Ni kweli makampuni ya Australia yametuingiza chaka kuvuna Graphite na Niobium mikoa ya Lindi na Mbeya

Ni kweli makampuni ya Australia yametuingiza chaka kuvuna Graphite na Niobium mikoa ya Lindi na Mbeya

View attachment 2602708
Kwamba sisi tuaambulia $ 600+ milioni wakati wao watavuna mabilioni ya dollars kila mwaka.

Madini ya graphite yanapatikana kwa wingi huko Lindi wakati niobium ipo tele pale Panda Hill Mbeya. Kwa nini tusingesubiri nchi ipate uwezo tuweze kuchimba wenyewe badala ya kuwapa hawa wa Australia kwa bei ya kutupa?

Prof. Kabudi na Prof. Mruma kweli hamkuona mtego huu Wa- Australia hawa hakituingiza chaka!

Tafadhali tunaomba ufafanuzi!
Kwa huo Mkataba uliowekwa na hao viongozi wetu Makampuni ya asutralia wamevuna kwa kipofu asiyeweza kuona. Wametupiga sana kwa sababu ya Viongozi wetu wanajali sana matumbo yao bila ya kujali maslahi ya taifa letu. Makampuni ya Australia yatavuna kile walicho kipanda. Sisi Wa-Tanzania tutakuw akila siku tunakwenda kuwapigia magoti wazungu watupe misaada na mikobo nchi yetu itafilisika kwa mikopo itafika wakati nchi itauzwa kwa ajili ya kufidia mikopo toka kwa wafadhili itafika wakati pesa ya Tanzania itakuwa kama pesa ya Zimbabwe au pesa ya somalia au pesa ya kongo haina tena thamani.
 
Mkuu nasema tena kama wao ndio mmewapa kazi ya mikataba basi mmeingizwa chaka na wahuni

Hawa wamepiga sana hela na yule aliekuwa anajifanya eti anamtukana na kutangaza kuwa huwa anampigia simu na kumuambia wewe MPUMBAVU

Sasa sijui ilikuwa mbinu zao za kuiba au nini hata sielewi ila nae alikuwa anakubali kuitwa hivyo

Mtu anayekubali kuvunjiwa heshima na mtu wa makamo madogo kuliko yeye kwasababu ya cheo, hastahili kupewa wadhifa wa aina yeyote ya uongozi!
 
Cha kwanza ningeangalia gharama za uwekezaji, Tanzania leo uwekezaji usiozidi $500m ikiamua kupunguza matumizi ya anasa na kuzuia ubadhirifu ata kwa asilimia 80% inaweza kufanya yenyewe hiyo miradi bila ya mwekezaji; labda tuagize watu wenye know how on operating hiyo migodi kwa kuwalipa mishahara.

Second option ata kama kudunduliza hizo hela tunashindwa au tunaofia kukosa utaalamu kuendesha hiyo migodi bora ubia. Kabla ya kufanya hivyo muhimu ni kuangalia return of investment anazopata mwekezaji.

Mtu anaewekeza $370 million (kama hela katoa mfukoni kwake), halafu revenue $570 million baada ya kuondoa matumizi (costs of sales and expenses) labda tuseme $100 million. Kwenye net inabaki $470 million, 50% share of economic benefit anapata $235 million, ndani ya miaka mitatu anarudisha hela yake na kuvuna hongera zaidi ya $200m ni haki yake for his efforts.

Kuanzia mwaka wa nne kuendelea hizo $235 tunampa sadaka for nothing na anatarajia kupokea hiyo sadaka kwa miaka 33 na bado kuna kipengele cha kumuongezea muda.

Ukisema ufute huo mkataba ndio hayo ya shamba la Mtwara ndege kukamatwa mwekezaji anadai lease hold aijaisha wakati ata shamba lenyewe aliendelezi au sijui Dowans mkataba umeisha tunashitakiwa kwa sababu kuna MoU ya kuwaongezea muda na kuwalipa tsh 300 billions.

Embu tupeleke watu sahihi kwenye hizi negotiation, hawa wazungu awakutakiwa kupata ata 15% kwenye hiyo mikataba given future revenue potential na alichowekeza.

Hivi kuna sababu gani za msingi za kuficha hii mikataba to the SOVEREIGN [ Wananchi] ambao mambo yakiharibika wao ndio wanakuwa accountable? Kuna mtu anaweza kuelezea mantiki hasa ya kuifanya hii mikataba Siri?
Kama Kweli nchi inataka kupiga vita rushwa, tuanzie kwa kuiweka hii mikataba wazi; kuficha ficha ndio kunalea hizi rushwa tulizoziona kwenye makinikia!! Halafu tunakuja lalamika kuwa fedha zimefichwa China na hao hao waliozificha China tunawapa kazi ya kunegotiate mikataba mingine!! What stupidity or may be complicity to these crimes!
 
Mtu anayekubali kuvunjiwa heshima na mtu wa makamo madogo kuliko yeye kwasababu ya cheo, hastahili kupewa wadhifa wa aina yeyeote ya uongozi!
Heshima ni kwa umri wote Mkuu,
Kama waliweza kumuita mungu na yeye kujiita kiranja wa Malaika basi alikuwa sio mzima na wao walikuwa wajinga pia

Vyeo vyao havijawasaidia chochote na sasa wametemwa kama toilet papers tu
 
Madini leo yanaweza kuwa na faida lakini kesho ikatokea aina nyingine ya madini ikawa na sifa kuliko hayo ya awali hivyo ya awali yakakosa soko.
Hata dhahabu tuliambiwa hivyo hivyo..kauli ya kipuuzi sana hiyo
 
Hivi kuna sababu gani za msingi za kuficha hii mikataba to the SOVEREIGN [ Wananchi] ambao mambo yakiharibika wao ndio wanakuwa accountable? Kuna mtu anaweza kuelezea mantiki hasa ya kuifanya hii mikataba Siri?
Kama Kweli nchi inataka kupiga vita rushwa, tuanzie kwa kuiweka hii mikataba wazi; kuficha ficha ndio kunalea hizi rushwa tulizoziona kwenye makinikia!! Halafu tunakuja lalamika kuwa fedha zimefichwa China na hao hao waliozificha China tunawapa kazi ya kunegotiate mikataba mingine!! What stupidity or may be complicity to these crimes!
It’s usually in the interest of the investor kwa madai ya siri za mbinu za kibiashara wengine wasi-copy, so kuna clause ya siri. Yes I know it’s illogical lakini waafrika tumeamua kubariki wenyewe hizi fixy zao.

Whereas in reality wanaficha jinsi gani walivyodhulumu na kutotaka huo uonevu uje mbele ya dunia.

Kwa upande wa Tanzania nadhani ni kuficha ufisadi, uzembe na pengine aibu ya kuwa vilaza ndio huwa wanaingia hiyo mikataba. Kwa sababu vinginevyo wanaweza iachia hiyo mikataba wakitaka.

Nchi za ulaya kama kuna jambo wanasiasa wanataka kuficha na sio la ulinzi wa nchi. Huko serikalini kuna mtu atatoa leak tu (usually ni maafisa usalama).

Kwa hivyo wangekuwa wanataka watanzania na dunia ijue nini kiko wangeweza tumia njia hiyo but they have chosen not to.

Ni kwamba awajali na awafanyi hayo mambo kwa maslahi mapana ya taifa; wao wanafikiria immediate income kuweza kupata hela za matumizi kumudu shortfall za matumizi ya leo ndio kipaumbele chao badala ya kufikiria kupata maximum returns kwenye hizo investments.

Tatizo la Hii nchi kwa sasa ni mtu anaeitwa Jakaya Mrisho Kikwete
 
View attachment 2602708
Kwamba sisi tuaambulia $ 600+ milioni wakati wao watavuna mabilioni ya dollars kila mwaka.

Madini ya graphite yanapatikana kwa wingi huko Lindi wakati niobium ipo tele pale Panda Hill Mbeya. Kwa nini tusingesubiri nchi ipate uwezo tuweze kuchimba wenyewe badala ya kuwapa hawa wa Australia kwa bei ya kutupa?

Prof. Kabudi na Prof. Mruma kweli hamkuona mtego huu Wa- Australia hawa hakituingiza chaka!

Tafadhali tunaomba ufafanuzi!
WEW HAUNA UZALENDO HATA KIDOGO, UNATAKA CC TUENDELEE KUKAA MTAANI BILA AJIRA WAKATI RAISI WETU MPENDWA DR SAMIA SULUHU HASSAN AMEAMUA KUTENGENEZA AJIRA KWA VIZAZI VYA SASA , MUWE MNAFIKIRIA SIO KULAUM KILA JAMBO, HONGERA SAN KWA MPENDWA RAIS WETU KWA UZALENDO MKUBWA KWA WANANCHI WATANZANIA
 
It’s usually in the interest of the investor kwa madai ya siri za mbinu za kibiashara wengine wasi-copy, so kuna clause ya siri. Yes I know it’s illogical lakini waafrika tumeamua kubariki wenyewe hizi fixy zao.

Whereas in reality wanaficha jinsi gani walivyodhulumu na kutotaka huo uonevu uje mbele ya dunia.

Kwa upande wa Tanzania nadhani ni kuficha ufisadi, uzembe na pengine aibu ya kuwa vilaza ndio huwa wanaingia hiyo mikataba. Kwa sababu vinginevyo wanaweza iachia hiyo mikataba wakitaka.

Nchi za ulaya kama kuna jambo wanasiasa wanataka kuficha na sio la ulinzi wa nchi. Huko serikalini kuna mtu atatoa leak tu (usually ni maafisa usalama).

Kwa hivyo wangekuwa wanataka watanzania na dunia ijue nini kiko wangeweza tumia njia hiyo but they have chosen not to.

Ni kwamba awajali na awafanyi hayo mambo kwa maslahi mapana ya taifa; wao wanafikiria immediate income kuweza kupata hela za matumizi kumudu shortfall za matumizi ya leo ndio kipaumbele chao badala ya kufikiria kupata maximum returns kwenye hizo investments.

Tatizo la Hii nchi kwa sasa ni mtu anaeitwa Jakaya Mrisho Kikwete
MKIKOSA AJIRA MNALALAMIKA ,MKITENGENEZEWA AJIRA MNALALAMIKA , EE MWENYEZI MUNGU TUSAIDIE CC WAAFRIKA JINSI YAKUFIKIRI VEMA
 
MKIKOSA AJIRA MNALALAMIKA ,MKITENGENEZEWA AJIRA MNALALAMIKA , EE MWENYEZI MUNGU TUSAIDIE CC WAAFRIKA JINSI YAKUFIKIRI VEMA
Kipi bora umpe mtu mali yako atengeneze ajira ambapo kwa mwaka atumie $10m tena kwenye hizo $3m wanajilipa wenyewe. On top of that anatengeneza $200m plus ambazo zinatoka nje ya nchi.

Au mtu huyo atengeneze idadi ya ajira hizo-hizo kwa gharama hizo-hizo; ila faida yake isizidi $15m faida, jumlisha $35 return on investment kila mwaka. Hiyo millioni $150 inayobaki uchukue wewe uitumie kwenye miradi mengine ambayo itatengeneza ajira zaidi na ku-stimulate maeneo mengine ya uchumi wako.

Wewe ndio amua option ipi kwako ndio nzuri, hiko ndio kinachodaliwa kwa mtazamo wako uliouleta.

Wengi wetu tunataka option 2
 
Huyo demu ni expert wa madini? Tatizo kila mtu anajidai expert. Nyie mmejuaje kama madini yaliyopo ni worth billions of dollars?

Unataka wasubiri kuchimba kwani vizazi vijavyo vina thamani kuliko vya Sasa?

Kwenye hiyo partnership serikali ya bongo inatoa capital, utaalam, vifaa au nini? Mnataka msitoe kitu na mpewe 100% mna wazimu? Bado mnapata ajira na Kodi.
Kwangu mimi ardhi tuliyo nayo tz, ubora na fursa zake ni zaidi ya dhahabu
 
Nashauri tukafungue kesi Mahakamani kuweka zuio la utekelezaji wa huo mkataba hadi mapitio ya mkataba kati ya Serikali na Kampuni hizo yawe yamefanyika na timu yenye wadau mtambuka including Tundu Lissu
Lissu tena?
Kwenye hiyo timu Lissu atakiwa upande upi wa Australia au Tanzania?
Km ni TZ big NO!
Mzee wa MIGA
 
Nashauri tukafungue kesi Mahakamani kuweka zuio la utekelezaji wa huo mkataba hadi mapitio ya mkataba kati ya Serikali na Kampuni hizo yawe yamefanyika na timu yenye wadau mtambuka including Tundu Lissu
Mkataba upi? Umeuona?

Ungesoma kwanza kabla ya kwenda mahakamani.
 
Tundu Lisu huwezi kumuona hapa kwa hii issue. Yeye anataka posho yake ya bunge na stahiki, hayo mengine haya mhusu.
Huyu msenge si ndo alisema akiwa rais ataweka rehani madini yote?
 
Cha kwanza ningeangalia gharama za uwekezaji, Tanzania leo uwekezaji usiozidi $500m ikiamua kupunguza matumizi ya anasa na kuzuia ubadhirifu ata kwa asilimia 80% inaweza kufanya yenyewe hiyo miradi bila ya mwekezaji; labda tuagize watu wenye know how on operating hiyo migodi kwa kuwalipa mishahara.

Second option ata kama kudunduliza hizo hela tunashindwa au tunaofia kukosa utaalamu kuendesha hiyo migodi bora ubia. Kabla ya kufanya hivyo muhimu ni kuangalia return of investment anazopata mwekezaji.

Mtu anaewekeza $370 million (kama hela katoa mfukoni kwake), halafu revenue $570 million baada ya kuondoa matumizi (costs of sales and expenses) labda tuseme $100 million. Kwenye net inabaki $470 million, 50% share of economic benefit anapata $235 million, ndani ya miaka mitatu anarudisha hela yake na kuvuna hongera zaidi ya $200m ni haki yake for his efforts.

Kuanzia mwaka wa nne kuendelea hizo $235 tunampa sadaka for nothing na anatarajia kupokea hiyo sadaka kwa miaka 33 na bado kuna kipengele cha kumuongezea muda.

Ukisema ufute huo mkataba ndio hayo ya shamba la Mtwara ndege kukamatwa mwekezaji anadai lease hold aijaisha wakati ata shamba lenyewe aliendelezi au sijui Dowans mkataba umeisha tunashitakiwa kwa sababu kuna MoU ya kuwaongezea muda na kuwalipa tsh 300 billions.

Embu tupeleke watu sahihi kwenye hizi negotiation, hawa wazungu awakutakiwa kupata ata 15% kwenye hiyo mikataba given future revenue potential na alichowekeza.
ata-hata
aijaisha-haijaisha
tunaofia-tunahofia
Kama hujui kiswahili tumia hata kiingereza tu
 
ata-hata
aijaisha-haijaisha
tunaofia-tunahofia
Kama hujui kiswahili tumia hata kiingereza tu
Jikite kwenye maudhui ya mada

16% and maximum earnings of 50% on share of economic benefit kwenye mradi ambao revenue $538m less $90m expenses.

Mtu aliwekeza million 321 anastahili kuvuna zaidi ya $200+ kwa miaka 20 mpaka 30; wakati hela yake inarudi chini ya miaka mitatu kwa 50% share economic benefits.

Huo ndio mjadala, lugha peleka jukwaa la elimu.
 
Back
Top Bottom