali ingefanya hiki ……” ataje kwanza wapi serikali ipo efficient kuliko sekta binafsi ndipo aendelee
Uingizwe chaka kwani wakati wanatia Saini mikataba uliazimisha masikio Kwa jirani?View attachment 2602708
Kwamba sisi tuaambulia $ 600+ milioni wakati wao watavuna mabilioni ya dollars kila mwaka.
Madini ya graphite yanapatikana kwa wingi huko Lindi wakati niobium ipo tele pale Panda Hill Mbeya. Kwa nini tusingesubiri nchi ipate uwezo tuweze kuchimba wenyewe badala ya kuwapa hawa wa Australia kwa bei ya kutupa?
Prof. Kabudi na Prof. Mruma kweli hamkuona mtego huu Wa- Australia hawa hakituingiza chaka!
Tafadhali tunaomba ufafanuzi!
Suala hapa si serikali kupata kiasi gani cha fedha bali namna Taifa litakavyonufaika na madini yake. Tukikuza sekta binafsi za ndani ili zitekeleze miradi mikubwa ni wazi mapato makubwa yatabaki nchini na hivyo wananchi wengi watanufaika kwa namna moja au nyingine.Kosa la mkataba wa Sasa ni nini? Wewe unataka serikali wapate shingapi name a number?
Je Mayor Quimby ungekuwa wewe ndiyo Rais wa Tanzania ungeweka vipi ili mkataba uonekane una masilahi kwa Taifa?Hakuna mtu alietuchagulia Kabudi kama chief negotiator, hayo maamuzi tumefanya wenyewe.
Hii nchi unaweza piga kelele miaka nenda miaka rudi ukaonekana mwehu tu.
Watu wanarudia na kurudia hiyo mikataba aspect muhimu ya consideration ni finance. Unahitaji wataalamu wenye skills hizo kwenye hayo majadiliano, vinginevyo ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu.
Binafsi niliposoma kwenye online magazine mkataba wa Mbeya tumetoa lease rights ya 33 million years kuchimba (na kuna kipengele cha kuwaongezea muda. Estimated revenue kwa mwaka ni $567 million dollars kwa kiwango cha madini watakayo kuwa wanachimba kwa bei za leo. In the future hiyo revenue with inflation itakuwa ikipanda jumlisha na increased demands.
Halafu mwekezaji eti anaweka $370 million tu na kwa mwaka na tuna share economic benefit za 50% kwa madini ya mbeya.
Mkataba mwingine wa Lindi na kwenyewe mwekezaji kapewa 33 years lease (na kwenyewe kuna MoU ya extension tayari), reserve iliyopo huko kwa kuchimba tonne laki mbili kwa mwaka wanatabiria itachukua 16 years kuisha, however kuna potential nyingine kwenye maeneo hayo hayo ambayo graphite inaweza chimbwa kwa miaka 40 kwa kuvuna tonne hizo laki mbili na uwekezaji wenyewe sijui $200m, ni sawa na kuwapa hawa watu mali bure.
Sasa mradi ushawapa exclusive rights za kuchimba for 33 years na kuna extension MoU; kuwanyan’ganya hao watu hiyo migodi uwezi na kubadili terms ya hiyo mikataba baada kuona faida wanazopata itabidi tuwapigie magoti kama ilivyokuwa kwa ACCACIA hii nchi Samia anapoipeleka mpaka huruma.
Utakuta kina Kabudi ni ma billionaires tayari ila wamefuta midomo kama hawajala kitu
Cha kwanza ningeangalia gharama za uwekezaji, Tanzania leo uwekezaji usiozidi $500m ikiamua kupunguza matumizi ya anasa na kuzuia ubadhirifu ata kwa asilimia 80% inaweza kufanya yenyewe hiyo miradi bila ya mwekezaji; labda tuagize watu wenye know how on operating hiyo migodi kwa kuwalipa mishahara.Je Mayor Quimby ungekuwa wewe ndiyo Rais wa Tanzania ungeweka vipi ili mkataba uonekane una masilahi kwa Taifa?
Mkuu nasema tena kama wao ndio mmewapa kazi ya mikataba basi mmeingizwa chaka na wahuniKabudi huyu huyu wa BARRICK na makinikia enzi ya JIWE? Huyo si ndio na JIwe wake walituahidi NOAH na mpaka anakufa hatukuziona hizo gari na aliyebaki Kabudi hazungumzii tena mambo ya makinikia!!! Halafu huyo huyo mnampa kazi ya kuandika mikataba na wawekezaji wa madini wengine!! You must be cracy to expect a different result.
Msikilize mrembo diaspora huyo asemachoHuyo demu ni expert wa madini? Tatizo kila mtu anajidai expert. Nyie mmejuaje kama madini yaliyopo ni worth billions of dollars?
Unataka wasubiri kuchimba kwani vizazi vijavyo vina thamani kuliko vya Sasa?
Kwenye hiyo partnership serikali ya bongo inatoa capital, utaalam, vifaa au nini? Mnataka msitoe kitu na mpewe 100% mna wazimu? Bado mnapata ajira na Kodi.
Samia anatutia hasara katika mambo mengi mno.Hakuna mtu alietuchagulia Kabudi kama chief negotiator, hayo maamuzi tumefanya wenyewe.
Hii nchi unaweza piga kelele miaka nenda miaka rudi ukaonekana mwehu tu.
Watu wanarudia na kurudia hiyo mikataba aspect muhimu ya consideration ni finance. Unahitaji wataalamu wenye skills hizo kwenye hayo majadiliano, vinginevyo ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu.
Binafsi niliposoma kwenye online magazine mkataba wa Mbeya tumetoa lease rights ya 33 million years kuchimba (na kuna kipengele cha kuwaongezea muda. Estimated revenue kwa mwaka ni $567 million dollars kwa kiwango cha madini watakayo kuwa wanachimba kwa bei za leo. In the future hiyo revenue with inflation itakuwa ikipanda jumlisha na increased demands.
Halafu mwekezaji eti anaweka $370 million tu na kwa mwaka na tuna share economic benefit za 50% kwa madini ya mbeya.
Mkataba mwingine wa Lindi na kwenyewe mwekezaji kapewa 33 years lease (na kwenyewe kuna MoU ya extension tayari), reserve iliyopo huko kwa kuchimba tonne laki mbili kwa mwaka wanatabiria itachukua 16 years kuisha, however kuna potential nyingine kwenye maeneo hayo hayo ambayo graphite inaweza chimbwa kwa miaka 40 kwa kuvuna tonne hizo laki mbili na uwekezaji wenyewe sijui $200m, ni sawa na kuwapa hawa watu mali bure.
Sasa mradi ushawapa exclusive rights za kuchimba for 33 years na kuna extension MoU; kuwanyan’ganya hao watu hiyo migodi uwezi na kubadili terms ya hiyo mikataba baada kuona faida wanazopata itabidi tuwapigie magoti kama ilivyokuwa kwa ACCACIA hii nchi Samia anapoipeleka mpaka huruma.
Kwenye Reli wamepiga 1.7 trilioni hiyo pekee ingetosha kuwekeza kwenye hizo projects tukazifanya wenyewe.Cha kwanza ningeangalia gharama za uwekezaji, Tanzania leo uwekezaji usiozidi $500m ikiamua kupunguza matumizi ya anasa na kuzuia ubadhirifu ata kwa asilimia 80% inaweza kufanya yenyewe hiyo miradi bila ya mwekezaji; labda tuagize watu wenye know how on operating hiyo migodi kwa kuwalipa mishahara.
Second option ata kama kudunduliza hizo hela tunashindwa au tunaofia kukosa utaalamu kuendesha hiyo migodi bora ubia. Kabla ya kufanya hivyo muhimu ni kuangalia return of investment anazopata mwekezaji.
Mtu anaewekeza $370 million (kama hela katoa mfukoni kwake), halafu revenue $570 million baada ya kuondoa matumizi (costs of sales and expenses) labda tuseme $100 million. Kwenye net inabaki $470 million, 50% share of economic benefit anapata $235 million, ndani ya miaka mitatu anarudisha hela yake na kuvuna hongera zaidi ya $200m ni haki yake for his efforts.
Kuanzia mwaka wa nne kuendelea hizo $235 tunampa sadaka for nothing na anatarajia kupokea hiyo sadaka kwa miaka 33 na bado kuna kipengele cha kumuongezea muda.
Ukisema ufute huo mkataba ndio hayo ya shamba la Mtwara ndege kukamatwa mwekezaji anadai lease hold aijaisha wakati ata shamba lenyewe aliendelezi au sijui Dowans mkataba umeisha tunashitakiwa kwa sababu kuna MoU ya kuwaongezea muda na kuwalipa tsh 300 billions.
Embu tupeleke watu sahihi kwenye hizi negotiation, hawa wazungu awakutakiwa kupata ata 15% kwenye hiyo mikataba given future revenue potential na alichowekeza.
Huyu Kabudi profesa wa mwaka 47
Huyo Mruma ni profesa wa Jiolojia lakini hajui bussiness aspect ya madini.
Hao wengine katika timu hakuna mtu anayeijua hii biashara ya madini ya rare earth metals vuzuri.
Halafu mnaenda kugawa utajiri wa vizazi kwa only 16%. Hivi mmerogwa nyie?.
Rare earth metals zina thamani, na ni chache sana duniani, hakuna nchi inayoweza kuringa kuzinunua. Kwa nini kama nchi hatukuiwezesha Stamico au chombo chochote kilichopo kwa mujibu wa sheria kuchimba haya madini na kuyauza sisi wenyewe?.
Tatizo tunataka mteremko tu, yaani hatutaki kuinvest ili tupate OPTIMAL results!