Makosa yaleyale yanaendelea kufanywa na wanasiasa wetu ambayo yatalipwa na vizazi vijavyo huku wao na familia zao wakineemeka katikati ya lindi la umasikini wa walio wengi. Hatuna wataalamu wa kutosha badala tupambane kusomesha vijana waje kusaidia taifa kwenye nyanja husika tumekalia kupiga siasa na ngonjera zisizoisha